kwani wewe ni faiza!Hahahahahahaha, kaaz kwelikweli bi faiza akikupa za kitabu chako utasema hizo za Syria sio za Roma
sio lazima uaminiSasa nani ataamini chako
Wote ni magaidi ila wamezidiana idadi.Kuuhusisha Uislam na ugaidi ni kutoutendea haki (soma post namba ), isitoshe, nimesoma katika tovuti moja ya tafiti na imeandika kuwa zaidi ya 90% ya ugaidi uliofanywa America haukufanywa na Waislam, jisomee:
Non-Muslims Carried Out More than 90% of All Terrorist Attacks in America
Terrorism Is a Real Threat … But the Threat to the U.S. from Muslim Terrorists Has Been Exaggerated
An FBI report shows that only a small percentage of terrorist attacks carried out on U.S. soil between 1980 and 2005 were perpetrated by Muslims.
Princeton University’s Loon Watch compiled the following chart from the FBI’s data:
Terrorist Attacks on U.S. Soil by Group, From 1980 to 2005, According to FBI Database
According to this data, there were more Jewish acts of terrorism within the United States than Islamic (7% vs 6%). These radical Jews committed acts of terrorism in the name of their religion. These were not terrorists who happened to be Jews; rather, they were extremist Jews who committed acts of terrorism based on their religious passions, just like Al-Qaeda and company.
Soma zaidi: http://www.globalresearch.ca/non-mu...0-of-all-terrorist-attacks-in-america/5333619
Sasa jibu, ni nani gaidi kwa hayo?
Kwa Mali zao, fafanua kidogo hapoVigezo vya kuoana kwetu ni:
-Kwa mali zao
- kwa uzuri wao
- kwa nasaba zao
- kwa dini zao
Jee, unakidhi vigezo hivyo ?
Sasa NECTA ni nini kama si kazi yao kufanyia watoto mitihani na Ndalichako ndiye aliyekuwa mkubwa wa NECTA.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga ?
Post namba ngapi?Canada, post za nyuma nilishataja mwaka.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Kwa Mali zao, fafanua kidogo hapo
teh waambie mama.leo huendi kumuaga sitta?Mali, mali, mali. Unakuja kuposa binti mwenye mali zake nawe huijuwi mali, kutwa kushinda vibarazani, huijuwi dini, huna nasaba, unategemea u "handsome" wako tu, si kasheshe hiyo? Allah awajaalie vijana wetu wa kike na wa kiume wapate wenza wenye vigezo vyote hivyo kwa manufaa yao na vizazi vyao.
Kweli Mkuu kwa mama aliegraduate 1982 kumuuliza swali kama hilo ni ukosefu wa maadili.Ametangulia kusema "General Knowledge." Sasa ukijua bikira yake imetolewa lini itakusaidia nini?!
Uzuri wa FF sio mtu wa matusi lakini wewe ulistahili sana hata kama angekutukana! Hivi pamoja na yote; unapata wapi ujasiri wa kumuuliza mwanamke katolewa lini bikira?! Mbaya zaidi mwanamke mwenyewe anakuambia ame-graduate 1982! Hawezi kuwa sawa na mzazi wako huyu kiumri?!
Kumbe mlitaka Ndalichako awafanyie mitihan?. Mtabaki kulialia tu
Hembu nisaidie kiswahili sanifu kwa mfano ikitoke kiongozi yeyote akifariki dunia au mtu wa serikali wamekuwa wakiandika au kutangaza Rais amlilia fulani je ni sawa nikweli alilia machozi na walimwona akilia mimi nadhani kuna mapungufu hapa hembu tupe kiswahili mujarabuGeneral Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Update 1: Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.
Ngoja ni Google watu waliosoma miaka hiyo hapo canada nitakujua tuNna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Duuu seriouslySina sababu ya kumchukia Nyerere kama Nyerere wala sina sababu ya kumpenda.
Hembu nisaidie kiswahili sanifu kwa mfano ikitoke kiongozi yeyote akifariki dunia au mtu wa serikali wamekuwa wakiandika au kutangaza Rais amlilia fulani je ni sawa nikweli alilia machozi na walimwona akilia mimi nadhani kuna mapungufu hapa hembu tupe kiswahili mujarabu