Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Je nini kwa nini Faiza anapinga waraka wa TEC kuhusu bandari?
Hao maaskofu ni wanafiki, Shoo katowa siri, walikutana wote na mama Samia na wakaongea na wenye hoja zao wote zikasikilizwa na kama kawaida yake, mama akawaambia anazifanyia kazi, na mama Suluhu akikuahidi anafanyia kazi ujuwe ni kweli.

Wasitake kulazimisha watu ujinga.
 
Hao maaskofu ni wanafiki, Shoo katoiwa siri, walikutana wote na mama Samia na wakaongea na wenye hoja zao wote zikasikilizwa na kama kawaida yake, mama akawaambia anazifanyia kazi, na mama Suluhu akikuahidi anafanyia kazi ujuwe ni kweli.

Wasitake kulazimisha watu ujinga.
Faiza punguza udini. Chambua vifungu plzzzzz
 
Wewe huwezi kunizuwiya Uislam wangu. Najivunia Uislam wangu.

Kama wewe huna dini usifikiri wote hatuna dini.

Kwanini ukerwe na Uislam wangu, ambao ni nwema sana? Ulikukosea nini? Au umejazwa ujinga tu?
Ndio shida yako. Badal ya kuchambua vifungu vyenye utata wewe kila kukicha unapandikiza mbgu za udini. Badilikeni
 
Back
Top Bottom