FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #281
Waislamu muna uhusiano gani na majini na kwa nn yanaitwa kwa majina ya kislamu tu
Majinni ni viumbe vya Allah kama ilivyo wewe na mimi.
Kuna Majinni Waislam na kuna Majinni Wakristo na kuna Majinni yasiyoamini.
Hakuna uhusiano wote zaidi ya kulitambua hilo.
Kuhusu majina, si kigezo kizuri kwani mie nnamfahamu kijana mmoja anaitwa Abdallah lakini si Muislam. Ni maarufu sana katika kanisa la Wasabato hapo Dar.