Unajua kuna vitu huvielewi I used to be like u but elimu ya mambo ya kiroho ni elimu pana sana na inahitaji imani kuielewa Kuna for nutshell mambo ya rohoni yanaongozwa Kwa kanuni binadamu tuliumbwa Kwa mfano wa Mungu so tuna uwezo mkubwa sana ndani yetu nafsi yako inauwezo wa kufanya maamuzi binafsi rejea kwenye mfano wa ibrahim wakati Mungu anampa mtihani wa kumpima imani Kwa kumtoa sadaka mwanawe so kama Mungu angekua anajua ya kwamba ibrahimu hawezi Kwa nn Mungu alimjaribu ibrahimu so Kuna nguvu flani Au nafsi flani binadamu kapewa ambayo Mungu hawezi kuijua
Kwamba kuna vitu sivielewi then wewe unavielewa.....!?
Hv unaelewa nkikwambi kuwa bible ni kitabu cha hadithi!?
Tena ukiwa unaanza kusimulia inabidi uanze kwa kisema "hadith hadithi..."
Ili watu tuitikie
"hadithi njoo uongo njoo utamu kolea.."
Wewe unaleta hadithi za Ibrahimu hapa, hizo ni hadithi za kutungwa tu, unautafuta ukweli kwenye hadithi.
Na kukuonesha kwamba hujui kitu, ni kwamba wewe hujui hata hizo hadithi zimepitia mambo gani!? Zimeandikwa na akina nani...!?
Zimerekebishwa na kuongezewa content mara ngapi..!?
Na umeanza kuamini bila kujua hata chembe ya hiko kitabu.
Hayo maajabu mbona hayatokei siku hizi!?
Huyo Mungu wa waisrael aliyekuwa nao kuwaokoa kutoka Babylon na misri, alishindwa vipi kuwapaisha tena kipind kile cha mtaalam Adolf hittler akawaua mamillion (zaid ya 5 million waliuawa).
Unadhan isingekuwa kabla ya usasa wangeshindwa kuandika hadithi hapo ya Musa part 2!?
Huyo Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
Wala hata hawezekani kuwepo.
Mungu mwenye hizo sifa asingeweza kumjaribu Ibrahimu.
Kitendo cha kumjaribu Ibrahimu kinaonesha kuwa si mjuzi wa yote.
Unaelewa hilo!?