babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Tatizo ni kupiga magoti kwenye benchi na kuitikia ndioo... Unashindwa hata kutafakariAbubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)
SASA KAMA "QURAN" KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWA NINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI?
Abubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)
SASA KAMA "QURAN" KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWA NINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI?
Who cares?Ita jina lolote, qasida, kisamvu, susumia, singeli...kivyako Dogo...who cares..
Mama heshima kwako!! Ukiwa kama muislamu, unaamini kabisa kuwa biblia ni kitabu cha sanaa kama vitabu vingine I.e Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe, na kwakuwa pia unaonekana kuwa umeisoma sana biblia je, utakubaliana na Mimi kuwa watu wazamani walikuwa na akili nyingi zaidi kuliko sasa, ukizingatia utunzi wa biblia na ujenzi wa piramidi.!?
Thanks! But mantiki yangu sio mjadala wa dini kuhusu ukweli na usikweli wa biblia, soma swali vizuri then unijibu mama!! Mi ni mfuasi wako kindakindaki, usiniangushe kwa majibu mepesi.
Thanks! But mantiki yangu sio mjadala wa dini kuhusu ukweli na usikweli wa biblia, soma swali vizuri then unijibu mama!! Mi ni mfuasi wako kindakindaki, usiniangushe kwa majibu mepesi.
Waliosomea ujinga ni watu kama wewe, unayefikiri kuongea kiarabu au kiswahili ndio uarabu.
Mbona wazenji wanaojiita ni waarabu, hukanwa wakienda middle East? Wewe mwenyewe na uarabu-koko wako ukienda kule wanakukataa kuwa wewe ni mwarabu.
Huwa sipendi kubishana pia, nimekuuliza hilo swali sio kwa kuwa mi siamini biblia, hapana, kwakuwa wewe ni muislam na huiamini biblia. kwanza lazima ujue kwa imani tofauti tulizonazo lazima wakristo waone Quran ni fake na waislamu wataiona Bible ni fake!! Sasa from your point of view as a muslim, how genius and creative the writers were!! Basing even on pyramids building!! Je, yawezekana watu wa zamani walikuwa most intelligent than us!!?Wala sipo hapa kubishana. Hapa ni uwanja wa kuelimishana ni vyema tukaijuwa Biblia ni nini na nani walioiandika kwani maswali yako yamegusia Biblia na umefikia mpaka kuamini kuwa mimi "kama muislamu, unaamini kabisa kuwa biblia ni kitabu cha sanaa kama vitabu vingine I.e Ngoswe Penzi...".
Kwa hilo na kama umeipitia link niliyokubandikia na kuisoma, jee ilivyofafanuliwa Biblia unakukubali au la?
Kuhusu maswali yako yaliyobaki ntarudi kuyajibu lakini ni vyema kwanza tukaliweka sawa hilo la Biblia.
Pitia hapa, nimejibu post namba 247: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwahiv umeolewa
Huwa sipendi kubishana pia, nimekuuliza hilo swali sio kwa kuwa mi siamini biblia, hapana, kwakuwa wewe ni muislam na huiamini biblia. kwanza lazima ujue kwa imani tofauti tulizonazo lazima wakristo waone Quran ni fake na waislamu wataiona Bible ni fake!! Sasa from your point of view as a muslim, how genius and creative the writers were!! Basing even on pyramids building!! Je, yawezekana watu wa zamani walikuwa most intelligent than us!!?
Nani yupo kwenye njia sahihi?... why wana tofauti zinazosababisha hadi kuuana?= moderator
= nijulishe
Usiwe na hofu, mimi si moderator. Mimi nimeanzisha uzi wa General Knowledge ambao ni matumaini wachangiaji watakuwa wengi na mada zitakuwa tofauti tofauti zinazotuzidishia uelewa wa mambo anuwai.
Kuhusu hilo la usunni na ushia, wote ni "Waislam halisi".
Nani yupo kwenye njia sahihi?... why wana tofauti zinazosababisha hadi kuuana?
Nimeamini wazimu ni fani...Who cares?
You cared enough.
Well, You sound troubled as this Question looks like too much for you.
Better take a Chill Pill
mama yake Musa ndio nini?¿Qur'an 28:
10. Na moyo wa mama yake Musa ukawa mtupu. Alikuwa karibu kumdhihirisha, ingeli kuwa hatukumtia nguvu moyo wake ili awe miongoni mwa Waumini.
Jibu SwaliNimeamini wazimu ni fani...
Kwani ww unaionaje?je, ni kweli dini ya kiislamu ina mafungamano na makundi / matukio ya kigaidi?