Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Ni hivi kijana Mungu alimuumba binadamu na lengo la Mungu ni kwamba binadamu asife ,kifo kilikuja baada ya binadamu kutenda dhambi ya kula lile tunda ambalo lilikuwa la kutambua mema Na mabaya Na kabla ya kula tunda binadamu alikua haujui ubaya wowote so kula tunda kulifanya binadamu aondoke kwenye lengo la Mungu Kwa kuujua ubaya,na ubaya ndio uliozaa mauti so mauti ilikuja baada ya binadamu kuujua ubaya automatically kifo kikatokea
At first kwa nini mungu aruhusu hiyo dhambi itokee ?
 
Hivi kweli Mungu hakujua ya kwamba viumbe aliowaumba yeye watakuja kula tunda walilokatazwa?
Kama Mungu anajua future zetu iweje hakutambua hilo?
Nafikiri atakuwa alijua, lakini hakutaka kutuamlia...issue ya kula au kutokula ilikuwa juu ya adam na hawa hata kama Mungu aliona dhahiri kuwa wangekula...

af kuna mtu kasema kuwa bible ni coded book ukiangalia kwa upana its about nani anapaswa kutawala Mungu mwenyewe au mwanadamu ajitawale kwa msaada wa shetani., ndo maana hata ukiangalia kwa mapana unaona kabisa kuna mtu behind these big nations.
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
Usitegemee kupata majibu ya kueleweka hapa. Hakuna mwanadamu atakupa jibu sahihi kuhusu hili Jambo.
 
Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote aliweza vipi kuweka machaguo mabaya kama hayo?

Wewe mwanao aliye mchanga na nidhaifu unaempenda utamfungia chumbani halafu uweke sumu peupe!?
Kulikuwa na ulazima gani wa kuweka option mbaya kama hiyo!?
Sasa mtu anakwambia huyo Mungu anaupendo wote?

Sio kwamba Mungu aliweka mambo mawili ili Mwanadamu achague, bali Mungu alimpa mwanadamu offer ya uzima tu, hakuweka mauti mbele yake. Aliweka uzima tu kama chaguo moja
Shida ni kwamba mtu akikataa uzima ndio automatically inaelezewa kama amechagua mauti. Sio kwamba Mungu ameweka uzima na mauti mbele yake.

Au sio kwamba Mungu aliweka matunda ya uzima na matunda ya ujuzi wa mema na mabaya, hapana. Mwandishi wa Mwanza ametumia lugha hizo kuwasilisha doctrine yake kwa wepesi.
 
1. Mbona unaamini ukristo Kati ya dini 10k na miungu 3000 iliyokuwepo? Wat if dini zingine ndo za ukweli yako ya uwongo? Ukitoa ukoloni na familia una sababu gani ya kuamini dini yako?
2. We ukijua mtoto wako atakufa na unaweza ukamuokoa na unampenda si utafanya asife? Na hamna sehemu kwenye Biblia wamesema kwamba kabla ya kula tunda kulikuwa hamna kifo. Kama kifo hakikuwepo mti wa uzima wa milele ulikuwa una maana gani au Mungu alitegemea wale tunda ili waweze kufa au awanyime na tunda la uzima? [emoji28][emoji1787]Hii story ni ya kijinga na ya uwongo ndo maana hata kufikiria unaogopa

Maandiko ya agano la kale ni maandiko yameandikwa miaka elfu nyingi iliyopita.
Kuna gape kubwa sana la kitamaduni, mtindo wa mawasiliano, nk kati ya jamii ile na ya leo.

Hivo kuelewa nini maana ya kilochoandikwa utahitaji kuconsider mambo mengi sana ile uweze kujua mwandishi alikusudia nini katika uandishi wake.

Ndio maana bible study ni shughuli hasa, huitaji kuruka ruka na kuguess maana za maandiko.

Kukosa kufanya hivo, ni rahisi sana kuishia kuconclude kwamba story hii ni ya kijinga na ya uwongo.

Unahitaji mwalimu sahihi akufunze sahihi
 
Ukitaka kujua umuhimu wa wewe kuwa hapa duniani ni lazima kimoja katika miili yako miwili ife kwanza alfu mwili mwingine ubaki ndio waweza iona dunia katika hali ya utofauti
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
Sio tu kufa pekee!

Bali adhabu ya moto wa milele kwa wale ambao hawakumfurahisha aliewaumba hapa Duniani!!

Hayo nayo ni mateso makali mno kwetu tena unapowaza kwa kina!!!
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
Unamuuliza nani? Kamuulize aliyetuumba
 
Biggest robbery! Dunia haitajaa kamwe
Mkuu there is a new system of thngs coming

revelation 21:4:"AND HE WILL WIPE OUT EVERY TEAR FROM THEIR EYES, AND DEATH WILL BE NO MORE, NEITHER WILL MOURNING NOR OUTCRY NOR PAIN BE ANYMORE. THE FORMER THINGS HAVE PASSED AWAY".

Verse 5: "And the one seated on the throne said: LOOK I AM MAKING ALL THINGS NEW..
 
Sio kwamba Mungu aliweka mambo mawili ili Mwanadamu achague, bali Mungu alimpa mwanadamu offer ya uzima tu, hakuweka mauti mbele yake. Aliweka uzima tu kama chaguo moja
Shida ni kwamba mtu akikataa uzima ndio automatically inaelezewa kama amechagua mauti. Sio kwamba Mungu ameweka uzima na mauti mbele yake.

Au sio kwamba Mungu aliweka matunda ya uzima na matunda ya ujuzi wa mema na mabaya, hapana. Mwandishi wa Mwanza ametumia lugha hizo kuwasilisha doctrine yake kwa wepesi.

Mkuu, Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea!?

Nkisema mabaya namaanisha uovu wote wa kuuana na kuibiana.
Mabaya kama vile matetemeko, Tsunami n. K

Je alikuwa anaweza kuumba ulimwengu ambao hayo mambo hayawezi kutokea?
 
Maandiko ya agano la kale ni maandiko yameandikwa miaka elfu nyingi iliyopita.
Kuna gape kubwa sana la kitamaduni, mtindo wa mawasiliano, nk kati ya jamii ile na ya leo.

Hivo kuelewa nini maana ya kilochoandikwa utahitaji kuconsider mambo mengi sana ile uweze kujua mwandishi alikusudia nini katika uandishi wake.

Ndio maana bible study ni shughuli hasa, huitaji kuruka ruka na kuguess maana za maandiko.

Kukosa kufanya hivo, ni rahisi sana kuishia kuconclude kwamba story hii ni ya kijinga na ya uwongo.

Unahitaji mwalimu sahihi akufunze sahihi
Mkuu,
Mungu angekuwepo kweli kwa sifa alizo nazo wala hatukuhitaji kitabu kumuelewa.
Kitabu kinapitwa na wakati, Mungu hakujua haya kamaa yatatokea,
Hakujua kama kitabu kitapitwa na wakati aje asababishe utata na ugumu wa kuelewa maneno yake kulingana na tofauti ya tamaduni?

Kwasababu Huyo Mungu hajawahi kujionesha na kujihubiri mwenyewe na anategemea watu ndo wamhubiri huu pia ni udhihirisho kuwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo na wala hana uwezekano wa kuwepo.
 
Watu hawaelewi haya,
Hawajui kuwa Miungu wa Babylon kule Mungu Enlil na Enki walikuwa wanapiga story wanaambizana "na tumuumbe mtu kwa mfano wetu"
Halafu mwandishi wa bible akasahau kurekebisha hapo ili awe Mungu mmoja. Huyo Muweza wa yote mjuzi wa yote.

Watu hawajui kuwa Mungu wa maji na hekima, Mungu Enki alimwambia Atrahasis ajenge safina ili aokoe kizazi kwani angeshusha gharika.

Haya yote hawajui kuwa ni hadithi.

Sasa wao wamesoma kwa mhusika Nuhu pekee,
Ilikuwa ngumu kwangu kukubali Penguin 🐧 alitoka America akaenda mashariki ya kati kutafuta safina.
🤣Story ya nuhu lazma uforce miujiza kila kipande ili imake sense
 
Nafikiri atakuwa alijua, lakini hakutaka kutuamlia...issue ya kula au kutokula ilikuwa juu ya adam na hawa hata kama Mungu aliona dhahiri kuwa wangekula...

af kuna mtu kasema kuwa bible ni coded book ukiangalia kwa upana its about nani anapaswa kutawala Mungu mwenyewe au mwanadamu ajitawale kwa msaada wa shetani., ndo maana hata ukiangalia kwa mapana unaona kabisa kuna mtu behind these big nations.
Big nation ipi Sasa maana zamani big nation ilikuwa Egypt baadae Roman baadae vikings baadae ottoman baadae Britain baadae USSR baadae USA...so bible inasema kuhusu big nation yupi
 
Maandiko ya agano la kale ni maandiko yameandikwa miaka elfu nyingi iliyopita.
Kuna gape kubwa sana la kitamaduni, mtindo wa mawasiliano, nk kati ya jamii ile na ya leo.

Hivo kuelewa nini maana ya kilochoandikwa utahitaji kuconsider mambo mengi sana ile uweze kujua mwandishi alikusudia nini katika uandishi wake.

Ndio maana bible study ni shughuli hasa, huitaji kuruka ruka na kuguess maana za maandiko.

Kukosa kufanya hivo, ni rahisi sana kuishia kuconclude kwamba story hii ni ya kijinga na ya uwongo.

Unahitaji mwalimu sahihi akufunze sahihi
We ukisoma gazeti unahitaji mwalimu
 
Back
Top Bottom