Faida ya mabarafu kwenye recovery ya wachezaji

Mweee...bongo yenyewe watu wanapenda story za ngono 🤣🤣🤣🤣
Speaking of ngono, vipi kama katikati ya round za mizangamuano mtu akajidumbukiza kwa ice bath...ata rudi round ifuatayo kwa nguvu zaidi?
 
Mweee...bongo yenyewe watu wanapenda story za ngono 🤣🤣🤣🤣
Speaking of ngono, vipi kama katikati ya round za mizangamuano mtu akajidumbukiza kwa ice bath...ata rudi round ifuatayo kwa nguvu zaidi?
Mtaalamu wetu atakuja kutupa ufafanuzi kuhusu hili suala
 
Oya vipi kwa sie wazee wa kugegeda...ice vath betwin rounds itafanya nirudi kwenye game na nguvu zaidi?

Alafu mbona wengine wanasema ice bath ni fikra truu...true recovery ni sleep na msosi wa maana
 
Umeongea kitaalam Sana mkuu,
Hapa ambao hawana DD mbili umewaachaa solemba😊😊

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Hayo maneno yalisemwa na baba wa Taifa baada ya kutoka kwenye pipa la Maji baridi!?
 
Hizi sasa fix
Kama huna uhakika tulia na soma comments za wengine ili kuongeza maarifa. Sauna ni nini kwani? Bila shaka ni mvuke unaotokana na kuchemka maji. Faida pekee za zoezi hili ni kutananua mishipa ya damu (vasodilation) na kufungua vinyweleo vya ngozi kwa kutoa jasho jingi.

Lakini mwili wetu umetengenezwa kwa proteins ambazo kwenye joto hupoteza sifa yake(denatured) na wadudu wenyeji kwenye ngozi (normal flora) hawahitaji joto kubwa, na mafuta asilia ya ngozi huyeyushwa na kuondoshwa na joto. Hata enzymes na metabolism inakuwa weak.
 
utarudi upya kama vile hakuna ulichokifanya. Hali Yako itakuwa Tete kama utawasha heater ya shower ili uoge majimoto.

Hii knowledge sio mpya, watoto wetu zamani na vijijini huwa wanapenda kucheza kwenye mvua au kunyeshewa na mvua kwa bahati mbaya. Uimara wao ni tofauti kabisa na watoto wanaoogeshwa maji ya moto na kuvingirishwa kwenye mablangeti.
Mtaalamu wetu atakuja kutupa ufafanuzi kuhusu hili suala
 
Mbona jamaa wa maseru akili zao kama sie wabongo tuu...i.e mambumbumbuu japo kwao baridi kweli kweli
 
Mbona jamaa wa maseru akili zao kama sie wabongo tuu...i.e mambumbumbuu japo kwao baridi kweli kweli
Fanya utafiti mdogo kati ya watu wa Iringa, mbeya, Kilimanjaro, lushoto, Kagera kwenye baridi na watu wa Tabora, Pwani, Tanga kwenye joto.
 
Fanya utafiti mdogo kati ya watu wa Iringa, mbeya, Kilimanjaro, lushoto, Kagera kwenye baridi na watu wa Tabora, Pwani, Tanga kwenye joto.
Mbona wote mabwege tuu...hamna ata mmoja kati yao kafanya jambo la maaana sana hapa duniani.
 
Umeongea kitaalam Sana mkuu,
Hapa ambao hawana DD mbili umewaachaa solemba😊😊

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Mambo ya Mitochondria,,Mambo ya Cells(a smallest unit of life)
 
Anaudhoofisha mwili wake vibaya sana, ni hatari mno kwa mwili hata uzazi. Usiende. Kama unaweza oga maji ya baridi utajisikia nguvu nyingi baada ya kuoga. Ndio maana wanaoishi sehemu za baridi Wana uwezo mkubwa wa kutenda na kufikiria.
Mkuu hapa nikekupata ndo maana wanaume wa dar es salaam hawana akili kabisa nazani wameasiliwa na joto siyo kama wanaume wa mbeya
 
Hatimaye nimeujua ukweli, mi nilidhani wanajiloweka ili kupunguza maumivu ya misuli
 
Mkuu hapa nikekupata ndo maana wanaume wa dar es salaam hawana akili kabisa nazani wameasiliwa na joto siyo kama wanaume wa mbeya
Ngono inanoga sana sehemu zenye baridi kali kuliko sehemu ya joto jingi.
 
Max mzee mello anatokea kwenye barid leo hii tunaenjoy matunda ya jamiiforum
🤣🤣🤣🤣 Na magu naye alitoka sehemu ya baridi kali? Maana yule jamaa alikuwa na akili kuzidi watz wote hapa duniani
 
🤣🤣🤣🤣 Na magu naye alitoka sehemu ya baridi kali? Maana yule jamaa alikuwa na akili kuzidi watz wote hapa duniani
Kwani misenyi na biharamulo hakuna kabaridi?
 
Al
🤣🤣🤣🤣 Na magu naye alitoka sehemu ya baridi kali? Maana yule jamaa alikuwa na akili kuzidi watz wote hapa duniani
Alikuwa too machenical
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…