Hizo naziweka pindi ukishajibu maswali yangu. Ondoa shaka juu ya hilo. Wewe jibu maswali nikuwekee aya nyingine. Tuna hazina bibie.Vipi Aya zako ukizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.
Bibie ibada zako unazifanya vipi ? Hili mbona hujibu ?Ushahidi ni Qur'an. Kakuzaba. Cha kikelb unatafuta pakutokea unataka ushahidi wa hadith za kutunga? Kwi kwi kwi teh teh teh.
Vipi Aya zako ukizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.
Unaomba poo kwa kujidai utaleta Aya za hadith?
Aya za hadith zipo kibao ndani ya Qur'an lakini zote zinamaanisha Qur'an na hadith zilizo ndani ya Qur'an. Si vihadithi vyenu vya kishetani. Hivyo vimepondwa haswa ndani ya Qur'an na juu huko nilikuwekea aya hizo.
khaa! eti Mtume atowe hadith "mtu anapulizwa matako kwenye salat" na nyie mnashangilia tu huo ujinga! Nyie mtapigwa na laana kwa uzushi wenu na ombeni toba mapema msije kusema hamjaambiwa. Ndiyo maana mnawapa msemo wenye chuki na Uislam kwa vihadithi vyenu vya upuuzi.
Kwi kwi kwi teh teh tehSasa nani amekubali hapo kama al Bar'wan anayo tafsiri, hana Tafsiri ya Qur'aan. Maarufu alifanya tarjama ya kitabu cha Tafsiri kiitwacho "al Muntakhab al Akhbar". Tuliza akili acha mawenge.
Acha porojo wewe. Jibu hili kwanza kabla hujaanzisha lingine...Bibie ibada zako unazifanya vipi ? Hili mbona hujibu ?
Allah ameihifadhi Qur'aan na amezihifadhi Hadithi za mtume pia, ndio maana leo hii tunazijua zipi hadithi sahihi, zipi hadithi hassan, zipi hadithi dhaifu na zipi hadithi maudhui. Hili kwetu halina shida.
Swali, unasali vipi wewe ? Rakaa nne katika sala ya adhuhuri ipo kwenye Qur'aan ?
Acha porojo wewe. Jibu hili kwanza kabla hujaanzisha lingine...
Vipi Aya zako ukizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.
Nnakushauri kwanza soma Qur'an Surat ANNAS ya mwisho kabisa kwenye Qur'an (114) umuombe Allah akuepushe na wasiwasi. Soma mara tatu.Nimeanza kuwa nawasiwasi na wewe faiza foxy au labda sijakuelewa unachokusudia nini? Kwamba unasema hakuna adhabu za kaburi kwamujibu wa qur'an au? Na pia hakuna aya inayoelezea ktk swala la ndoa muoaji ni wanaume? Au unakusudia nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwambia kila siku, bi mkubwa huna unalo lijua.Kwi kwi kwi teh teh teh
Kumbe hata Kiswahili kinakupiga chenga? Kile nilichokuwekea usome juu kule cha Barwan ni nini kile kama si tafsiri ya Qur'an? Huwa sikisii kijana. Soma...
View attachment 1357898View attachment 1357903
Fata link: Qurani Karimu – Tafsiri ya Qurani – Swahili
Rakaa nne unazo sali katika adhuhuri na Alasiri umezipata wapi ?Huna ndiyo ujinga wenyewe huo uliolelewa nao.
Kinakushinda nini?
Wewe punguani maana ya tarjama kwa Kiswahili ni tafsiri.Nakwambia kila siku, bi mkubwa huna unalo lijua.
Kuna Tarjama za Qur'aan kwa Kiswahili, na hakuna Tafsiri ya Qur'aan kwa Kiswahili. Hili ni kosa wanalo lifanya waswahili wengi, mahala pa Tarjama wanatumia tamko Tafsir.
Nakudai maswali yangu
Vipi Aya zako ulizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.Rakaa nne unazo sali katika adhuhuri na Alasiri umezipata wapi ?
Silei ujinga.
Kwa heshima na taadhima naomba nifunge mjadala na wewe. Maana hujui mambo mengi.Wewe punguani maana ya tarjama kwa Kiswahili ni tafsiri.
Mpaka nimekupigia picha hapo bado huelewi.
Wewe mama'ko basi yupo mashakani sana na alipata taabu sana kukukuza wewe.
Kwanini hujibu maswali yangu ?Vipi Aya zako ukizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.
Kwanini hujibu maswali yangu ?
Kwa heshima na taadhima naomba nifunge mjadala na wewe. Maana hujui mambo mengi.
Nenda kaulize kote Tarjama kwa Kiswahili ni Tafsiri ?
kwakuwa hukuanzisha uzi huu ili uwe ni mdahalo, bali umeanzisha kwa ajili ya "kuulizwa maswali" na siyo wewe kujibiwa maswali,.Vipi Aya zako ukizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kwenye Qur'an yamekushinda? Huwezi na hutoweza kuleta porojo ya adhabu ya kaburi ndani ya Qur'an.
Langu kwake "technically" siyo swali bali yeye aliahidi kunifundisha ayat za Qur'an zenye adhabu ya kaburi tena kasema zipo nyingi tu na mwenzake mmoja ajiitae safuher ni hilo hilo.kwakuwa hukuanzisha uzi huu ili uwe ni mdahalo, bali umeanzisha kwa ajili ya "kuulizwa maswali" na siyo wewe kujibiwa maswali,.
kwa muktadha huo basi jibu maswali hayo uliyoulizwa ili uende sawa na "kichwa ha habari"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikujibu mwaka 2016 leo tupo 2020.FaizaFoxy tunaomba analysis yako, nini hitma ya Tanzania iwapo Trump akichukua nchi?
Tayari USA baby wameshatukatia msaada wa Millennium Challenge Goal pamoja na msaada wa madawa uliokuwa ukipitia USAID.
Mpaka sasa Donald Trump anaongoza kwa kura 244 dhidi ya 214 za Hilary Clinton
Huna cha heshima wala taadhima.
Unakimbia huna jibu, umekosa ayat za Qur'an zenye adhabu ya kaburi, "unatoka nduki".
Kiri tu huna nianze kukupa darsa la salat na udhu na rakaa na kingine chochote utachouliza kutoka ndani ya Quran, labda utaelewa kuwa Qur'an inafundishwa na Allah na si hadithi.
Soma...
Qur'an 55:
1. Arrah'man, Mwingi wa Rehema 1
2. Amefundisha Qur'ani. 2
Vipi Aya zako ulizoahidi kuleta za adhabu za kaburi kutoka kwenye Qur'an?Yamekushinda?