Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
Na hizi aya kaagiza nani?! Acha Tagyah!View attachment 1013828View attachment 1013830View attachment 1013831
Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia, Luka 19:
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
Unafahamu nani aliyetoa maagizo hayo?
Sijachafua chochote ilaha nasema Haki launkana mura! Hata Allah alitufundisha kuhusu wanawake Nina HAKIKA Alisema HAKI chungu! Dhahir eeh?!Mgeni Mkuu
Umekuja mpaka huku kuchafua mazingira?!!!!
Dah
We jamaa jifunze kuishi na watu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo kumbe unafahamu maana ya kukata ayat eenh?Usikate ayat kukidhi haja zako bibie!? Aliye Ongea Kauli hiyo ni KABAILA YESU ALINUKUU! Fuatilia Hicho kisa kuanzia hiyo aya nibizo kuwekea hadi huo mstari wa.27 ulio unukuu! walahi Yesu angeagiza makafir wageuzwe kibla asinge bakia Hata kafir moja ananajisi ARDHI! View attachment 1013844
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo kumbe unafahamu maana ya kukata ayat eenh?
Bado hujajibu, maneno ya nani hayo? Kama hiyo haikutoshi, pata na hii:
Luka 22:
36 Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.
Good,1) There are quite a few theories on probing. But I do not believe in direct "questioning" or rather probing could do the trick. To try and get the most out of someone is a process and has to be learned. Most important is to "win a friend", by wining someone to be your friend, you have opened for yourself unhindered trust. If someone trusts you they tend to open up easily, no matter what question you ask you will get the most out of it, just make your questions are open ended and not closed ones.
If you know how, believe you me you can gain someone's trusts in few minutes.
Read Dale Carnegie's famous book "How to win friends and influence (influential) people".
FF,Side B,
1.Mshairi na Mwanafasihi Tiban Liyong baadhi ya vitabu vyake- The last Word,Another nigga dead aliwahi kusema kwamba Africa Mashariki ni Jangwa la Usomaji hiyo ikiwa ni Mwaka1969,
Lakini Wanazuoni na Wasomi wa wakati huo walimpinga sana huku akishumbuliwa kwa maneno Makali...
Sasa imepita miongo minne na zaidi,
Swali,
a) Wewe Waonaje hali ya Usomaji wa vitabu nyakati hizi kwa Wanaafrica Mashariki..???
b)Nini Nafasi ya Usomaji vitabu katika kuleta Maendeleo ya Mtu binafsi na Maendeleo ya Taifa kwa Ujumla...?
2. Karume raisi wa kwanza wa Zanzibar aliwahi kusema "Muungano ni kama koti,Waweza kulivua likikubana" Haya yanapatikana katika kitabu cha Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru, kilichoandikwa na Harithi Ghassany.
a)Yapi Mapungufu Makubwa ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ..?
b) Wewe unamtazamo gani na maoni gani kuhusu Muungano,Muungano uvunjwe au Uimarishwe...?
c) Zipi faida na hasara za kuvunja Muungano..?
3.Ushawahi kuandika kitabu chochote kile kiwe cha Siasa,Uchumi,Mahusiano,Sayansi au dini,Michezo/Tamaduni na vinginevyo...?
a)Ipi hasara ya kusoma vitabu..?
b)Nini anakikosa Mtu asiye na utamaduni wa kusoma vitabu...?
4. Mwalimu Nyerere"Mchonga" katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema huwa anatembea na biblia na kajitabu ka'azimio la Arusha akadai huwa anakasoma anakurudia hajaona pabovu kabisa.
a)Nini Maoni yako kuhusu Azimio la Arusha...?
b)Nini pungufu/kasoro kubwa ya Azamio la Arusha..?
c)Nini maoni yako Juu ya Oscar kambona Moja ya wapigania uhuru wa Tanganyika...?
4.Awamu ya Kwanza ya uongozi Tanganyika/Tanzania Mambo gani Makubwa ilifanikiwa na kosa gani kubwa ilifanya..?
a)Yapi Mapungufu ya Mwalimu nyerere katika Uongozi..?
b)Wewe unafikiri Mwalimu anapewa sifa anazositahili...?
c) Mambo gani muhimu ya kujifunza katika awamu ya Kwanza...?
5.Mimi Naamini Maendeleo bora huletwa na mawazo bora yaliyofanyiwa kazi,Mawazo bora hupatikana kwa kuwa na Elimu bora.
a)Mfumo Wetu wa Elimu unamapungufu gani Makubwa...?
b)Tume ya Makweta ya Mwaka 1982 Walipendekeza Lugha ya kiswahili itumike kuanzia ngazi ya Awali mpaka c huo kikuu lakini ilishindikana Nadhani ripoti zitakuwa zinakojolewa na Panya kabatini...Nini maoni yako kuhusu lugha ya kufundishia kitumike Kiswahili au kiingereza na kwanini...? au vyote kama ilivyo sasa...?
c)Wewe unadhani Elimu katika Taifa letu inapewa kipaumbele kikubwa au imeachwa nyuma kama mkia wa Mbuzi...?
6.Mwanamama kutoka Zambia Dambisa Moyo Mwandishi wa Dead Aid na How the west was lost huku pia akiwahi kufanya kazi World Bank...Anasema na kutoa maelezo ya kuwa World Bank Na IMF hazina msaada katika kuinua chumi za Africa zaidi zinatuingiza katika mzigo wa madeni.
Unamaoni gani kuhusu World Bank na IMF katika kuinua uchumi wa Nchi Maskini haswa Nchi za Kusini mwa Jangwa la sahara..?
a)Ipi faida na hasara ya Mfumo wa Ujamaa...?
b)Ipi faida na hasara ya mfumo wa Ubepari..?
c)Tanzania yasasa tunafaata mfumo gani..?
d)Je kuna Mfumo bora zaiidi kuliko Ujamaa au Ubepari..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona usitadhat kakanusha et hakuna? Kumbe hawa jamaa dini yao wanaruhusiwa kuua tuSijachafua chochote ilaha nasema Haki launkana mura! Hata Allah alitufundisha kuhusu wanawake Nina HAKIKA Alisema HAKI chungu! Dhahir eeh?!View attachment 1013868View attachment 1013871View attachment 1013877
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni mbinu yao ya kufikia malengo yao ovu, inaitwa taqyaSasa mbona usitadhat kakanusha et hakuna? Kumbe hawa jamaa dini yao wanaruhusiwa kuua tu
Kwanza u muongo! Hiyo aya wapi imeandikwa "Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad"? Kama mnavyodanganyana!Unataka jibu gani wakati nimekujibu aliye ongea ni KABAILA! Kwa nini unazunguka zunguka? Nimekupa CHANGAMOTO Tuwekee ayat humu YESU ameagiza Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad...weka tuisome na ukiiweka Mimi nitaretardi na kuwa mchawi!View attachment 1013916
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tuandikie wewe usahihi wa hiyo aya ili tusiamin uongoKwanza u muongo! Hiyo aya wapi imeandikwa "Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad"? Kama mnavyodanganyana!
Aya ya Surat Tawba (6) 29 umeiweka wewe na sijaona hayo maneno "wawauwe makafir" uliyoyaandika wewe kwenye hiyo aya, unataka nikujibu hewa?
Mbona unakuja na sura ya kuamini maneno yako!!!Ni kweli Mtume Mohammed alioa binti wa miaka 6???
Noma
Kwann usubiri kuandikiwa,badala ya kujitahidi kusoma au kusomeshwa?!!!Basi tuandikie wewe usahihi wa hiyo aya ili tusiamin uongo
Hayo nimeyasikia sana lakini nadiriki kusema nimefanya "research" binafsi kuhusu hilo na iwe ni kweli au si kweli sijaliona tatizo.Ni kweli Mtume Mohammed alioa binti wa miaka 6???
Noma