FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #781
Bi mkubwa katika uislam kuna vitabu ndani ya Biblia Takatifu mnavyoviamini Torati na Injili sasa katika hayo kuna Maandiko yameandikwa Mtu asiape na amelaaniwa mtu yule anaeapa chini ya ardhi maana hapo ndipo ninapoweka miguu yangu kama ikitokea mtu akiulizwa na aseme ndio au sio na sio kuapa kwa sasababu mimi Mungu ni mwenye wivu na huwapatiliza wana maovu ya baba zao sasa nataka nijue kipindi cha uchaguzi tunapita mapito mengi wapo wanaokuwepo pale kwa ushindi wa ulaghai wengine dhulma mwisho wa siku anakuja mtu tena bila hofu ya Mungu anashika Biblia Takatifu , Quran Tukufu na kuapa chini ya ardhi tena kwa binaadamu mwenzie huku katika nafsi yake akijua wazi ushindi alioupata umepitia mapito mengi yasiyo halali na hata akimaliza kuapa anafanya kinyume na kile alichokiapa pale mbele ya umma wa watu na je hii si laana ya ardhi juu ya nchi?
Nnakusihi hebu, weka para na liandike swali lako upya kwa kituo, maana nnahisi kama nimelijibu tayari. Labda kuna swali zaidi ya moja hapo?