Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mzee mwenzako ujueHakuna tusi hapo si ndiyo vijana mlivyo. Unakataa nikuwekee ushahidi?
Imekuaje FA ya mpira wa miguu ya Canada imetangaza kufilisika na kutaka kujitoa kwenye mashindano ya FIFA?
Nini kimeifikisha hapo ilipo?
Hii ni funzo kwa michezo mingine?
Shukrani MadameKwanza, uunaelewa Canada football siyo mchezo unaofatiliw saana kama nchi zingine.
Caanada mchezo wa kwanz ani Ice Hockey, huo unapedwa sana .
Ntafatilia news zake ntakuja kutoa maoni, ndiyo kwanza nasikia kutoka kwako.
Nimefatilia kijuujuu, naona ni mambo ya pesa na malipo tu kwa wachezaji wa timu zao za Taifa. Zote, za wanawake na wanaume Bajeti inaleta tabu. Kina dada huko wanataka kuwe na malipo sawa bila kubaguwana.Shukrani Madame
Canada siku nilizosoma grading ilikuwa ni tofauti kidogo, ilikuwa ni CGPA sytem siyo GPA.Ulipata GPA ya ngapi ulivyosomea electronics engineering huko canada?
Sawa Shukran kwa kufahamu, ila CGPA sijui ni nn faizaCanada siku nilizosoma grading ilikuwa ni tofauti kidogo, ilikuwa ni CGPA sytem siyo GPA.
Natumai unaielewa tofauti ya grading za CGPA na GPA.
Kwa ufupi average zangu ziilikuwa ni za kawaida sana, siyo za ma genious. Mchanyiko wa nzuri na za kuridhisha.
Still worshipping moon god blindly.....just as arabs used to .... (You have a moon symbol over each mosque ) you dont even want to study the hidden story behind the moon&star [emoji294][emoji287]
Muislamu ni mtu tu aliye tokea kumuanini Muhammad na ufunuo wake, hata kama Alikuwa mwongo means kapoteza wengi sana katika kweli....
Habari, nimependa ushauri wako kilichonipelekea kukutumia ujumbe huu juu ya haiba yako ya kufanya business consultation natarajia kufanya biashara naomba ushauri wa kimawazo, mimi ni kijana ninayetara kujiita kwenye iyo biashara
Naomba jina la kiislam kwa baby boy lenye maana ya Mwenyenzi Mungu amenikumbukaNi Khalifa wa kwanza baada ya Mtume Muhammad na Sahaba (companion) wa Mtume Muhammad wakati wa uhai wake.
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????
JIBU NI SHETANI.
UNABII WA UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.