FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #1,981
Mambo ya kikwete yanatoka wapi tena?
Tunajadili Bashite na vita yake ya kusadikika ya mihadarati unaleta Kikwete?
Any way nikushukuru kwa chit chat.
Si ya kusadikika, ni vita kweli. Sema approach yake sikukubaliana nayo toka mwanzoni.
Kasome nilichokijibu kuhusu Kikwete.
Kikwete ni kiongozi wa kupigiwa mifano daima, hatutamsahau.