[emoji23] [emoji23] [emoji23] ulifuta ila aliyekuquote ndio kakuumbuaWeka link hapa. Mnajitengenezea utumbo wenu mnakuja nao hapa?
Mnajihangaisha bure. Tazama quotes zote humu, zipo hivyo?
Eeh watu wanafik nyinyi.
Nimekuwekea ayah ya Qur'an hapo juu, huwa hatutofautishi baina ya mitume wa Mweyeezi Mungu na Yesu alayhi salaam ni Mtume wa Mwenyezi Mungu.Hii imekaaje!?
Kama mnaamini Yesu kristo ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba mwenyez,kutoka huko atakuja kuwahukumu walio Hali na wafu,kwanini hammfwati(si wa kristo)
Sent using Jamii Forums mobile app
LohAlhamduliLlah nimeiona kuanzia awamu ya kwanza mpaka sasa ya tano. Nimeona awamu saba za Zanzibar na Sultan, nimeishi nje ya Tanzania na kuona ya huko.
Nadiriki kusema mpaka leo hii bado hatujapata Rais kama Kikwete.
Kikwete ni tunu ya kuenziwa.
Wewe jifanye mjanja. Mbona uliipiga picha badala ya kuleta quote yenyewe.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ulifuta ila aliyekuquote ndio kakuumbua
Wewe ni ibilisi
Nitengeneze link ili nipate nini
Lengo lilikuwa kukuonyesha ulivyo kigeugeu, kama hiyo nimetengeneza vipi kuhusu kukana hakuna mkristo anaitwa Abdallah halafu ukageuka kuwa unamfahamu msabato mwenye jina hilo?
Nilete link?
Au utakimbia tena kufuta
Kilaza weweBibi,mimi nina swali moja!
Ni neno lipi hapa ndiyo sahihi?:
a)hili au ili?
b)ndio au ndiyo?
c)kwa hiyo au kwahyo?
d)hilo au ilo?
e)hile au ile?
f)hovyo au ovyo?
G)hapa au apa?
Kwa kuwa nyerere katumia basi iko sawaa) Hili au ili yote ni sahihi lakini yana maana tofauti.
b) Ndiyo, hata Nyerere alitumia neno "ndiyo" au hapana wakati wa kura zake za mtu mmoja, ona:
Mengine baadae au kama kuna wengine wanisaidie, ni open forum hii.
Nimekuelewa vizuriNimeakuwekea ayah ya Qur'an hapo juu, kauqwa hatutofautishi baina ya mitume wa Mweyeezi Mungu na Yesu alayhi salaam ni Mtume wa Mwenyezi Mungu.
Ukichukukia kuwa yeye yupo na Mwenyezi Mungu basi katika biblia wapo waliopelekwa kwa Mwenyezi Mungu kabla hawajafa, mfano Elijah na Enoch. Kwanini na wao wasiabudiwe kwa misingi hiyo?
Wa Kuabudiwa ni mmoja tu, Muumba wa mbingu na ardhi ambae hajazaa wala kuzaliwa.
Makkah ndio wapi!?Nguzo za Uislam ni tano...
1) Kukiri na kushuhudia kwamba hapana Muabudiwa wa haki isipokuwa Allah na Muhammad ni Rasuli (Mtume) Wake.
2) Kusimamisha Swalaah (kuswali).
3) Kutoa Zaka
4) Kuhiji Makkah
5) Kufunga swaum Ramadhan
Makkah imetajwa katika Biblia pia kwa namna mbili tofauti, namna moja ni...
Nguruwe ameharamishwa katika Qur'an. Na sisi Allah akituharamisha kitu huwa hatukifanyi, tuna tii na kunyenyekea amri za Allah...
Kwa nn mnaamini kua Allah ndie muumba wa mbingu na nchi?
Je unafahamu kua duniani Amna kiumbe anaeitwa Allah isipokua MUNGU mwenye henzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambacho hujaelewa kitu gani?Wewe jifanye mjanja. Mbona uliipiga picha badala ya kuleta quote yenyewe.
Niondokee hapa. Huwa si deal na watu mafataani.
1) Masih Dajal tayari yupo, wasomi wanamchambua hapa, soma: Man spoiling the land and sea and him will suffer on earth from it are prophesied in the Glorious Quran.Masih dajal/ mpinga kristo atakuja kisha kitafuatia kiyama, kazi kubwa ya masih dajal/mpinga kristo ni kupotosha umma kwa mafundisho ya uongo na pia kuipinga kazi aliyoifanya Issa/Yesu. hivi ndivyo ninavyo amini.
Swali 1: ikiwa mafundisho tunayopaswa kuyafuata ni ya mtume Muhammad s.a.w 'kwa kuwa huu ndio umma wake' imekuwaje masih dajal/mpinga kristo aje kuyapinga mafundisho ya Issa/Yesu hali ya kuwa hakuletwa kwa umma huu? 2: kwanini atakaekuja kupambana na masih dajal/ mpinga kristo ni Issa/Yesu na siyo Muhammad S.A.W. ambae huu ndio umma wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mashaka na Bwana Inayat Kassam wa Kenya - JamiiForumsWewe jifanye mjanja. Mbona uliipiga picha badala ya kuleta quote yenyewe.
Niondokee hapa. Huwa si deal na watu mafataani.
Sasa unanipangia majibu? Ajabu hii kwa mtu mwenye uzoefu wa minakasha, kumbe wazoefu huwa mnapangiana majibu? Sijajuwa.
Hivi huwa unakurupuka bila kunisoma au vipi?
Narudia, kama walikatana viganja ndicho walichokuta. Hakuna utata hapo. Au wakikatana mkono hakuna utata pia. Sijui unanielewa?
Kuhusu hadithi ambazo si Qur'an zinabaki kuwa hadithi kama zilivyo riwaya na si wahyi. Kwa maana si maneno ya Mwenyezi Mungu.
Sizikubali hadithi zote kuwa ni maneno ya Allah. Zinabaki kuwa simulizi za watu wanazohadithia na zinabaki kuwa vyanzo kizuri cha historia. Kama ipo ambayo hainiingii akilini huwa sikubaliani nayo, hususan zile zinazo wafarakanisha Waislam.
Hayo yanahusiana na aya uliyoileta? Au hujaelewa majibu yangu? Kuwa Qur'an imekuja kuyakinisha, kukatana mkono kulikuwepo tangu kwa waliopewa vitabu kabla ya Qur'an.
Nini hapo huelewi?
Nasubiri aya ya Qur'an ya "maisha ya kaburini" kutoka kwako.