Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good..... saafi saana !!Naam, ameshapongezwa na Rais wetu.
wanachexa judo na karate alafu wanataka wapate div 1 labda wapate 1 za kufuga ndevu
Unalichukuliaje swala la wanafunzi wengi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu na wanaoendelea na masomo kukosa mikopo au kupata kiasi kidogo kisichokidhi mahitaji tofauti na miaka mingine iliyopita?
Unahisi kwamba kigezo cha mwanafunzi kusomea shule ya binafsi (either a'level, o'level au kote, bila kujali kama amepewa ufadhili) ni sahihi kuzingatiwa ili mwanafunzi aweze kukopeshwa? (Kwa maana ndicho kigezo kikuu ambacho bodi ya mikopo wametumia)
Je umelifurahia jambo hilo au limekusikitisha na kwanini?
Je una maoni gani au ushauri upi kwa serikali ya ccm kuhusiana na jambo hilo?
Sili nguruwe.Kwanini unakula nguruwe huku ukijinasibu WEWE ni Mwislamu safi?
Je ni kweli wewe FaizaFoxy una support TOHARA kwa WANAWAKE? na je, wewe ULIKEKETWA ukiwa na umri gani!?
NB: Nimeongea kutokana na experience, kuna post yako ulisema raha ya "K" iliyokeketwa ni murua sana!
Kufika wapi?Katika taaluma (siyo rasmi) nilizowahi kusoma ni kuwa, unazaliwa mwanamke siku mama alipopata mimba aliwahi kufika na unazaliwa mwanamme siku baba aliwahi kufika.
Abdurahmaani bin abii Kuhaafa
Kama nguruwe ana kwato na hacheui hivi vitu vina nguvu gani ya kumzuia mtu asimwabudu Mungu? Sio mizoga ya nguruwe tu,hata ya kuku,ng'ombe,mbuzi,kondoo,ngamia nk.vyote ni najisi na haramu.Sidhani kama kuna binadamu anaekula mizoga kama fisi.Sili nguruwe.
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”(Walawi 11: 7 – 8)
Vipi, wewe unakula nguruwe ilhali aya hiyo ya Biblia imekataza tena inasema wazi kabisa kuwa ni najisi?
Kama nguruwe ana kwato na hacheui hivi vitu vina nguvu gani ya kumzuia mtu asimwabudu Mungu? Sio mizoga ya nguruwe tu,hata ya kuku,ng'ombe,mbuzi,kondoo,ngamia nk.vyote ni najisi na haramu.Sidhani kama kuna binadamu anaekula mizoga kama fisi.