FaizaFoxy wabunge wa CCM ambao wamehongwa milioni 10 kila mmoja wapitishe muswada wa habari ambao wameupitisha nini maoni yako kuhusiana na swala hilo?
asante kwa darasa vip kuhusu serekali kuhamia DodomaNnamatumaini makubwa itatimia , Kikwete alishasafisha njia kwa kutupatia wawekezaji waliovumbuwa NG kwa wingi sana, wawekezaji wa viwanda wanajileta wenyewe.
Samahani kwa kuingiliaKwa nini viumbe "majini" yanatumia majina ya Kiislamu? Mfano: Fatuma, Maimuna, Makata n.k.
- Basi wewe ulikuja baada yangu. We had the best education na wakati huo tunafundishwa kila kitu kwenye Geography ambayo ukiongea na watoto wa sasa hivi hawajui. Tuliweza kutaja majimbo yote ya Canada yaliyolima ngano na kusafirisha miti pamoja na USA. Waulize sasa hao wa sasa.Nahisi wewe una mix race ya kiarabu sababu Canada wapo wengi waarabu na wahindi waliokimbia wakati wa azimio la Arusha. Sasa mimi kajamba nani mtoto wa mkulima mtoto ambaye hajawahi fika hata makao makuu ya wilaya ningekimbilia wapi yarabi? Tulilimishwa, tulifanya kila kitu lakini ilitujenga kiufikra na kiakili. Wewe kwenda nje ulipata Accedemic advantage but kimaisha hukuelimika. Jkt ilitukomaza tukajua jinsi ya kuishi on top of that mtoa amri angewadekeza wanae tungelalamika lakini wanae tulisota nao kama kawa siyo hao unaofikiri waziuri wakati watoto wao wanaenda nja na Feza. nani mtoto wa mwalimu alivuka mpaka kusoma?
asante kwa darasa vip kuhusu serekali kuhamia Dodoma
Nilishalijibu swali la Million Kumi, bofya hapa
Hujajibu hoja yoyote au ule mgao na wewe ulipewa?
Hata mimi siamini kwamba Ndalichako ndo sababu ya kufeli lakini kwa bahati mbaya sana; baadhi ya Waislam walishakuwa na hisia mbaya dhidi ya NECTA! Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, inasemekana madudu ya NECTA yaliibuliwa na Marehemu Profesa Kigoma Ally Malima alipopata nafasi ya kuhudumu kama Waziri wa Elimu (kama sikosei).Faiza acha kumshutumu Ndalichako kuwa ni sababu ya kufeli kwa waislam
Waislam wanafeli kwa upumbavu wao wa kujali elimu Akhera zaidi na kupuuzia elimu Dunia, mtoto wa kiislam yuko tayari akakeshe Madrasa usiku mzimaa au akakeshe kwenye maulidi lakini si kukesha kujisomea (baadhi ambao ni the Most) Mfano mzur hapa kwetu ni kule visiwani Pemba watu wengi hawajasoma kule japo karibu woote ni waislamu halikadharika pwani pia, kwaiyo kufeli kwa Waislamu wala halikua ni jambo la Ndalichako na tunakuomba kama wewe ni Muislam safi futa hizo kauli kuwa NECTA chini ya Ndalichako ilikua ikiwahujumu waislamu, Kwanza NECTA haina jukumu hilo la kuweza kuwahujumu maana kazi ya NECTA ni kuandaa mitihani (Ambayo hufanywa na dini zote na hata waso Dini) Kusimamia shughuli nzima za ufanyaji wa Mitihani (hapa hushirikiana na baadhi ya walimu +Polisi kwa ajili ya usalama), usahihishaji wa Mitihani (hapa pia baadhi ya walimu huusika +usalama wa Taifa) na utoaji wa matokeo haya kwa mtililko huo tuambie ni wapi Ndalichako anaweza kuingiza kwato zake na kuwchukia Waislam na kuwapangia matokeo ya peke yenu mabaya mabaya mabovu mabovu!
NI DHAMBI KWA MTOTO WA KIISLAM KUONGEA VITU VYA UONGO USIVYO NA UHAKIKA NAVYO, LAKINI KUBWA ZAIDI KUONYESHA CHUKI ZA WAZI WAZI JUU YA MTU FULANI KUTOKANA NA JINA LAKE Joyce Ndalichako.
Labda tatizo lilikuwa ni mfumo tu.Babu yangu alikuwepo, kwa hiyo ina maana watu walikuwepo lakini hawaku "contest" au mfumo ulikuwa hauruhusu?
Nimekuelewa sana,unaonaje hiyo project unayotaka kuanzisha kwa vijana WA kitanzania ya kuwapeleka Canada kwa ss tusiokuwa na elimu unatusaidiaeje,au mpaka tuwe na elimu ya kukaa ofisini?
Hahaha...even in nonsense there is still "sense"
Hahaha...even in nonsense there is still "sense"
If u wanna prove that remove the word "Non" and check the remaining.
Umegundua kiherehere chako cha kumjibia FF wakati hajakuomba umjibie? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unawazungumziaje Jecha na Lubuva katika uchaguzi mkuu uliopita?
View attachment 432056