Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Imekuaje FA ya mpira wa miguu ya Canada imetangaza kufilisika na kutaka kujitoa kwenye mashindano ya FIFA?

Nini kimeifikisha hapo ilipo?

Hii ni funzo kwa michezo mingine?

Kwanza, elewa kuwa Canada football siyo mchezo unaofatiliwa saana kama nchi zingine.

Caanada mchezo wa kwanza ni Ice Hockey, huo unapendwa sana .

Ntfatilia news zake ntakuja kutoa maoni, ndiyo kwanza nasikia kutoka kwako.
 
Kwanza, uunaelewa Canada football siyo mchezo unaofatiliw saana kama nchi zingine.


Caanada mchezo wa kwanz ani Ice Hockey, huo unapedwa sana .


Ntafatilia news zake ntakuja kutoa maoni, ndiyo kwanza nasikia kutoka kwako.
Shukrani Madame
 
Shukrani Madame
Nimefatilia kijuujuu, naona ni mambo ya pesa na malipo tu kwa wachezaji wa timu zao za Taifa. Zote, za wanawake na wanaume Bajeti inaleta tabu. Kina dada huko wanataka kuwe na malipo sawa bila kubaguwana.

Kama kawaida ni mambo ya pesa tu.
 
Ulipata GPA ya ngapi ulivyosomea electronics engineering huko canada?
Canada siku nilizosoma grading ilikuwa ni tofauti kidogo, ilikuwa ni CGPA sytem siyo GPA.

Natumai unaielewa tofauti ya grading za CGPA na GPA.


Kwa ufupi average zangu ziilikuwa ni za kawaida sana, siyo za ma genious. Mchanyiko wa nzuri na za kuridhisha.
 
Sawa Shukran kwa kufahamu, ila CGPA sijui ni nn faiza
 

Are you worshipping symbols?
 
Habari, nimependa ushauri wako kilichonipelekea kukutumia ujumbe huu juu ya haiba yako ya kufanya business consultation natarajia kufanya biashara naomba ushauri wa kimawazo, mimi ni kijana ninayetara kujiita kwenye iyo biashara

Sawa, unapenda kufahamu nini zaidi?
 

Kwanza kabla sijakujibu maswali yako naona hata Kiswahili kinakupiga chenga, ingawa sisi tunaoisoma Qur'an kwa Kiarabu hapo tumeelewa wazi kabisa .

Hiyo unayoiona "Sema:" maana yake anaamrishwa aliyeteremshiwa Qur'an (Kuwaeleza) Aliyekuwa adui wa Jibril, Basi "huyo" (kwa huyo hapo imekusuduwa ni Jibril) ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Natumai umeelewa. Sasa chini hapa ni majibu kwa maswali yako:

1) Ni yule anaesema uongo kuhusu Jibril. kwani Jibril watu walianza kumzulia uongo siku nyingi sana kabla hata ya kuteremshwa Qur'an. Mfano wale wanaozuwa mpaka leo hii kuwa huyo ni "Mungu" maana kuna imani inaamini "roho myakatifu" aliyemshukia Bo Maryam mama'ke Yesu kuwa ni Mungu. Hao vile vile ni maadui wa Jibril. Walikuwepo wenye imani hizo mpaka wakati Qur'an inashushwa, hao ndiyo maadui wa Jibril.

2) Hakuna kwenye hiyo aya inapoongelea "adui wa Mungu".

Hilo jibu lako kuhusu shetani ni maoni yako tu, Waislam tunajuwa shetani adui yako wewe mwanadam, yupo katika kukupoteza usishike njia ya Mwenyezi Mungu.

Huo ufunuo wako hauna mashiko katika imani ya Waislam na hauna kabisa wala hatuamini kuwa ni aya ya Mwenyezi Mungu. Hayo ni maoni yako tu, na ni potofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…