Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa



Nnakusihi hebu, weka para na liandike swali lako upya kwa kituo, maana nnahisi kama nimelijibu tayari. Labda kuna swali zaidi ya moja hapo?
 
Sawa bana...nimeinua mikono juu.
 
Bi Faiza we ndo mke pekee kwa mme wako.. Au mpo zaid ya mmoja.. Na kama Ndio ulijiskiaje alipoongeza mke mwingine.

Ukizungumza binafsi bila kuegemea kwenye dini.. Suala la mke zaid ya mmoja unalisemeaje
 
Bi Faiza we ndo mke pekee kwa mme wako.. Au mpo zaid ya mmoja.. Na kama Ndio ulijiskiaje alipoongeza mke mwingine.

Ukizungumza binafsi bila kuegemea kwenye dini.. Suala la mke zaid ya mmoja unalisemeaje


Mimi ndiyo mke pekee.

Suala la zaidi ya mke mmoja siwezi kuliongelea zaidi ya kwenye dini yangu ya Kiislam, nnaomba soma hii: Nini Hikma Ya Kuoa Wake Zaidi Ya Mmoja? | Alhidaaya.com
 
Rais wa Marekani Donald Trump alitoa msimamo wake wakati wa kampeni kuhusu mpango wa kuwazuia Waislamu kuingia Marekani kwa muda ................... toa maoni yako.
Nataka nione kwanza atawafanya nini' white american muslims'
 
Hujajibu swali langu nililokuuliza laana ya kuapa chini ya ardhi ndio inayotumaliza usikwepe jibu kiufasaha hata ndani ya Biblia imeandikwa usipunguze nukta wala neno lolote ndani ya Bliblia

Hilo la Biblia mbona nimekujibu? Au hujaelewa hili jibu, rudia kusoma tena:

Waislam tunaamini katika Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an.

Tunasema kama kuna Old testament na new testament basi Qur'an ni final testament.

Unajuwa Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi na kuna madhehebu mengine ya Wakristo kuna vitabu vingine vya biblia hawaviamini kabisa.

Pia hakuna ubishi kuwa kuna watu wanakaa na kuamua hiki kiongezwe, hiki kiondolewe, hiki kibadilishwe. Ndiyo sababu kubwa ya kuwa na versions nyingi sana za Biblia. Kumbuka versions, siyo translations.

Sisi tunaamini kuwa humo humo kwenye mkusanyiko wa hivyo vitabu kuna maneno machahe sana yamebaki kuwa ni kweli mafundisho ya Mwenyeezi Mungu. Na yale ambayo si ya Mwenyeezi Mungu na ni mikono ya watu tu ndiyo mengi zaidi.

On the other hand, Qur'an toka imetujia miaka zaidi ya 1,400 iliyopita haijabadilishwa na haitoweza kubadilishwa kwa sababu Allah ameahidi kuilinda, cha ajabu ni kuwa katupa uwezo sisi wenyewe wa kuilinda. Hakuna kitabu leo hii duniani kilichohifadhiwa kwenye mioyo ya watu kama Qur'an. Kama kipo nijulishe. Jee, kwanini?


Hili la "laana ya kuapa" nnaomba niwekee reference (quotations) ya hivyo viapo ili niione "context" ya unachouliza.
 
Asante Sana mkuu, umenitoa tongotongo
 
Ni kweli kabisa, labda nilikuwa sijakuelewa lakini baada ya ufafanuzi wako nimekuelewa, nnaomba pitia hapa uone Rense anasemaje: Absolute Proof More Modern Jews Not Biblical Israelites
FaizaFoxy, asante ila am sure umenifanyia kazi ambayo hujui uthamani wake. Lingine kama hautajali, Mimi ni Mfuasi mzuri sana wa Hon. Minister Louis Farrakhan, Dr. Khalid Mohammad, Elijah Mohammad (Nation of Islam). Huwa sipitishi siku bila kusikiliza clips zao kupitia youtube. Swali, je wewe unakubaliana nao kuhusu mawazo yao??? siku moja wasikilize kama bado hujawasikiliza (Jibu lisiwe ndiyo, ukii elaborate utakuwa umenisaidia)
 
Unamfahamu Salman Rushdie? Nitajie jina la kitabu kimoja tu alichoandika.
 


Nimewasikiliza sana tu na nnaendelea kuwasikiliza, mengine nnakubaliana nao na mengine sikubaliani nao. Simply ni different schools of thought tu.

Kama unawasikiliza hao, msikilize na Blagrove, ingawa si Muislam lakini to me he makes a lot of sense nikimsikiliza:

 
Unamfahamu Salman Rushdie? Nitajie jina la kitabu kimoja tu alichoandika.


Simfahamu bali nimemsikia sana tu na kumuona kwenye mtandao, nnajuwa kuwa kaandika kitabu alichokiita satanic verses.

Wewe unamfahamu?
 
Hivi unaamini nini katika suala la kusema fulani ana "nyota kali".

Je,mafanikio ya mtu ni bidii zake mwenyewe au kudra tu za Mungu?

Na kama muumba anajua yote si inamaanisha kuwa fate ya mtu tayari iko pre-destined
 
Mmmmmh sina Uhakika ebu tujuze..

Naamin bibilia pia imesema hivyo..


Nioneshe wapi biblia imesema hivyo.

Halafu unaonesha link niliyokuweka hujaisoma. Jisomee:


Qur'an 4:
3. “Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu...” An-Nisaa: 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…