Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Waislamu muna uhusiano gani na majini na kwa nn yanaitwa kwa majina ya kislamu tu


Majinni ni viumbe vya Allah kama ilivyo wewe na mimi.

Kuna Majinni Waislam na kuna Majinni Wakristo na kuna Majinni yasiyoamini.

Hakuna uhusiano wote zaidi ya kulitambua hilo.

Kuhusu majina, si kigezo kizuri kwani mie nnamfahamu kijana mmoja anaitwa Abdallah lakini si Muislam. Ni maarufu sana katika kanisa la Wasabato hapo Dar.
 
Mama Nmefuatilia kwa ukarbu Sana... Hayo unayodai yanafanyika sidhani Kama ni kweli... Nina mahubir mengi tu ya masheikh maarufu tu.. Hawakemei na wakisema ni mafumbo mafumbo.. Na Wengine wnaunga mkono moja kwa moja.. Mfano sheikh Rogo na wenzie...
 
Njia nyepesi ya kukomboa Talaka ambayo weengi huifanya ni kufanya tendo la ndoa! Yaani ukifanya tendo La ndoa na mwanaume aliyekupa talaka unakua umerudiana nae automatically
Huko no kufanya zinaa hebu tafuta jibu la kweli!
 
Hakuna majini Wakristo, au leta andiko la kuthibitisha.
 
Hivi Alla (Molla) unayemwamini amekuwa dhaifu kiasi cha kuhitaji msaada wetu wanadamu kupigana kwa ajili yake?

Hivi Molla (Alla) unayemwamini hana REHEMA (hasamehe wanadamu).

Ahsante

 
Hiyo prfl ni wewe?
 
Wewe ni msemaji wake?

Je kama nimemuuliza hilo swali sekunde au dakika chache tu zilizopita?
 
Tuonyeshe wawekezaji mliokuwa mnawafuata America.
 
Acha uandazi wewe. Angejua kua atachoka kujibu asingeweka Uzi huu
Awe mwanaume awe mwanamke wote hufunzwa nn cha kufanya Mara baada ya tendo la ndoa , kwaiyo sioni mantiki mtu kama kaoa au kaolewa aje aulize kuhusu kutoa Janaba, msimchoshe Faiza wa watu
 
Utashi wangu unaligomea jibu lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…