Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Na hili nalijua na nina jua asili ya tarjama ya Sheikh Ali Muhsin al Bar'wan.

Hujajibu swali, kwahiyo maelezo ya ziada ya al Bar'wan una yakubali ? Hapa ni takuuliza swali lingine, maneno yake ameyaegemeza wapi ?

Nakuliza hivi, tashahudi yako kabla hujatoa salamu unapo sali, huwa unaisomaje ? Hii wiki ya pili tunaitafuta, swali hili hujibu.
Kijana, nayakubali maelezo ya Barwani ya Aya 109 ya Surat Tawba. Ingekuwa siyakubali nisinge kuzaba nayo kukutowa ujinga wako wa kukazania adhabu za kaburi ndani ya Qur'an. Maelezo mengine mengi sijayasoma kwa hiyo siwezi kuelewa mpaka nitapoyasoma nitajuwa kama nayakubali au la.

Na hilo ni kwa Maulamaa wote, yapo ambayo nayakubali na yapo ambayo nnahitilafiana nayo.

Hiyo si kioja wala kiroja ni kawaida kwa Maulamaa wakubwa pia wengi wamehitilafiana katika masuala mengi ya Kiislam.

Hilo hi swali la kutafuta pakutokea kijana halina tija kwako.

Uliza maswali yenye manufaa kwako na kwa wanaousoma uzi huu.

Usiwe mjinga kijana, uliza swali moja moja upate faida ya kujibiwa, unaingiza mada tofauti tofauti kwenye post moja. Hujasoma Fiqhi wewe? Eboo!

Kwa hiyo umemaliza kuhusu adhabu ya kaburi na umekiri kuwa hakuna kwenye Qur'an, maana ulisema unazo Aya nyingi tu kuhusu Hilo. Ziko wapi?

Usijidai kukimbia hapa kuhusu adhabu za kaburi ndani ya Qur'an Kwa kuleta habari za kutawadha na salat. Huchomoki hapa.
 
Ohoo, usikimbie hili swali, sio kwamba nataka kujua ibada yako, huna ibada yako kwa dhati bali kuna ibada alizotufunza mtume.

Sasa niambie ibada zako zikoje,je ni kwa mtazamo wako au kwa mafunzo ya mtume ?

Maana katika Qur'aan hakuna namna ya kusali wala Qur'aan haijaelezea masharti na nguzo za sala kwa undani isipokuwa aya ya twahara (udhu) kwa ujumla.

Sasa tuambie ibada zako unazo fanya umezitoa wapi ?

Maswwli yangu yamejitosheleza ni wewe tu kuamua kujibu au kukimbia kama unavyo kimbia.

Nilikuuliza tu kikao chako kabla ya kutoa salamu katika sala, huwa unasoma nini ?
Hayo maswali myepesi sana Lakini Kwanza tumalize la adhabu ya kaburi.

Nasubiri Aya ulizodai kuwa ni "nyingi kwenye Qur'an zinaelezea adhabu ya kaburi".

Umekuja na moja na tumeshakupa darsa kuwa hizo siyo adhabu za kaburi kwenye Aya 109 ya Surat Tawba, sasa kiri kuwa Qur'an haina Aya nyingine halafu ulete maswali yako mengine. Au leta hizo Aya tukuendelezee darsa.

Tena elewa, kisomi huwa mnajadili mada moja mpaka ikamilike halafu ndiyo mnahamia nyingine.

Usiwe poyoyo. Hakuna mwanafunzi wangu ambae ni poyoyo, usiwe wa kwanza.
 
Na hili nalijua na nina jua asili ya tarjama ya Sheikh Ali Muhsin al Bar'wan.

Hujajibu swali, kwahiyo maelezo ya ziada ya al Bar'wan una yakubali ? Hapa ni takuuliza swali lingine, maneno yake ameyaegemeza wapi ?

We poyoyo umeshasahau uliandika nini juu huko? Jikumbushe chini hapa...

Kwanza nakuweka sawa, Sheikh Ali Muhsin al Barwan hana Tafsiri, amefanya tarjama ya neno kwa neno toja katika "al Muntakhab".

Nakukumbusha tu hayo maneno ya al Bar'wan ni sehemu ya aya au ni maneno ya ziada ? Sasa inakuwaje kunya anye kuku akinya bata amehara ?

Naona una kula matapishi yako sio. Hiki kina kirefu bi mkubwa.

Bar'wan amesema wapi hizo adhabu mara mbili ni za hapa duniani ? Na marejeo yake ni wapi ?

Umejiona ulivyo poyoyo, kwanza ulikataa, ulijidai ooh Barwan "hana Tafsiri, amefanya tarjama ya neno kwa neno" tu, sasa unajidai kuuliza "maelezo ya ziada ya al Bar'wan una yakubali ? "

Kwi kwi kwi teh teh teh. Barwan kakuzaba cha kikelb, nikuwekee tena kikuingie vizuri?

Nani aliyekula matapishi yake hapo? Ptuuuu.
 
Umejibu wapi ulipoleta waznu wa neno kuowana kwa kiarabu au wajifaragua tu?

Mimi nataka waznu hapa usikimbie we mzee mpaka upambanukiwe na ujuha hapa.


NATAKA UNIPE NENO KUOWANA KWA KIARABU LITAPIMA KWA WAZNU UPI..?
wenzako kakusaidia post na 3056 kamsome.

Wewe umekazania kitu ambacho hukielewi. Nimejibu 3063.

Someni acheni uvivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mada yangu nataka unipe neno kuowana kwa kiarabu na wwznu wake ni upi?
Mbona kama wewe unataka mada hapa hujajibu?
Au umenipa huo waznu bibie.nimekuambia kuwa waznu hautegemei mambo mawili kama ulivyojipapatua kwenye comment yako,na haujapinga kuonesha unabahatisha tuu mambo.


Nipe waznu wa neno kuowana kwa kiarabu.
Hayo maswali myepesi sana Lakini Kwanza tumalize la adhabu ya kaburi.

Nasubiri Aya ulizodai kuwa ni "nyingi kwenye Qur'an zinaelezea adhabu ya kaburi".

Umekuja na moja na tumeshakupa darsa kuwa hizo siyo adhabu za kaburi kwenye Aya 109 ya Surat Tawba, sasa kiri kuwa Qur'an haina Aya nyingine halafu ulete maswali yako mengine. Au leta hizo Aya tukuendelezee darsa.

Tena elewa, kisomi huwa mnajadili mada moja mpaka ikamilike halafu ndiyo mnahamia nyingine.

Usiwe poyoyo. Hakuna mwanafunzi wangu ambae ni poyoyo, usiwe wa kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa unatumia kipimo gani kufahamu ukweli wa vi clips na vi makala vyako ambavyo havitoki katika vyombo vya habari vikubwa na vyenye kuheshimima kabla ya kuvileta hapa JF?
General Knowledge.

Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.

Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.

Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.

Update 1:
Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.

Update 2:
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.

Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.

Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.

Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja aliyeuliza swali lolote kuhusu hilo.

Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.

Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.

Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mada yangu nataka unipe neno kuowana kwa kiarabu na wwznu wake ni upi?
Mbona kama wewe unataka mada hapa hujajibu?
Au umenipa huo waznu bibie.nimekuambia kuwa waznu hautegemei mambo mawili kama ulivyojipapatua kwenye comment yako,na haujapinga kuonesha unabahatisha tuu mambo.


Nipe waznu wa neno kuowana kwa kiarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haujuwi unachokiuliza, waliokufundisha wamekusomesha ujinga.

Mimi nasubiri ahadi yako ya kunipa Ayat za Quraan za adhabu ya kaburi. Umeahidi toka mwaka jana, mpaka leo hujaziona tu? Au hauna Qur'an una vitabu vya porojo tu?

Au hujaziona nikusaidie? Kiri tu.

Mwenzako anaejiita Zurri alikuja na uzushi na kutaka kubambikia maneno yake, kazabwa cha kikelb na Barwan. Sasa anahaha hajuwi aanzie wapi. Mwambie akusaidie, thubutu!

Halafu kijana wa kiume kujiita Zurri inafikirisha.
 
Huwa unatumia kipimo gani kufahamu ukweli wa vi clips na vi makala vyako ambavyo havitoki katika vyombo vya habari vikubwa na vyenye kuheshimima kabla ya kuvileta hapa JF?

Sent using Jamii Forums mobile app
"Vi clips" ndiyo nini na "vimakala" vipi hivyo? Sina "vimakala" vyangu wala sijuwi kuviandika "vimakala". Umeviona wapi?
 
Haujuwi unachokiuliza, waliokufundisha wamekusomesha ujinga.

Mimi nasubiri ahadi yako ya kunipa Ayat za Quraan za adhabu ya kaburi. Umeahidi toka mwaka jana, mpaka leo hujaziona tu? Au hauna Qur'an una vitabu vya porojo tu?

Au hujaziona nikusaidie? Kiri tu.

Mwenzako anaejiita Zurri alikuja na uzushi na kutaka kubambikia maneno yake, kazabwa cha kikelb na Barwan. Sasa anahaha hajuwi aanzie wapi. Mwambie akusaidie, thubutu!

Halafu kijana wa kiume kujiita Zurri inafikirisha.
Ujinga kukudai waznu wa neno kuowana?


Lete huo waznu hapa sitaki stori.

Uko wapi waznu wa neno kuowana kwa lugha ya kiarabu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana, nayakubali maelezo ya Barwani ya Aya 109 ya Surat Tawba. Ingekuwa siyakubali nisinge kuzaba nayo kukutowa ujinga wako wa kukazania adhabu za kaburi ndani ya Qur'an. Maelezo mengine mengi sijayasoma kwa hiyo siwezi kuelewa mpaka nitapoyasoma nitajuwa kama nayakubali au la.

Na hilo ni kwa Maulamaa wote, yapo ambayo nayakubali na yapo ambayo nnahitilafiana nayo.

Hiyo si kioja wala kiroja ni kawaida kwa Maulamaa wakubwa pia wengi wamehitilafiana katika masuala mengi ya Kiislam.

Hilo hi swali la kutafuta pakutokea kijana halina tija kwako.

Uliza maswali yenye manufaa kwako na kwa wanaousoma uzi huu.

Usiwe mjinga kijana, uliza swali moja moja upate faida ya kujibiwa, unaingiza mada tofauti tofauti kwenye post moja. Hujasoma Fiqhi wewe? Eboo!

Kwa hiyo umemaliza kuhusu adhabu ya kaburi na umekiri kuwa hakuna kwenye Qur'an, maana ulisema unazo Aya nyingi tu kuhusu Hilo. Ziko wapi?

Usijidai kukimbia hapa kuhusu adhabu za kaburi ndani ya Qur'an Kwa kuleta habari za kutawadha na salat. Huchomoki hapa.
Maswali yangu yamekuzidi uwezo. Si una kataa hadithi bibie, sasa tulia uonyeshwe ya kuwa mtume alikuja na ufunuo wa aina mbiki, Qur'aan na Hadithi.

Sasa nakusaidia tu ya kuwa katika Tashahudi kuna dua na kikao hiki ni wajibu katika sala, kuna dua lazima uisome dua ambayo mtume ameifundisha kuomba juu ya mambo manne. Likiwemo la kuomba Allah atuepushe na fitna za kaburini.

Hili kimeisha. Huna uwezo nalo.

Kuhusu maelezo ya Bar'wan hatuyafanyii kazi sababu hayana ushahidi.
 
Ujinga kukudai waznu wa neno kuowana?


Lete huo waznu hapa sitaki stori.

Uko wapi waznu wa neno kuowana kwa lugha ya kiarabu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo wewe.nimeshakupq darsa Sana kuhusu "wazn". Usidanganye watu hapa hiyo "waznu" yako tafsiri yake nini Kiswahili au Kingereza?
Wewe itakuwa
haujuwi unachotaka kuuliza umekazania "waznu", waznu".

"Wazn" = mizani (balance).

Kwa lugha zote za uandishi, iwe Kiswahili au Kiarabu au Kingereza, mizani unaipata kwenye mashairi au tungo zozote zile na kwenye muziki.

Sasa wewe unataka nikutungie mashairi na "waznu" yako?

Kijana huna ulijuwalo na ujinga wa kujifanya unajuwa ndiyo unajikosesha mengi sana ya ilm.

Mimi nasubiri ahadi yako ya kunipa Ayat za Quraan za adhabu ya kaburi. Umeahidi toka mwaka jana, mpaka leo hujaziona tu? Au hauna Qur'an una vitabu vya porojo tu?
 
Maswali yangu yamekuzidi uwezo. Si una kataa hadithi bibie, sasa tulia uonyeshwe ya kuwa mtume alikuja na ufunuo wa aina mbiki, Qur'aan na Hadithi.

Sasa nakusaidia tu ya kuwa katika Tashahudi kuna dua na kikao hiki ni wajibu katika sala, kuna dua lazima uisome dua ambayo mtume ameifundisha kuomba juu ya mambo manne. Likiwemo la kuomba Allah atuepushe na fitna za kaburini.

Hili kimeisha. Huna uwezo nalo.

Kuhusu maelezo ya Bar'wan hatuyafanyii kazi sababu hayana ushahidi.
Ushahidi ni Qur'an. Kakuzaba. Cha kikelb unatafuta pakutokea unataka ushahidi wa hadith za kutunga? Kwi kwi kwi teh teh teh.

Vipi Aya zako ukizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.

Unaomba poo kwa kujidai utaleta Aya za hadith?

Aya za hadith zipo kibao ndani ya Qur'an lakini zote zinamaanisha Qur'an na hadith zilizo ndani ya Qur'an. Si vihadithi vyenu vya kishetani. Hivyo vimepondwa haswa ndani ya Qur'an na juu huko nilikuwekea aya hizo.

khaa! eti Mtume atowe hadith "mtu anapulizwa matako kwenye salat" na nyie mnashangilia tu huo ujinga! Nyie mtapigwa na laana kwa uzushi wenu na ombeni toba mapema msije kusema hamjaambiwa. Ndiyo maana mnawapa msemo wenye chuki na Uislam kwa vihadithi vyenu vya upuuzi.
 
We poyoyo umeshasahau uliandika nini juu huko? Jikumbushe chini hapa...



Umejiona ulivyo poyoyo, kwanza ulikataa, ulijidai ooh Barwan "hana Tafsiri, amefanya tarjama ya neno kwa neno" tu, sasa unajidai kuuliza "maelezo ya ziada ya al Bar'wan una yakubali ? "

Kwi kwi kwi teh teh teh. Barwan kakuzaba cha kikelb, nikuwekee tena kikuingie vizuri?

Nani aliyekula matapishi yake hapo? Ptuuuu.
Sasa nani amekubali hapo kama al Bar'wan anayo tafsiri, hana Tafsiri ya Qur'aan. Maarufu alifanya tarjama ya kitabu cha Tafsiri kiitwacho "al Muntakhab al Akhbar". Tuliza akili acha mawenge.
 
Haujuwi unachokiuliza, waliokufundisha wamekusomesha ujinga.

Mimi nasubiri ahadi yako ya kunipa Ayat za Quraan za adhabu ya kaburi. Umeahidi toka mwaka jana, mpaka leo hujaziona tu? Au hauna Qur'an una vitabu vya porojo tu?

Au hujaziona nikusaidie? Kiri tu.

Mwenzako anaejiita Zurri alikuja na uzushi na kutaka kubambikia maneno yake, kazabwa cha kikelb na Barwan. Sasa anahaha hajuwi aanzie wapi. Mwambie akusaidie, thubutu!

Halafu kijana wa kiume kujiita Zurri inafikirisha.
Bado maneno ya al Bar'wan hayatiliwi mkazo na hayafanyiwi kazi sababu hayana asili na hajaegemeza kwenye asili. Sisi tuna asili ya maneno ya mtume.

Nilikwambia sikutukani bi mkubwa nakudharau tu na kuku jeruhi.

Kwetu tusi huitwa jeneza. Mjinga nakupa amani. Zurri maana yake nini bibie ?
 
Back
Top Bottom