Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Umeandika vyema na umeelewweka mkuu ila Kuna watu ukimwambia akae hata kwa sekunde 5 hawez
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwili ni zaidi ya computer, kusudi la Mungu halikuwa kuishi kwenye nyumba na kuota moto Wala kuvaa majaketi na masweater. Alikusudia mwili wenyewe upambane na joto, baridi, mvua, upepo na majanga mengine kwa mtindo wa survival of the fittest. Kubali mwili wako upambane badala ya kuupambania.Weka mkazo hapo kwenye "mwili kuwasha mitambo yake yote...!"
Nimepata shule ya muhimu sana. Thanks sana
Umeandika vyema na umeelewweka mkuu ila Kuna watu ukimwambia akae hata kwa sekunde 5 hawez