Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,364
- 12,456
Mbona hujanitag nije kuona madini unayotema ladyaj??Kwani wewe umekuja kurejea kichwa cha Habari au umekuja kujibu hoja? Kwaiyo kwa kua mimi sio faiza hata Faiza akijibu kwa kupotosha tukubali tu! Sasa Faiza kasema Ndalichako na baraza la mitihani lilifelisha waislam je wewe unakubali? Toa maoni yako
Nimeanza kupata picha huyu ni nani.eti wewe ndio mwantumu mahiza?
swali la nyongeza
kwanni huna mapenzi na serikali hii kama ile iliyopita? wakati wewe ni ccm damu
labda ana shahada ya kufuga majiniHahahahahahaha Acha uongo wewe
Wewe umesema mimi naongea upuuzi (umeuita kwa namna yako ) sasa nimekwambia ni tag hoja zako za maana, unajua nn Mkuu JF sio mahali pa kudharauliana kujiona mtu unajua kuliko mwingine kuona mwenzio amaongea upuuz wakati wewe hujaambatanisha hoja zako, pingana kwa hoja usipingane kwa kashfa , ni hayo tu usiku mwemaMbona hujanitag nije kuona madini unayotema ladyaj??
wanachexa judo na karate alafu wanataka wapate div 1 labda wapate 1 za kufuga ndevuKuandikwa kwa kikristo su Kiislam kukoje, hizi si lugha!
yaap jihad n vita hiki kibibi kinataka kupotosha,wanafundshana hadi vita elim elim elimSijaelewa hapo..
Maana kwa ufahamu Jihad..ni Islamic holy war
Sasa ukitohoa kwa kiswahili haileti hiyo maana
duuh kweli hili kibibi majini yamekichanganya kiliongea upuuz huoJe ni kweli wewe FaizaFoxy una support TOHARA kwa WANAWAKE? na je, wewe ULIKEKETWA ukiwa na umri gani!?
NB: Nimeongea kutokana na experience, kuna post yako ulisema raha ya "K" iliyokeketwa ni murua sana!
si unajua wao na elim n sawa na mbingu na ardhi?,wao wanajua karate tuSasa vitani ndio kulipua watu wasio na hatia?
Mimi sikukudharau, ila ulichokisema sio kizuri kabisa, faiza kasema aulizwe swali lolote lile alafu wewe unakuja kumwambia jamaa asimchoshe bi faiza, wewe unaona hapo ulifanya kitu kizuri?Wewe umesema mimi naongea upuuzi (umeuita kwa namna yako ) sasa nimekwambia ni tag hoja zako za maana, unajua nn Mkuu JF sio mahali pa kudharauliana kujiona mtu unajua kuliko mwingine kuona mwenzio amaongea upuuz wakati wewe hujaambatanisha hoja zako, pingana kwa hoja usipingane kwa kashfa , ni hayo tu usiku mwema
OkMimi sikukudharau, ila ulichokisema sio kizuri kabisa, faiza kasema aulizwe swali lolote lile alafu wewe unakuja kumwambia jamaa asimchoshe bi faiza, wewe unaona hapo ulifanya kitu kizuri?
Mmeambiwa muulize maswali ya maana
Mijitu inaropoka
kwa nini ulienda kusoma kwa makafiri?Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Wote wawili mpo sawaRudi darasani kasome dini yako vema mkuu.
Acha kupotosha jamii maana hii ni dhima mbele ya Allah kesho Akhera.
JANABA si kutoka kwa manii. Janaba ni kitendo cha uume kuingia kwenye uke. Ata kama manii hayakutoka hiyo inabaki kuwa janaba.
Again rudi darasani mkuu!
Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Muoane .Kwa zaidi ya wiki tatu mpenzi wangu amekuwa akiniambia hapati hisia zozote anapokuwa faragha na mimi. Imefikia kipindi anaomba nimpe break aweze kujitafakari kama andelee kuwa na mimi au tuachane kabisa. Na mimi bado nampenda.
Je nifanye dada faiza, naomba ushauri.