atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] utakuwa umesaidia wengi ukijibu hiliJee, unajuwa katika vitabu vyote vya dini ni Qur'an pekee iliyosema oeni "mmoja tu"?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] utakuwa umesaidia wengi ukijibu hiliJee, unajuwa katika vitabu vyote vya dini ni Qur'an pekee iliyosema oeni "mmoja tu"?
Nioneshe wapi biblia imesema hivyo.
Halafu unaonesha link niliyokuweka hujaisoma. Jisomee:
Qur'an 4:
3. “Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu...” An-Nisaa: 3
Soma Timotheo 1-1:2Nioneshe wapi biblia imesema hivyo.
Halafu unaonesha link niliyokuweka hujaisoma. Jisomee:
Qur'an 4:
3. “Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu...” An-Nisaa: 3
Too low.Iweke hapa, wacha porojo za kuweka manamba pekee.
Hivi unaamini nini katika suala la kusema fulani ana "nyota kali".
Je,mafanikio ya mtu ni bidii zake mwenyewe au kudra tu za Mungu?
Na kama muumba anajua yote si inamaanisha kuwa fate ya mtu tayari iko pre-destined
Haaaa.daah jamaa umemjibu kweli sijui kama anahamu ya kuuliza tenaNaam, majini nafuga samaki wa maji baridi. Sipandishi, wanapandana wenyewe.
Mbona kauli zako zinapingana???.Sina sababu ya kumchukia Nyerere kama Nyerere wala sina sababu ya kumpenda.
Tatizo dada yangu unajua nini hapo??,Ukweli ni kwamba ninyi wenzetu huwa mnaweka nguvu nyingi kwenye kujifunza Quaran kuliko masomo mengine ya darasani halafu kwenu ninyi nasikia ni heri mtoto afeli masomo mengine kuliko kufeli Elimu ya Kiislamu.Kwa hiyo huna sababu ya kumchukia Prof.Ndalichako,maana kwa mtindo huo lazima madogo wafeli tu.Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
![]()
naomba kujua historia donard trump kaka
Wewe toa utumbo wako hapa, nani anaogopa mtu hapa?? labda vil.za kama wewe.Hongera dadaaa makafir wa jf wanakuogopa zaid ya ukoma
Tatizo dada yangu unajua nini hapo??,Ukweli ni kwamba ninyi wenzetu huwa mnaweka nguvu nyingi kwenye kujifunza Quaran kuliko masomo mengine ya darasani halafu kwenu ninyi nasikia ni heri mtoto afeli masomo mengine kuliko kufeli Elimu ya Kiislamu.Kwa hiyo huna sababu ya kumchukia Prof.Ndalichako,maana kwa mtindo huo lazima madogo wafeli tu.
Yaani kama kweli we ni muislam ,,, nimekukubali kwa majibu yako hata kama umenidanganya lakini maelezo yako yamenyooka. Wengine ukiwauliza wanakuwa na jazba ila wewe umekubali kwamba waislam wana undugu na majini - rejea usemi huu ... "MUISLAM NDUGUYE MUISLAM"Usije kumuamini kiumbe kinachoitwa Jinni hata siku moja. Waongo balaa, atakuja kwa sura ya Fatma wakati yeye ni Zwangedaba. Alafu makata ni jina la asili ujue !!.
Joke aside, Majinni au mapepo au kwa kiingereza Genie (Refer: if you want to be with me, there's some price to pay, am a genie in a bottle...) ni viumbe vilivyopo, wameumbwa kwa moto na wana advantage ya kutuona wakati sie bin Adam hatuwaoni.
Wamekuwepo duniani kabla ya bin adamu, kwa kuwa binadamu ndie kiumbe cha mwisho kuumbwa.
Kisheria, majinni wanapaswa kuishi kama wao katika communities zao, na ni makosa kwao kuwaingia binadamu na kuwasababishia madhara mbali mbali.
Na hapo ndipo tunapoambiwa kuwa Jinni anapokuwa mwema basi si Shetani na binadamu anapokuwa muovu naye huitwa Shetani kwa kuchukua yale matendo ya kishetwani.
Binadamu Mcha Mungu ana fadhila zaidi kuliko Kiumbe kingine chochote, na kwa ucha Mungu huo Nabii Suleiman kwa mfano alipewa uwezo wa kutawala jeshi kubwa la majinni waliokuwa watiifu kwake na waliomtumikia kwa kila jambo.
Back to your question, Uislamu ni dini iliyoshushwa kwa binadamu na majinni. Kama isemavyo aya kuwa 'Mwenyezi Mungu amewaumba binadamu na majinni ili wamuabudu.' Wale wanaomuabudu watakuwa ni waislamu kwa kuwa wamejisalimisha na kunyenyekea kwa Mola wao na wale wasioabudu si Waislamu. Hivyo hautamuona Jinni mwenye kuabudu akimuingia binadamu ili amdhuru, lakini utawaona wale wasioabudu wakifanya hivyo na kujiita majina wayatakayo wao ili ku create confusion.
Pamoja na hayo lkn utakubaliana nami kuhusu ukweli huu.japo ukweli unauma.Binafsi ninawasifu kwa kukomalia Elimu ya Kiislamu kuliko Elimu Dunia hongereni sana.Nnakuomba pitia hapa, kuna mjadala kuhusu hilo: Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu