Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je unafahamu faida za kutembea peku?, Kwanini wa tembea peku hawazeeki upesi na hawapati utipwatipwa bali miili yao huwa imara zaidi ya nyie maofisa?Hayana reflection ya kisayansi
Yule mjomba sio tipwatipwa?Je unafahamu faida za kutembea peku?, Kwanini wa tembea peku hawazeeki upesi na hawapati utipwatipwa bali miili yao huwa imara zaidi ya nyie maofisa?
Yule ni muigizaji lakini, for what he did inamsaidia sana kuliko angekuwa ofisa fulani zipo nutrients/ Madini ambazo nyayo hunyonya ardhini, ambazo husaidia sana mwili, katika control mbalimbali.Yule mjomba sio tipwatipwa?
Ndg yangu haya ni mafuta ya kawaida tu mfano vasseline ya mgando.Nilipoanza kusoma post nilihisi mwishoni itahitimishwa na tangazo, je yanapatikana wapi na bei gani?
Unapotembea peku unaruhusu mchanga uufanyie unyayo wako masaji bora kabisaJe unafahamu faida za kutembea peku?, Kwanini wa tembea peku hawazeeki upesi na hawapati utipwatipwa bali miili yao huwa imara zaidi ya nyie maofisa?
Mafuta bira zaidi ni yale ya mgandoMleta mada hujawa specific. Mafuta ya aina gani unazungumzia yoyote ama. Em jazia jazia tu nyama nyama tukuelewe!
Ukitaka Ubongo wako usifanye kazi kabisa vaa kiatu kinachokubana au kisicho sababisha mguu ukarilaxNdg yangu haya ni mafuta ya kawaida tu mfano vasseline ya mgando.
Unapjifanyia masaji nyayo zako jiandae kwa usingizi mnono.
Kuna siri kubwa sana katika kutreat nyayo zako vizuri.
Kuwa makini na aina ya viatu unavyovaa na uhakikishe ndani ya kiatu kuna ulaini mzuri unapokanyaga
Hata wenye shida ya stroke hutembea peku na huwa inashauriwa mtoto apate mda wa kutembea peku kwa wakati flani kwa siku,ikiwa ufukweni hupendeza zaidiJe unafahamu faida za kutembea peku?, Kwanini wa tembea peku hawazeeki upesi na hawapati utipwatipwa bali miili yao huwa imara zaidi ya nyie maofisa?
Safi Sana mkuu, unaishi kitafiti ipo siku utagundua mazito, lakini bila tafiti dunia isingefika hapa, all the best mkuu.Nataka nijaribu kupaka asali nyayoni wakati wa kulala taleta mrejesho
🤣Ndg yangu haya ni mafuta ya kawaida tu mfano vasseline ya mgando.
Unapjifanyia masaji nyayo zako jiandae kwa usingizi mnono.
Kuna siri kubwa sana katika kutreat nyayo zako vizuri.
Kuwa makini na aina ya viatu unavyovaa na uhakikishe ndani ya kiatu kuna ulaini mzuri unapokanyaga
Tafiti ndio maisha ukijua mambo unakuwa huru.Mimi wachawi na majini hayanisumbui nawaona ni SAwa tu na mende kunguni viroboto tu baada ya kutafiti nguvu zao wapi hazifanyi Kazi au kipi kinaua nguvu zao ndicho nakitumia, au wakinitupia uchawi nifanye nini niiuflash.Safi Sana mkuu, unaishi kitafiti ipo siku utagundua mazito, lakini bila tafiti dunia isingefika hapa, all the best mkuu.