yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Hapana, si "mapya", Biblia ya Syria itakuwa imeandikwa Kiarabu, kwa hiyo si ya Syria. Unaweza kuzifata hizo references.
Nnajuwa unayaona "mapya" kwa kuwa hujafundishwa biblia yako ipaswavyo na ndiyo huwa nawaaambia huwa "mnasomea ujinga".
Anza kwa kujisomea kwa roho kunjufu bila kuwa biased na In sha Allah kuna siku utaiona nuru iliyoondelewa kwako na ukafunikwa na kiza cha ujinga.
Pole sana.
Asante Kwa Pole
Ila faiza we uko biased