Na hajibu maswali anayo ulizwa. Hapa leo amekuja na uongo mwingine, ana dai maswaliniliyo muuliza ameyajibu. Sasa nikamuonyesha ya kuwa hajajibu hata swali moja, nimemuwekea yale maswali aniambie ameyajibu wapi au ayajibu tena. Mpaka muda huu nasubiri majibu.
Mnashindwa kuleta Ayat za adhabu ya kaburi halafu mnataka kuuliza? Kwanza malizeni hilo moja...
Na hajibu maswali anayo ulizwa. Hapa leo amekuja na uongo mwingine, ana dai maswaliniliyo muuliza ameyajibu. Sasa nikamuonyesha ya kuwa hajajibu hata swali moja, nimemuwekea yale maswali aniambie ameyajibu wapi au ayajibu tena. Mpaka muda huu nasubiri majibu.
Huna swali ambalo hukujibiwa kijana.Nasubiri majibu ya maswali yangu. Hatulei ujinga sisi.
Unakimbia swali la waznu?Zamani tulikuwa na duka kwetu nilikuwa nautumia kupimia watu sembe.
Wapi Ayat za Qur'an za adhabu ya kaburi.
Mimi nakwambia hakuna. Mwite na mwenzako Zurri msaidiane kuzitafuta, waiteni na mashetani wenzenu, pia hamtozikuta.
Mtamzulia maneno yenu Mtume tu lakini kuibadili Qur'an hamtaweza.
Kwako ili hadithi itoke kwa Mtume iweje?Hiyo hadith' ya mtume iko wapi? Hebu weka hapa tuione.
Mwenzako anayejiita @dafuher umesahau nilimfanya nini na hadithi yake mpaka akakiri hawezi kujibu?
Kwanza nnawangoja na Ayat za adhabu ya kaburi mnazojidai zipo nyingi. Leteni
hapa mnashindwa nini?
Ningewaambia mlete hadith zenu za kujitungia mnazojidai eti za Mtume za adhabu ya kaburi mngeleta kibao. Si uongo mtupu huo.
Mkuu huyu mama anawazimu si bure.Na hajibu maswali anayo ulizwa. Hapa leo amekuja na uongo mwingine, ana dai maswaliniliyo muuliza ameyajibu. Sasa nikamuonyesha ya kuwa hajajibu hata swali moja, nimemuwekea yale maswali aniambie ameyajibu wapi au ayajibu tena. Mpaka muda huu nasubiri majibu.
Naona unakimbia maswali, nimekuuliza ni upi msimamo wako kuhusu Hadithi za mtume, unataka tena nikupe hadithi ?Hiyo hadith' ya mtume iko wapi? Hebu weka hapa tuione.
Mwenzako anayejiita @dafuher umesahau nilimfanya nini na hadithi yake mpaka akakiri hawezi kujibu?
Kwanza nnawangoja na Ayat za adhabu ya kaburi mnazojidai zipo nyingi. Leteni
hapa mnashindwa nini?
Ningewaambia mlete hadith zenu za kujitungia mnazojidai eti za Mtume za adhabu ya kaburi mngeleta kibao. Si uongo mtupu huo.
Leo ina katika wiki sasa maswali yangu hutaki kujibu. Hatumalizi hili mpaka liishe, kisha twende nukta inayofata. Hatulei ujinga na watu waongo.
Mnashindwa kuleta Ayat mnazojidai zipo za adhabu ya kaburi halafu mnataka kuuliza? Kwanza malizeni hilo moja...
Qur'an 37:
154. Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi? 154
155. Hamkumbuki? 155
156. Au mnayo hoja iliyo wazi? 156
157. Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli. 157
Huna swali ambalo hukujibiwa kijana.
Nasubiri Ayat za Qur'an za adhabu ya kaburi.
Qur'an 37:
154. Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi? 154
155. Hamkumbuki? 155
156. Au mnayo hoja iliyo wazi? 156
157. Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli. 157
Leo ina katika wiki sasa maswali yangu hutaki kujibu. Hatumalizi hili mpaka liishe, kisha twende nukta inayofata. Hatulei ujinga na watu waongo.
Msimamo wako ni upi kuhusu hadithi ,naona unazikwepa sana
Sijajua msimamo wako ni upi
Bado hujaweka wazi unazikubali hadithi kwenye uislamu? Na mfano wa hadithi unazokubali ni zipi ?Msimamo wangu kuhusu hadithi upo very simple na clear. Nisome vizuri...
Hadithi zipo na zitaendelea kuwepo na zitaendelea kuhadithiwa.
Lakini siyo hadithi utowe wewe au Shaikh wako au Shaikh wa Shaikh wako halafu msingizie hiyo "hadithi ya Mtume". Hilo ndilo nakataa mimi.
Hadith inabaki kuwa masimulizi ya msimulizi wa hiyo "hadith" na si ya anaetajwa katika hiyo "hadith".
Umeelewa?
Naona kule unajaribu kila njia kuharibu mada ya Mrembo wa Karne Bi.Mariam, ndiyo maana nakuvuta hapa nikujibu maswali yako.Vipi msimamo wako kuhusu Hadithi ?
Mbona unarukaruka mama ...
Kanisome tena juu hapo. Umeelewa nilichokiandika post namba 3001 kukujibu au hujaelewa?Bado hujaweka wazi unazikubali hadithi kwenye uislamu? Na mfano wa hadithi unazokubali ni zipi ?
MTUME ameshasema hajui atakachofanywa wala nyie mnaomfuata
Vipi kamari nayo ni haramu?
Ndugu unapata wapi jeuri ya kusema hakuna mwislamu anayekataa hadithi wakati tayari @Faizyfoxy tayari ni mwislam ila kakataa kata kata kupokeA masimulizi
Happy dude [emoji67][emoji538]
Post 3001 hujaweka wazi kama katika uislamu unazikubali hadithi au unazikataa ,na kama.unazikubali ni za aina gan utoe namfano na kama unazikataa ni sababu gani na uweke mfano ,ili tunapojadili na wewe ,tujue tunajadili na mtu wa aina gani, isije tukawa tunakupa rejea za hadithi kumbe huzikubali .Kanisome tena juu hapo. Umeelewa nilichokiandika post namba 3001 kukujibu au hujaelewa?
Au hujalipenda jibu?
Au kichwani kwako tayari una majibu na hayakuendana na nilichokujibu?
Post 3001 hujaweka wazi kama katika uislamu unazikubali hadithi au unazikataa ,na kama.unazikubali ni za aina gan utoe namfano na kama unazikataa ni sababu gani na uweke mfano ,ili tunapojadili na wewe ,tujue tunajadili na mtu wa aina gani, isije tukawa tunakupa rejea za hadithi kumbe huzikubali .
Ni hayo tu mama