Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Biblia, Luka 19:
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.


Unafahamu nani aliyetoa maagizo hayo?

Usikate ayat kukidhi haja zako bibie!? Aliye Ongea Kauli hiyo ni KABAILA YESU ALINUKUU! Fuatilia Hicho kisa kuanzia hiyo aya nibizo kuwekea hadi huo mstari wa.27 ulio unukuu! walahi Yesu angeagiza makafir wageuzwe kibla asinge bakia Hata kafir moja ananajisi ARDHI!
IMG_20190205_083812_491.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikate ayat kukidhi haja zako bibie!? Aliye Ongea Kauli hiyo ni KABAILA YESU ALINUKUU! Fuatilia Hicho kisa kuanzia hiyo aya nibizo kuwekea hadi huo mstari wa.27 ulio unukuu! walahi Yesu angeagiza makafir wageuzwe kibla asinge bakia Hata kafir moja ananajisi ARDHI! View attachment 1013844

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo kumbe unafahamu maana ya kukata ayat eenh?

Bado hujajibu, maneno ya nani hayo? Kama hiyo haikutoshi, pata na hii:

Luka 22:
36 Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.
 
Ohooo kumbe unafahamu maana ya kukata ayat eenh?

Bado hujajibu, maneno ya nani hayo? Kama hiyo haikutoshi, pata na hii:

Luka 22:
36 Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.

Unataka jibu gani wakati nimekujibu aliye ongea ni KABAILA! Kwa nini unazunguka zunguka? Nimekupa CHANGAMOTO Tuwekee ayat humu YESU ameagiza Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad...weka tuisome na ukiiweka Mimi nitaretardi na kuwa mchawi!
IMG_20181203_123754_266.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Faiza namba maoni yako juu ya Muswada wa vyama vya siasa?
 
1) There are quite a few theories on probing. But I do not believe in direct "questioning" or rather probing could do the trick. To try and get the most out of someone is a process and has to be learned. Most important is to "win a friend", by wining someone to be your friend, you have opened for yourself unhindered trust. If someone trusts you they tend to open up easily, no matter what question you ask you will get the most out of it, just make your questions are open ended and not closed ones.

If you know how, believe you me you can gain someone's trusts in few minutes.

Read Dale Carnegie's famous book "How to win friends and influence (influential) people".
Good,

Ahsantee.

Dale Carnegie nimepata kusoma kitabu chake hicho kilicho na kurasa 291.

Bad nina maswali zaidi ya kuuliza.

Shukrani kwa majawabu uliyopata kutoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Side B,

1.Mshairi na Mwanafasihi Tiban Liyong baadhi ya vitabu vyake- The last Word,Another nigga dead aliwahi kusema kwamba Africa Mashariki ni Jangwa la Usomaji hiyo ikiwa ni Mwaka1969,

Lakini Wanazuoni na Wasomi wa wakati huo walimpinga sana huku akishumbuliwa kwa maneno Makali...

Sasa imepita miongo minne na zaidi,
Swali,

a) Wewe Waonaje hali ya Usomaji wa vitabu nyakati hizi kwa Wanaafrica Mashariki..???

b)Nini Nafasi ya Usomaji vitabu katika kuleta Maendeleo ya Mtu binafsi na Maendeleo ya Taifa kwa Ujumla...?

2. Karume raisi wa kwanza wa Zanzibar aliwahi kusema "Muungano ni kama koti,Waweza kulivua likikubana" Haya yanapatikana katika kitabu cha Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru, kilichoandikwa na Harithi Ghassany.

a)Yapi Mapungufu Makubwa ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ..?

b) Wewe unamtazamo gani na maoni gani kuhusu Muungano,Muungano uvunjwe au Uimarishwe...?

c) Zipi faida na hasara za kuvunja Muungano..?

3.Ushawahi kuandika kitabu chochote kile kiwe cha Siasa,Uchumi,Mahusiano,Sayansi au dini,Michezo/Tamaduni na vinginevyo...?

a)Ipi hasara ya kusoma vitabu..?

b)Nini anakikosa Mtu asiye na utamaduni wa kusoma vitabu...?

4. Mwalimu Nyerere"Mchonga" katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema huwa anatembea na biblia na kajitabu ka'azimio la Arusha akadai huwa anakasoma anakurudia hajaona pabovu kabisa.

a)Nini Maoni yako kuhusu Azimio la Arusha...?

b)Nini pungufu/kasoro kubwa ya Azamio la Arusha..?

c)Nini maoni yako Juu ya Oscar kambona Moja ya wapigania uhuru wa Tanganyika...?

4.Awamu ya Kwanza ya uongozi Tanganyika/Tanzania Mambo gani Makubwa ilifanikiwa na kosa gani kubwa ilifanya..?

a)Yapi Mapungufu ya Mwalimu nyerere katika Uongozi..?

b)Wewe unafikiri Mwalimu anapewa sifa anazositahili...?

c) Mambo gani muhimu ya kujifunza katika awamu ya Kwanza...?

5.Mimi Naamini Maendeleo bora huletwa na mawazo bora yaliyofanyiwa kazi,Mawazo bora hupatikana kwa kuwa na Elimu bora.

a)Mfumo Wetu wa Elimu unamapungufu gani Makubwa...?

b)Tume ya Makweta ya Mwaka 1982 Walipendekeza Lugha ya kiswahili itumike kuanzia ngazi ya Awali mpaka c huo kikuu lakini ilishindikana Nadhani ripoti zitakuwa zinakojolewa na Panya kabatini...Nini maoni yako kuhusu lugha ya kufundishia kitumike Kiswahili au kiingereza na kwanini...? au vyote kama ilivyo sasa...?

c)Wewe unadhani Elimu katika Taifa letu inapewa kipaumbele kikubwa au imeachwa nyuma kama mkia wa Mbuzi...?

6.Mwanamama kutoka Zambia Dambisa Moyo Mwandishi wa Dead Aid na How the west was lost huku pia akiwahi kufanya kazi World Bank...Anasema na kutoa maelezo ya kuwa World Bank Na IMF hazina msaada katika kuinua chumi za Africa zaidi zinatuingiza katika mzigo wa madeni.

Unamaoni gani kuhusu World Bank na IMF katika kuinua uchumi wa Nchi Maskini haswa Nchi za Kusini mwa Jangwa la sahara..?

a)Ipi faida na hasara ya Mfumo wa Ujamaa...?

b)Ipi faida na hasara ya mfumo wa Ubepari..?

c)Tanzania yasasa tunafaata mfumo gani..?

d)Je kuna Mfumo bora zaiidi kuliko Ujamaa au Ubepari..?





Sent using Jamii Forums mobile app
FF,

Naomba Majawabu yako,Maoni n.a. mtazamo juu ya Maswali haya niliyouliza.

Shukran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kukuambia Ndg Mgen

Unapenda kuropoka mambo usiyoyajua

Katika Uzi ZINAA KATIKA UISLAM,tuliwahi kulijadili jambo hili la TAQIYYAH,Kisha mkakaa kimya mpaka leo

Leo
unakuja huku na kulianzisha tena?!!!
Rudi kwenye uzi wetu kule,kisha uendelee na mada mlizozikimbia

Nadhani
Lengo lengo,ni vurugu na fujo katika uzi hususan ulianzishwa na Muislam ...
Nadhani hili ndio lengo lako kuu
Nadhani lkn.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka jibu gani wakati nimekujibu aliye ongea ni KABAILA! Kwa nini unazunguka zunguka? Nimekupa CHANGAMOTO Tuwekee ayat humu YESU ameagiza Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad...weka tuisome na ukiiweka Mimi nitaretardi na kuwa mchawi!View attachment 1013916

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza u muongo! Hiyo aya wapi imeandikwa "Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad"? Kama mnavyodanganyana!

Aya ya Surat Tawba (9) 29 umeiweka wewe na sijaona hayo maneno "wawauwe makafir" uliyoyaandika wewe kwenye hiyo aya, unataka nikujibu hewa?
 
Kwanza u muongo! Hiyo aya wapi imeandikwa "Wafuasi wake wawauwe makafir kama alivyo agiza allah kwa kinywa cha Muhammad"? Kama mnavyodanganyana!

Aya ya Surat Tawba (6) 29 umeiweka wewe na sijaona hayo maneno "wawauwe makafir" uliyoyaandika wewe kwenye hiyo aya, unataka nikujibu hewa?
Basi tuandikie wewe usahihi wa hiyo aya ili tusiamin uongo
 
Ni kweli Mtume Mohammed alioa binti wa miaka 6???

Noma
Hayo nimeyasikia sana lakini nadiriki kusema nimefanya "research" binafsi kuhusu hilo na iwe ni kweli au si kweli sijaliona tatizo.

Naomba uelewe kuwa ndoa ya Kiislam inatimia na kukamilika pale tu ambapo mwanamke anakubali kuoana kwa ridhaa yake na baada ya tendo la ndoa kufanyika (marriage consummated).

Baada ya kupata kuelewa huo, sasa napenda ufahamu kuwa kwa mila na desturi za makabila hata kwetu Tanzania (wengi hadi leo hii) wanafungishwa uchumba wangali wadogo kabisa (nasikia Wamasai hufunga (booking) uchumba hata mtoto hajazaliwa, kwa mimba tu. Kuwa binti akizaliwa atakuwa mke wa fulani.

Kwa maana hiyo, Mtume Muhammad sala Allahu alayhi wasalaam hana kosa hata ingekuwa kafunga uchumba na binti wa miaka mitatu wacha sita.

Muhimu hakutimiza ndoa (marriage consummated) binti akiwa na miaka 6. Hilo hapana ni uzushi tu.
 
Basi tuandikie wewe usahihi wa hiyo aya ili tusiamin uongo
Ya nini niweke tena na mgen kishaiweka na hiyo hiyo rejea juu kidogo post namba 2661 uone inasemaje. Kisha naomba urudi kutujulisha ulichokisoma kwenye hiyo aya.
 
Back
Top Bottom