FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #1,181
Ibrahim Kauli,na wewe acha kupotosha watu kuhusu utamkwaji na uandishi sahihi wa neno MAJINI.Kwa mujibu wa kanuni za sarufi maumbo na matamshi neno MAJINI linatakiwa liandikwe kama hivi nilivyoandika bila double N,yaani ni makosa kuandika MAJINNI kwa kutofautisha maji na mapepo.Sarufi matamshi na maumbo kwa kutumia KIIMBO neno moja linaweza kuleta maana nyingi kutokana na kupanda na shuka kwa kutamaka baadhi ya silabi.Km Barabara ukitamka bila kupanda utakuwa una maana ni njia ya magari,eg ajali nyingi zinatokea kwa sababu barabara ni mbovu,na ukitamka kwa kupanda na kushuka utakuwa na maana ya sawa sawa e.g. umempiga barabara yaani umempiga sawa sawa.Vivyo hivyo MAJINI ukitamka bila kupanda utakuwa una maanisha maji ya kuoga au kunywa,lakini ukitumia KIIMBO yaani utamke kwa kupanda na kushuka utamaanisha mapepo.Kwa hiyo kwenye Kiswahili fasaha hakuna neno Majinni.
Umejifundisha Kiswahili shuleni, nimezaliwa na Waswahili, Kiswahili ni lugha mama kwangu na Jinni, si neno ni jina (noun).