Iwe kavaa dera sijui nini, kama hayupo kwenye ada yake ama nifasi kufanya ivo ni kosa kisheria, japo swali lako halijakaa sawa, kwa Mimi nimekuelewa hivo.FaizaFoxy
Ni nini maana ya mwanamke kusema amechoka wakati ameenda kwenye kitanda cha mume na mke na kuwa amevaa dera
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kumuuliza swali mtu mwenye akili ndogoSwali ni lipi hapo?
[emoji109]Vyema sana.
Qur'an 28:
55. Na wanapo sikia upuuzi hujitenga nao na husema: Sisi tuna vitendo vyetu, na nyinyi mna vitendo vyenu. Salamun Alaikum, Amani juu yenu! Sisi hatutaki kujibizana na wajinga.
Qur'an 28:Sasa mbona umejibu? Lete namba yako hiyo tukusalimie na tukupe joto mwanana mwilini.
Qur'an 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.Ni kwa namna gani mke anaweza kumsababishia mume kuingia "jannah''?
Na mm pia nakusalimu bibi faizaWa Alaikum Salaam.
Shukrani sana.
Aisee sikutegemea kma utajibu kiutu uzima hivi nilikuwa nasubilia matusiWa Alaikum Salaam.
Shukrani sana.
Missss ehhhABUBAKAR NI NANI KATIKA UISLAM?
Sawa nakuona upo na kamusi pembeni= nasubiri (a).
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?