GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Mmmm! kama baniani, najua baniani wengi wanapata shida toilet kwa kula pili pili kupindukia, na wengi nasikia huweka feni ya kuwapepea makalioni
Duh! hii thread imenisisimua lakini nimecheka mpaka nimetokwa na machozi.
