Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Nnakushauri hapo ulipo nenda msikitini kaonane na immam na umueleze hilo naye atakuwa msaada mkubwa sana kwako.
Ushauri wa busara sana huu. Ili kuijua Qur-aan ni lazima na ni muhimu sana kuisoma kwa mwalimu.
Kuna suala la utamkaji,wapi usimame,wapi uunge nk. Na hii njia(talqiin) ndio njia ya asili ambaya Jibriil aliitumia kumfundisha Mtume.
Hivyo hii ndio njia bora. Mwalimu asome kisha mwanafunzi amfuatilize.
 
Kuna suala la Wanawake viongozi wa serikali kuaga mwili wa marehemu Jana.. Limezua sintofahamu juu ya uhalali wao kufanya hivyo Kama Wanawake wa kiislam.. Wewe unalisemeaje hilo..
 
Maelezo yko nimeyasoma cna na kuyaelewa, swala langu post [HASHTAG]#1051[/HASHTAG] nitolee maelezo yake binafsi ni swala ambalo linanipa utata cna!
 
Nisaidie Nna demu Wa kislam na mm mgalatia , ntaweza kumuoa maana nmechoka kugegedana nae bila ndoa
 
Nisaidie Nna demu Wa kislam na mm mgalatia , ntaweza kumuoa maana nmechoka kugegedana nae bila ndoa


Hautoweza kumuoa na mnachofanya si kizuri, jisomee:

1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti
 
ANGALIA UNAVYOZUNGUKA KIVULI CHAKO MWENYEWE;
"lakini Kama unamaanisha shule za waislaam,basi nadhani zipo zinazofanya vizuri sana mojawapo ni feza"---HAPA NDIO NAANZA KUFAHAMU KUMBE KUNA SHULE ZA WAISLAAM ZINAZOFANYA VIZURI NA ZISIZO FANYA VIZURI.
"shule zisizofanya vizuri waende wakaone feza wanaweza vipi?"----OOH! KUMBE,SASA MBONA MNAWACHUKIA NECTA BURE TU,KUMBE TATIZO NI MANAGEMENT ZENU WENYEWE?.
MWISHO,KWAHIYO UNAWASHAURI WAMFUATE DK.MADATI ILI WASIWE WAMWISHO KILA MWAKA EEH! Basi msimchukie ndalichako na management yake wakati tiba ni kumfuata dk.madati wa feza awape mwongozo jinsi gani ya kupunguza div 0 na 4


Naam, umenena vyema kabisa. Nyinyi hakuna anaepata Division 0, mnaweza pia kutujulisha mnawezaje kufanya bila division 0.

Msalimie Mbowe.
 
General Knowledge.

Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.

Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.

Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.

Update 1: Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.
usije tu kufundisha watu namna ya kujilipua. kuwa makini tafadhali.tutakukamata.
 
usije tu kufundisha watu namna ya kujilipua. kuwa makini tafadhali.tutakukamata.

Una maana kuwa wakimbizi? Maana wapo Watanzania wengi wamejiripua namna hiyo sijuwi nani aliwafundisha?
 
Back
Top Bottom