Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Mkuu umeongelea kuhusu Mathayo.

Injili ya Mathayo iliandikwa kwa ajili ya waty wasio wasomi, haswa ililenga wayahudi wa kipindi kile.

Mathayo alikuwa ni Muongo.
Historia ya herode mkuu kuagiza watoto kuchinjwa ni story ya kujitungia tu.
Kwanza kaandika mathayo peke yake, hakuna sehemu yeyote ile ambayo utakuta hiyo habari hata uyahudini penyewe.

Katika kujaribu kuunga unga hadithi zake na kumvuta yesu aonekane alitabiriwa tangu kale kwenye imani ya wayahudi, kasome mstari huu Ndugu Mathayo katika kuzima moto alijichanganya yeye mwenyewe Matthew 27:9–10.

Na hapo ndipo unajua kuwa hadithi ya Mungu Muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote si ya kweli, na wala huyo Mungu hajaandika kitabu. Kwa sifa alizo nazo asingeruhusu kitabu chake kiwe na makosa maelfu.
Ni watu waliamua kujitungia hadithi zao tu.
 
Mbona wanyama wengine wanakufa pia? Nao walitenda Dhambi? And Kobe anapiga life miaka mamia ya kutosha.. na Nyoka pia nasikia Hawafi hadi wauawe au akose msosi kwa muda mrefu sana...
 
The GOD is almighty, he is able, he can do anything at any time. ikiwa hivyo means alikuwa na uwezo wa kupredict kuliwa kwa tunda la mti wa kati kati, kiumbe binadamu aliemuumba kwa mfano wake ilikuaje akaruhusu hilo jambo litokee na aingize kiumbe chake alichokiumba kitawale vitu vyote matatizoni? in kiranga's voice
 
Makosa yapi mfano
 

Labda tuanzie hapo “kwa sifa zile basic ambazo anazo huyo Mungu”..

Kwa haraka haraka kama ni mtu makini na wa kureason, huoni kwamba kuna uwezekano mkubwa sana kwamba hata hizo sifa ulizonazo kuhusu Mungu inawezekana si sahihi na pengine hazijawekwa kwako vizuri?

Msingi ukishakuwa mbovu nadhani unajua namna utaathiri uelewa wako juu ya jambo fulani.

Its like a domino effect, erroneous basics will always lead to confusion.

What if taarifa ulizonazo mpaka sasa kuhusu Mungu si sahihi?

Uwepo wa waalimu fake haimaanishi kwamba hakuna waalimu sahihi wenye kunyoosha doctrine vizuri, ni kwamba una bahati mbaya sana umeangukia kwa wasaka tonge. Ila waalimu wazuri wapo. Just don’t give up.

Its very funny mtu kwa ujasiri kabisa anaclaim kwamba hakuna Mungu. Nilishawahi kukuuliza embu nisaidie kujua source ya mwanadamu ni nini? Nani aliweka moyo ndani ya mtu, mrija mmoja utoe damu na mwingine uingize damu? Nani alisuka ubongo ndani ya binadamu?

Bro unahitaji kuwa na moyo mgumu sana kuamini kuwa hakuna Mungu.

Mungu yupo, na wewe kutokuelewa how things are in the bible haimaanishi kwamba hakuna Mungu. Ni wewe ndo hujaelewa.

Sayansi inapoishia, hapo ndo you should start thinking uwezekano wa uwepo wa Mungu.

Bado hujareason strongly enough, endelea kufanya research mkuu.
 

Hiyo Mathayo 27:9-10 ina shida gani mkuu embu nifumbue macho[emoji23]

Mkuu Mungu hajawahi kuandika kitabu mkuu.. hii sumu iondoe kichwani, watu ndo wameandika biblia, kwa uvuvio wa Mungu.

Pia makosa unayaona wewe leo ktk bible sio doctrinal mistakes, ni makosa ambayo mengi ni matokeo ya kutafsiri bible kutoka kiebrania au kigiriki kuja kiswahili.

Ndio maana unahitaji mwalimu[emoji23]
 
Unataka kusema kuwa muda uliwekwa na Mungu duniani!?
The Universe with all creation is subject to time. Mungu na viumbe wengine walioumbwa katika ulimwengu wa kiroho hawapo katika dimension ya muda.
 
Huo uvuvio unaweza kunieleza,

Huyo Mungu hayupo, unaweza kumthibitisha yupo?
 
Kwahyo haujawahi ona kosa lolote kwenye biblia!?

Au ni kama mziki wa kizungu, hata usipoelewa unatembea na biti
Bible ni kitabu kamili kisicho shaka kimefungwa muhuri hakuna kuongeza Wala kupunguza.
 

Labda kwa kukusaidia; Kila mahala binadamu atakapokaaa iwe Nyumbani kwako, au niseme Duniani na hata mbinguni, kuna utaratibu
Sasa wewe kujitoa ufaham kuwa kwa Mungu hakuna utaratibu; ulitakiwa ujitafakari kwanza kabla ya kuandika hii mada.
Labda kwa heading yako; Unataka kutuambia kuwa, hakuna haja ya kumiliki vitu mfano vya dhamani kwa sababu mwishoni vitaharibika na kutupwa?
Ujue Mungu anatumiliki kama moja ya Viumbe wake na ana full authority na sisi....
 
Umesema vyema kabisa mimi nimejifunza kanisani kwetu.Nasali kanisa la Yesu Christo la watakatifu wa siku za mwisho.
 
Sisi ni mfano wake tuna nguvu ndani yetu ambayo hata malaika hawana tuna uwezo wa kufanya maamuzi.Hicho ndicho kitu cha pekee.
 
Tunda gani hilo🤣lisilojulikana
 
Jamii zetu za kitanzania mara nyingi huwa tunazaliwa katika imani.
Unapelekwa hata ukiwa mdogo.
Labda nikubakikishie tu kuwa nnazijua imani vizuri.
Ilihali kuna miungu zaidi ya 3000+, Ninajua habari za miungu zaidi ya 70 ambayo ni inaaminika/iliaminika na jamii kubwa kubwa.

Na kwa muktadha wa Tanzania hapa, moja kwa moja tunamzungumzia Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yulee wa kwenye mawingu. (mbinguni)

Huyu mungu mwenye sifa hizi ndiye ambae huwa naongezea kusema hayupo + hawezekani kuwepo.

Kwahyo Mungu huyu ambae unamhubiri kila siku na mnabishana kila siku hayupo, wala hana uwezekano wa kuwepo.

Unaweza kushare na mimi taarifa sahihi za huyo Mungu wako kama si hizi nimeziainisha?

Sijajua ni lini, lakini huwa najibu haraka sana kwa kusema kuwa sijui.
Na hakuna ajuaye mpaka sasa, zaidi ya kuwa kuna nadharia tu.

Ila kutokujua kwa jibu sahihi siwezi kukubali kudanganywa.
Silazimiki kujua mama ake Mandela90 mwenye umri wa miaka 30 ni nani kukataa kuwa Salome mwenye umri wa miaka 28 si mama wa Mandela90.

Wazo la Mungu ni la mwisho kwenye kufikiri. Na ni jibu la uongo.
Yaani kama hutaki kufikiri, kisingizio cha wewe ni kumtaja Mungu tu na case inakuwa closed.

Kwanza Uulizaji wa swali lako lipo katika uwezo hafifu sana na ni limited.
Kwanini unataka kujua ni nani aliyeweka moyo kwa mtu hujawaza kuwa ni nini kiliweka moyo kwa mtu.!?

Hauoni kuwa mawazo yako yanataka yakutane na jibu ambalo unalitaka!?

Yaani hapo kwa mfano uliodhahiri ni kwamba kipofu kwa uzoefu wake wa kusikia sauti tu, anataka kujua bendera ya taifa ina sauti ya aina gani!?

Kwahyo nature ya swali lako wewe (kipofu) kuhusu nani kaweka moyo (bendera) ni illogical kwasababu linahitaji kujua nani (sauti) na haujawaza kuwa ni nini (rangi) kisa tu wewe experience yako ni unachokiwaza muda huo.

Kwahiyo uulizaji mbaya wa swali ni mwanzo wa kupata majawabu yasiyo sahihi.

Hata nkikubali kwa mujibu wako Kama unasema Mungu ndiye kaweka hayo yote, yeye hiyo akili hadi ya kuumba hivyo vitu kaitoa wapi.
Unadhani kuwa yeye katengenezwa na nani!?
♦️ Nijibu hili
Mungu yupo, na wewe kutokuelewa how things are in the bible haimaanishi kwamba hakuna Mungu. Ni wewe ndo hujaelewa.
Kwamba wewe unaelewa kwenye bible ambayo ina contradiction za wazi kiasi kile.

Kabla ya yote thibitisha uwepo wa Mungu.
Sayansi inapoishia, hapo ndo you should start thinking uwezekano wa uwepo wa Mungu.
Sayansi kila siku inamuendelezo.
Sasa huoni kuwa unatumia deus ex machina hapo kumkimbiza Mungu.

Unaweza kunieleza mwisho wa sayansi.

Hujaweza kumthibitisha huyo Mungu zaidi ya madhanio uliyojitengenezea akilini mwako.
Bado hujareason strongly enough, endelea kufanya research mkuu.
Kwasababu hatujawaza kwa mtzamo mmoja haimaanishi kuwa siko sahihi.

Usahihi wa kitu hauexist.
Usahihi wa kitu unapimwa kutokea kwenye point ya marejeleo.

Mfano,
♦️Yesu alisulubiwa na kupaa kama utatumia biblia kama point ya kurejelea.
♦️Lakini pia Yesu hakusulubiwa lakini alipaa kama utatumia Quran kama point ya rejea.
Na ni ukweli kulingana na hizo point husika.
♦️Na ukifuata kanuni za dunia hii na ushahidi wa kihistoria kama point ya rejea, habari ya yesu ni uongo na haiwezekani.

Ushauri wangu kwako ni kwamba,
Tusiwe na anthropic bias katika kuwaza ukweli wa mambo, we need extra uchunguzi hasa katika kustudy ulimwengu.

Haikuwa rahisi mtu kukubali kuwa dunia ni tufe, maana lazima ufikirie inakuwaje watu wahang tu na wasidondoke south poles!?
Kumbe hata concept ya up_bottom ni jinsi tunavyoona tu ukiwa duniani ama sayari nyingine.

Haikuwa rahisi mtu kukubali kuwa dunia inazunguka jua ama kujizungusha katika mhimili wake,
Kwamaana ukiangalia kwa mawazo na experience za duniani hapa ni kama illogical hivi.

Hata mawazo ya mwanzo na mwisho ni mawazo ya kizamani.
Wenzio walioandika vitabu vya dini walikuwa na mawazo hayo kuwa dunia ni flat na ina pembe
Hujawaza kuwa wewe unaweza kuwa unawaza tofauti kwa kudhani tu kuwa kila lenye mwanzo lina mwisho?

Kumbuka hata muda tu sio absolute, Muda unatofautiana sehemu na sehemu na hii ni proved kabisa.
Gravit na speed zinaathiri muda.

Unajua kuwa nkikupelea sehem yenye gravit kubwa kama black hole 🕳, ukiishi dakika 45 za pale tu kwa duniani inaweza kuwa ni miaka kadhaa zaidi ya 15+.

Inawezekana ukaenda pale ukaja kurudi duniani ukakuta mwanao amekupita umri.

Nimechomekea tu hapo
Mambo ni mengi tusiyoyajua, hivyo ni vyema kuepuka anthropic biased idea katika kuutafiti ulimwengu.

Je uko tyari kufungua akili ili kujifunza tafiti zenye kuuelewa ulimwengu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…