MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Sidhani kama bado au yupo nae mpaka sasa.Mi napenda ubishi wako tuu
wa kumuwowa huyu ni wale wa kupishana.
interval tu.[emoji83]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama bado au yupo nae mpaka sasa.Mi napenda ubishi wako tuu
Pamoja na shahada tena yaloongi.. bado medulo inasumbua.. umeweka kambi LUMUMBA only na uinjinia wote huo[emoji86] [emoji196]Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Kwani ni yeyeee[emoji84]Hahaha huyu bibi ni nooma hata JF mkiungana wote na yeye asimame mwenyewe hamchomoki mkuu
Amesema mwenyew "uliza lolote ujibiwe" hiindo shida ya kukurupuka[emoji196] [emoji86]Usingeweka hii kitu basi ingekua murua sana, nikushauri tu uiondoe na uwe flexible kujibu swali lolote ndio maana iko huku chit-chat. ni mtazamo wangu tu.
Ana shahada ya kwanza anashinda LUMUMBA+ buku7[emoji196] [emoji83]We si mtu wa mchezo mchezo
Tetea waislam[emoji216]Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
![]()
Ndo mana medulo imekolapsi[emoji90]Kasome post namba 43.
Licha ya hiyo, kuna kozi nyingi sana na seminars nyingi sana za taaluma mbali mbali nimepitia sehemu nyingi duniani. Lakini katika yote hayo hakuna taaluma niliyoipata zaidi na iliyonifunguwa ubongo na macho kama Qur'an, kusafiri na kujisomea mwenyewe kila nnapopata nafasi.
Hawezi kumbuka hiyo sikuHehehe kama ulikuwa akilini mwangu
Ahsante sana kwa darsa adhim bi Faizafoxy.,
Mimi ningependa kufahamu nini Fatwaha yako katika Mwezi mwandamo, kwa kufunga/kufungua kwa Mwezi wa Kimataifa ama unaotangazwa na BAKWATA kuwa umeonekana maeneo fulani kwa Tanzania?
Na je ww huwa unafuata Mwezi mwandamo wa Kimataifa ama unaotangazwa nchini mwako hususani ukiwa Canada?
Mwanamke mwenye zaidya umri wa miaka 65 anaweza kuwa na hamu ya tendo la ndoa? na mwisho wake wa kuacha kutamani kugegedwa ni miaka mingapi?
Ahsante bi Faiza,nimekufatilia mwanzo mwisho vitu vingi nimejufunza sana.umejaribu kujibu hoja zako vizuri kwa quote na reference za kutosha aliekuwa na lengo la kujifunza.swali langu ni kama ifuatavyo
1.wewe kama Faiza unahisi wazazi wanakosea wapi kwenye malezi na imekua vigumu sana hasa kwa sasa kuwa na watoto wenye uwezo hata wa kujielezea wenyewe hasa watoto wa kike wapo lakini kama hawajui kwa nini wapo hapo
2.nini kilikufanya ukafika hapo ulipo unauwezo flani binafsi sitaki kuueleza
3.nini unakifanya kuhakikisha mikoba yako/madini yako unayarithisha hasa kwa jamii inayokuzunguka yasiwe yanaishia
4.Unahis umma wa Kiislam unakosea wapi kwa sasa na kuleta image isiofaa kwa jamii na tabia chafua ambazo uislam haujatufunza
Naomba ushauri:Nashukuru Mungu ameniwezesha kuwa na elimu nzuri ya kawaida lakini ni mchache katika elimu ya dini kiasi ninaona wivu napowaona wengine wenye elimu ya dini.Niliishia juzuu ya kwanza tu na mara nyingi natumia msahafu wenye tafsiri.Natamani niweze kuhifadhi quran juzuu zote,nimejaribu kusoma articles mbalimbali mitandaoni bado hazijanisaidia.Tafadhali kwa hekima,elimu na maarifa uliyo nayo naomba unisaidie.
Du kweli ww bibi yangu mm hapo bado sijazaliwaNna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Uslam ni dini ya majini na binadamuKidogo sikukuelewa, jee huo wakati wa Asr umekukuta safarini au umeshafika kwako?