Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
MUNGU azidi kumuweka mama faiza ili tuendelee kupata elim kutoka kwake inshallah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daulat Islamiya, usiangalie eti tangu hujazaliwa hujaona hiyo sio pointing kabisa , angalia historian ya uislam tangu zama za Mtume swalalahu alayh wassalaam , pia lazima utambue kwamba sio kila anayejiita muislam basi yupo ktk njia sahihi wakati fikra Na mienendo ya kiislamu haifuati Na lazima ujiulize ni kwann Siku ya hukumu waislam watakuwa wamegawanyika ktk makundi 73 km sijakosea Na kati ya hayo moja tu ndio kitakalo salimika , je unafikiri ni kundi gani? Ukirudi ktk Quran Na hadithi za mtume bila shaka utakuwa ndio nusra ya muislamu Siku hiyo Na je ndani ya Quran Na Sunna kuna sehemu utawala wa kidemokrasia umehalalishwa? Bila shaka hakuna hivyo demokrasia ni haramu Na Allah kaahid kabla ya kiama kusimama dola ya kiislamu itakuja kusimama tenaTufafanulie kidogo, "Khilafa" ilianzishwa na nani? Na ilikuwaje ikatoweka? Sijaiona toka nizaliwe.
Mimi nijuavyo, binaadam sote ni ma Khalifa.
Tusiharamishe ambayo Allah hajaharamisha.Daulat Islamiya, usiangalie eti tangu hujazaliwa hujaona hiyo sio pointing kabisa , angalia historian ya uislam tangu zama za Mtume swalalahu alayh wassalaam , pia lazima utambue kwamba sio kila anayejiita muislam basi yupo ktk njia sahihi wakati fikra Na mienendo ya kiislamu haifuati Na lazima ujiulize ni kwann Siku ya hukumu waislam watakuwa wamegawanyika ktk makundi 73 km sijakosea Na kati ya hayo moja tu ndio kitakalo salimika , je unafikiri ni kundi gani? Ukirudi ktk Quran Na hadithi za mtume bila shaka utakuwa ndio nusra ya muislamu Siku hiyo Na je ndani ya Quran Na Sunna kuna sehemu utawala wa kidemokrasia umehalalishwa? Bila shaka hakuna hivyo demokrasia ni haramu Na Allah kaahid kabla ya kiama kusimama dola ya kiislamu itakuja kusimama tena
Naam, vyema sana. Sasa malizia ulichoandika na kuninukuu ni wapi nimesema nisiulizwe.Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Cjaridhika na Jibu hili..Mungu anapongea hutumia nafsi ya kwanza uwingi(sisi) , wala hajinati kwa nafs ya kwanza umoja (mimi). Pia refer suratul kauthar
"Hakika tumekupa kheri nyingi sana ewe Muhammad (s. a. w) "
Kwanza nikiri huyu ndie member aliyenivutia mno kujiunga na JF. Hoja zake na mada zake zilimpatia umaarufu sana, wote mnajua Faizafoxy ni maarufu kwa mambo gani sasa yafuatayo ni maswali ninayojiuliza mpaka leo na ambayo ninamdhania.
1. FF ni kabila gani?
2. FF anaishi mkoa gani?
3. FF kama ni mwanamke anaoleka?
4. FF anatawalika kama mke?
5. FF mbona siku hizi haleti zile mada zake?
6. FF ana ELIMU ahera au dunia ?
NB.1 Navutiwa sana na huyu mwanamama, ningependa tujuane mimi na yeye pia tuwe family friend.
NB.2 Kama watanzania wengi wangekuwa ni member wa JF basi FF angekuwa ni brand kubwa sana kibiashara.
Shikamoo FaizaFoxyNna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Update 1:
Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.
Update 2:
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.
Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.
Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.
Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja aliyeuliza swali lolote kuhusu hilo.
Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.
Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.
Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.
Karibuni.
Faizafoxy, je mtanzania yeyote anaweza kwenda kubadilisha pesa za kigeni BOT kwa rate zile zile zinazooneshwa ktk website ya BOT kila siku?General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Update 1:
Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.
Update 2:
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.
Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.
Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.
Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja aliyeuliza swali lolote kuhusu hilo.
Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.
Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.
Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.
Karibuni.
Kuna taratibu zake nnakushauri uwasiliane nao wakufahamishe, anuani zao hizi: Bank of Tanzania: Contact InformationFaizafoxy, je mtanzania yeyote anaweza kwenda kubadilisha pesa za kigeni BOT kwa rate zile zile zinazooneshwa ktk website ya BOT kila siku?
Baba wa MapakaABUBAKAR NI NANI KATIKA UISLAM?
Ibrahim Kauli,na wewe acha kupotosha watu kuhusu utamkwaji na uandishi sahihi wa neno MAJINI.Kwa mujibu wa kanuni za sarufi maumbo na matamshi neno MAJINI linatakiwa liandikwe kama hivi nilivyoandika bila double N,yaani ni makosa kuandika MAJINNI kwa kutofautisha maji na mapepo.Sarufi matamshi na maumbo kwa kutumia KIIMBO neno moja linaweza kuleta maana nyingi kutokana na kupanda na shuka kwa kutamaka baadhi ya silabi.Km Barabara ukitamka bila kupanda utakuwa una maana ni njia ya magari,eg ajali nyingi zinatokea kwa sababu barabara ni mbovu,na ukitamka kwa kupanda na kushuka utakuwa na maana ya sawa sawa e.g. umempiga barabara yaani umempiga sawa sawa.Vivyo hivyo MAJINI ukitamka bila kupanda utakuwa una maanisha maji ya kuoga au kunywa,lakini ukitumia KIIMBO yaani utamke kwa kupanda na kushuka utamaanisha mapepo.Kwa hiyo kwenye Kiswahili fasaha hakuna neno Majinni.= majinni
"majini" ni kwenye maji.
mnafundishana karate ndii mtegemee mtafaulu? endeleen kusubiri meli airport