babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Ushauri wa busara sana huu. Ili kuijua Qur-aan ni lazima na ni muhimu sana kuisoma kwa mwalimu.Nnakushauri hapo ulipo nenda msikitini kaonane na immam na umueleze hilo naye atakuwa msaada mkubwa sana kwako.
Sahiihi ni "jazaaki llaahu khaira" hiyo "ki" ni dhamiri kwa mwanamke.(jazaaki)JazzakaAllah khairy.asante kwa majibu yako.Allah akuhifadhi
Am neither muslim nor islam, am budhist monk.Hakuna hiyo katika Uislam, sijuwi katika Ukristo inaitwaje?
shukranSahiihi ni "jazaaki llaahu khaira" hiyo "ki" ni dhamiri kwa mwanamke.(jazaaki)
"Ka" ni dhamiri kwa mwanaume.(jazaaka)
Huyu faiza atakua bibi Wa miaka 88 , mahesabu degree mwaka 1982 mpaka Leo miaka 34 + na miaka ya nyuma 45 jumla 88+Duh, 1982??? Shikamoo!!
Nisaidie Nna demu Wa kislam na mm mgalatia , ntaweza kumuoa maana nmechoka kugegedana nae bila ndoa
sina shidaDah, nimekujibu vibaya vipi tena dada? Kipi kibaya hapo?
ANGALIA UNAVYOZUNGUKA KIVULI CHAKO MWENYEWE;
"lakini Kama unamaanisha shule za waislaam,basi nadhani zipo zinazofanya vizuri sana mojawapo ni feza"---HAPA NDIO NAANZA KUFAHAMU KUMBE KUNA SHULE ZA WAISLAAM ZINAZOFANYA VIZURI NA ZISIZO FANYA VIZURI.
"shule zisizofanya vizuri waende wakaone feza wanaweza vipi?"----OOH! KUMBE,SASA MBONA MNAWACHUKIA NECTA BURE TU,KUMBE TATIZO NI MANAGEMENT ZENU WENYEWE?.
MWISHO,KWAHIYO UNAWASHAURI WAMFUATE DK.MADATI ILI WASIWE WAMWISHO KILA MWAKA EEH! Basi msimchukie ndalichako na management yake wakati tiba ni kumfuata dk.madati wa feza awape mwongozo jinsi gani ya kupunguza div 0 na 4
usije tu kufundisha watu namna ya kujilipua. kuwa makini tafadhali.tutakukamata.General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Update 1: Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.