Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Mie naomba kuuliza swali, nasikia Mtaa wa Bibi Titi Mohamed uliitwa hivyo toka miaka ya nyuma kisha kupewa jina la Mtaa wa UWT baada ya kesi yake ya uhaini na alipokuja samehewa ukarudishiwa jina Bibi Titi Mohamed.
Je awali ya hayo yote huo mtaa ulikuwa unajulikana kwa jina gani?
Haya ndio masuali.

Mimi sikuwahi sikia, leo ndio mara yangu ya kwanza.

Naendelea kupitia michango ya Wachangiaji walontangulia, bila shaka ntakutana na jibu au majibu Safarini mwangu.

Kwa kweli nafaidika/nanufaika mengi hapa
 
Hili ni somo pana sana. Tunapolijadili tuwe makini tusichupe mipaka.
Ukitaka kujua tatizo liko wapi jaribu kufatilia toka kuanguka dola ya kiislamu. Dola ya kiuthmaan(daulat uthmaaniya). Ilianzisha jamaatul islaamiya ya Abuu Aala almauduud,baadae ikaja ikhwaanul muslimiin wote hawa lengo lao ni kusimamisha na kurudisha dola ya kiislamu. Wamekuja hizbu tahriir nao lengo likiwa hilo hilo.

Lakini jiulize kwanini hawafanikiwi?
Toka kuanguka dola ya uthmaan mwaka 1923 kama sijasahau hadi leo kwanini hawafanikiwi?

Mtume sala na salaam ziwe juu yake alitumia miaka 23 tuu kuweka misingi na kusimama dola ya kiislamu,kwanini sisi tunashindwa?

Ukiangalia kuna wanaotumia njia za kidemokrasia,wapo wanaotumia njia za vita lakini hakuna mafanikio.

Hii inamaanisha njia hizo zinazotumika si sahihi. Demokrasia ni njia tafauti tena yenye kupingana kabisa na misingi ya uislamu. Vita vinavyoitwa jihadi leo hii pia si njia sahihi ya kurejesha khilafa.

Tukitaka kufanikiwa ni lazima kwanza tujiangalie wapi tulijikwaa na kisha turejee kwenye njia sahihi aliyoipita Mtume wetu.

Dola ya kiislamu haitafutwi. Hakuna siku Mtume alisimama kupigania kuanzishwa dola ya kiislamu.
Bali yeye alifundisha tauhiid. Ilipokita kwenye mioyo ya watu wakaiishi hiyo tauhiid kimaneno na kimatendo. Wakawa waumini wa kweli. Allah akwapa zawadi ya kuwa makhalifa.

Hiyo ndio ahadi ya Allah kwa wale walioamini na kutenda yalio mema kuwa atawafanya makhalifa katika ardhi.

Hivyo tukitaka ukhalifa tuachane na demokrasia. Vita vya kijinga na makundi ya kishenzi kwa kisingizio cha dola ya kiislamu, kisha tupambane kuisimamisha tauhiid. Kisha watu wawe waumini wa kweli. Kikauli na matendo. Khilafa itasimama tena bila tone la damu
BAARAKALLAHU FIIKA/BAARAKALLAHU FIIKI
 
Swali;je mwanamke wa kiislamu anaweza kuolewa na mwanamme wa kikristo au vise versa wakaoana bila kufunga ndoa ya kanisani au msikitini wakafunga ya boman na je uislamu unaruhusu hilo?
 
Nimesema HIKMA, sikusema KHUTBA.

Au wewe mwenzangu huelewi nini maana ya HIKMA!

Hivi hizo Shule mnaenda kusomea ujinga? (Kwa sauti ya Bibie FAIZA).

Jibu Swali

Hii nayo ni khutba...
 
Faiza, kwani ni lazima binaadamu kuwa na Dini ili aende paradiso au peponi?
 
Haya ndio masuali.

Mimi sikuwahi sikia, leo ndio mara yangu ya kwanza.

Naendelea kupitia michango ya Wachangiaji walontangulia, bila shaka ntakutana na jibu au majibu Safarini mwangu.

Kwa kweli nafaidika/nanufaika mengi hapa
Mie mwenyewe nilikuta mazungumzo sehemu lkn watu hawakufikia mwafaka... jana kwa bahati nilikuta kwenye group moja la wanakariakoo kuhusu mjadala huo huo akatokea mtu mmoja akasema japo hakumbuki vizuri lkn kumbukumbu zake zinasema hapo kabla mtaa huu ulipewa jina la Queen Victoria. Ngoja tusubirie uthibitisho hapa.
 
Swali;je mwanamke wa kiislamu anaweza kuolewa na mwanamme wa kikristo au vise versa wakaoana bila kufunga ndoa ya kanisani au msikitini wakafunga ya boman na je uislamu unaruhusu hilo?
Quran surat ya 2 aya ya 221 inasema

. Na wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi Muumini ni bora kuliko mshirikina japo akikupendezeni. Na wala msiwaozeshe (wanawake wa Kiislamu) wanaume washirikina mpaka waamini. Na mtumwa Muumini ni bora kuliko mshirikina japo akikupendezeni. Hao wanaita katika moto na Allaah Anaita katika Al-Jannah na maghfirah kwa idhini Yake. Na Anabainisha Aayaat (na shariy’ah) Zake ili wapate kukumbuk
 
Hii nayo ni khutba...
Hapana, hiyo nayo si KHUTBA.

Nitakupa Darsa la KHUTBA kiundani zaidi.

Nataka tumalize hatua moja kwanza, kisha tuendelee hatua inayofuata.

Mimi sitokuwa tayari kukuacha bila kukupa FAIDA, ni Deni hilo ujue kwa upande wangu.

Mimi na Madeni ni vitu viwili tofauti.

Hakuna kama MAMA, tuwaheshimu sana MAMA zetu, wakina Mama wana Darja kubwa sana.

Je wafahamu PEPO iko chini ya nyayo za wakina MAMA?, nikiwa na maana mnyenyekee sana MAMA ako/yako ili uione/uipate PEPO.

AL JANNAT TAHTA AQDAAMI UMMAHAAT.

Naona umekwepa, na kulikimbia Swali langu.

Hivi sijui nikuulize mara ngapi ili upate kunielewa.

Mama ako/yako Mzazi yuhai au hayuhai?

Jibu Swali
 
Mie mwenyewe nilikuta mazungumzo sehemu lkn watu hawakufikia mwafaka... jana kwa bahati nilikuta kwenye group moja la wanakariakoo kuhusu mjadala huo huo akatokea mtu mmoja akasema japo hakumbuki vizuri lkn kumbukumbu zake zinasema hapo kabla mtaa huu ulipewa jina la Queen Victoria. Ngoja tusubirie uthibitisho hapa.
Ahsante sana.

Tusubiri, ili tupate kunufaika kwa faida ya wote
 
Hapana, hiyo nayo si KHUTBA.

Nitakupa Darsa la KHUTBA kiundani zaidi.

Nataka tumalize hatua moja kwanza, kisha tuendelee hatua inayofuata.

Mimi sitokuwa tayari kukuacha bila kukupa FAIDA, ni Deni hilo ujue kwa upande wangu.

Mimi na Madeni ni vitu viwili tofauti.

Hakuna kama MAMA, tuwaheshimu sana MAMA zetu, wakina Mama wana Darja kubwa sana.

Je wafahamu PEPO iko chini ya nyayo za wakina MAMA?, nikiwa na maana mnyenyekee sana MAMA ako/yako ili uione/uipate PEPO.

AL JANNAT TAHTA AQDAAMI UMMAHAAT.

Naona umekwepa, na kulikimbia Swali langu.

Hivi sijui nikuulize mara ngapi ili upate kunielewa.

Mama ako/yako Mzazi yuhai au hayuhai?

Jibu Swali
Ita jina lolote, qasida, kisamvu, susumia, singeli...kivyako Dogo...who cares..
 
eti deen njia...hhhhhhh...

Qur'an 28:
10. Na moyo wa mama yake Musa ukawa mtupu. Alikuwa karibu kumdhihirisha, ingeli kuwa hatukumtia nguvu moyo wake ili awe miongoni mwa Waumini.
 
Abubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)

SASA KAMA "QURAN" KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWA NINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI?
 
Back
Top Bottom