Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Una matatizo kweli kweli, kumbe hata kusoma Kiarabu kwako ni shida. Sasa hicho ulichoandika ndiyo "wazni" ? Hiyo ni "wazn". Kasome kijana kabla hujaanza kubishana ujinga wako.

Rudia tena kusoma utanielewa tu, hata ukiwa na kichwa maji hakuna cha kukuzuwia kunielewa ninapokupa darsa.

Tartiiibu utaelewa hayo maneno yanatumika na wapi na vipi.

Hata huifahamu maana ya wazn na wazni. Unaleta porojo hapa. Mara "swarf" mara "wazn" mara huku mara kile. Nenda kasome juu huko nimekuwekea post nzima ya Kiarabu kitupu nini maana ya "Nikah" mbona hujaijibu?

Au imekuwa mtihani kwako? Sema Tu nikusaidie.
Nimekuambia ili iwe kuowana lazima ipimwe katika wazni maalumu.
Ukisema ndoa ni mkataba sio hoja ya kuwa watu wanaowana.

Ndo ni mkataba ambao una mtenda(muowaji) na mtendewa(muolewaji}.

Kama tu mkataba baina ya muajiri na muajiriwa haina maana ya kuwa ati ni mkataba akosekane mtenda na mtendwa.

Sasa ili iwe kweli makusudio ya pale ni kutendana(kuowana) na sio kuoa basi tuoneshe huo wazni wa hilo neno kuowana kwa kiarabu tuone likoje.

Hiyo mizani mbona hujaileta umekazana kwenye lugha tu.kama wewe unajua unachokisema lete mizani hapa.

Umeleta hiyo mizani ya kuowana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyu mama itikadi zake za kufru hasa.
Sijaondoa neno hapo, ndio maana nimekuuliza hiyo "Mara mbili" hapo ni nini ?

Yale maelezo ya maana ya ile aya, yaani sherehe na ndio usahihi.

Pili, nimekuuliza hivi, Tashahud yako unaisomaje ? Nasubiri hili jibu. Nikisema hutoki ujue hutoi kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaondoa neno hapo, ndio maana nimekuuliza hiyo "Mara mbili" hapo ni nini ?

Yale maelezo ya maana ya ile aya, yaani sherehe na ndio usahihi.

Pili, nimekuuliza hivi, Tashahud yako unaisomaje ? Nasubiri hili jibu. Nikisema hutoki ujue hutoi kweli.
Wewe huna usahihi wala haki ya kutolea "maelezo" yako kwa kuongeza yako kwenye Qur'an. Nani kakupa haki ya kuongeza maelezo yako? Hilo nimekujibu juu hapo.

Halafu unaniuliza kuhusu "Tashahud"?Hivi huwa hamuisomi Qur'an? Soma hiyo, useme nini hicho...

Qur'an 3:
وَإِذْ أَخَذَ اللَّهُ مِيثَاقَ النَّبِيِّينَ لَمَا آتَيْتُكُم مِّن كِتَابٍ وَحِكْمَةٍ ثُمَّ جَاءَكُمْ رَسُولٌ مُّصَدِّقٌ لِّمَا مَعَكُمْ لَتُؤْمِنُنَّ بِهِ وَلَتَنصُرُنَّهُ ۚ قَالَ أَأَقْرَرْتُمْ وَأَخَذْتُمْ عَلَىٰ ذَٰلِكُمْ إِصْرِي ۖ قَالُوا أَقْرَرْنَا ۚ قَالَ فَاشْهَدُوا وَأَنَا مَعَكُم مِّنَ الشَّاهِدِينَ - 3:81
81. Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia. 81
 
Mkuu huyu mama itikadi zake za kufru hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maneno ya mtu aliyekosa majibu. Sikushangai.

Soma kisha useme umeelewa nini hapa...

Qur'an 6:
6_114.gif

114. Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka.
114
 
Nimekuambia ili iwe kuowana lazima ipimwe katika wazni maalumu.
Ukisema ndoa ni mkataba sio hoja ya kuwa watu wanaowana.

Ndo ni mkataba ambao una mtenda(muowaji) na mtendewa(muolewaji}.

Kama tu mkataba baina ya muajiri na muajiriwa haina maana ya kuwa ati ni mkataba akosekane mtenda na mtendwa.

Sasa ili iwe kweli makusudio ya pale ni kutendana(kuowana) na sio kuoa basi tuoneshe huo wazni wa hilo neno kuowana kwa kiarabu tuone likoje.

Hiyo mizani mbona hujaileta umekazana kwenye lugha tu.kama wewe unajua unachokisema lete mizani hapa.

Umeleta hiyo mizani ya kuowana?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe hapa huna jipya, unajitutumuwa na kujikaza kisabuni tu.

Anzia hapa...

"Kuowana" ni nini Kiarabu?
 
Hiyo Surat Tawba haina adhabu ya kaburi usijidanganye kusherehesha na kupachika maneno yako halafu unajifanya hujaongeza lako kwenye hiyo post? Hiki nini?...

"Adhabu ya kwanza katika Aayah inahusu adhabu ya hapa duniani na ya pili ni adhabu ya kaburi. Kisha Allaah Aliyetukuka Anasema: “Kisha watarudishwa kwenye adhabu kubwa”, ina maana ya adhabu ya Siku ya Qiyaama."

Siyo maneno yako hayo? Yapo hayo kwenye Surat Tawba?

Wewe una haki ipi ya kuongeza maneno yako au sherehe yako ukidhani kuwa Allah kapuuza kitu kwenye Qur'an? Wakati Allah anasema...

Qur'an 6:38
6_38.gif

38. Na hapana mnyama katika ardhi, wala ndege anaye ruka kwa mbawa zake mbili, ila ni umma kama nyinyi. Hatukupuuza Kitabuni kitu chochote. Kisha kwa Mola wao Mlezi watakusanywa.
38
Bi mkubwa unapoteza muda sana. Niambie hiyo adhabu mara mbili ina maanisha nini ?

Jifune kuweka nususi za kisheria mahala pake.
 
Wewe huna usahihi wala haki ya kutolea "maelezo" yako kwa kuongeza yako kwenye Qur'an. Nani kakupa haki ya kuongeza maelezo yako? Hilo nimekujibu juu hapo.

Halafu unaniuliza kuhusu "Tashahud"?Hivi huwa hamuisomi Qur'an? Soma hiyo, useme nini hicho...

Qur'an 3:
وَإِذْ أَخَذَ اللَّهُ مِيثَاقَ النَّبِيِّينَ لَمَا آتَيْتُكُم مِّن كِتَابٍ وَحِكْمَةٍ ثُمَّ جَاءَكُمْ رَسُولٌ مُّصَدِّقٌ لِّمَا مَعَكُمْ لَتُؤْمِنُنَّ بِهِ وَلَتَنصُرُنَّهُ ۚ قَالَ أَأَقْرَرْتُمْ وَأَخَذْتُمْ عَلَىٰ ذَٰلِكُمْ إِصْرِي ۖ قَالُوا أَقْرَرْنَا ۚ قَالَ فَاشْهَدُوا وَأَنَا مَعَكُم مِّنَ الشَّاهِدِينَ - 3:81
81. Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia. 81
Bi mkubwa acha utoto sasa na usikwepe swali na ujifunze kuweka aya mahala pake kwa kuchunga munasaba. Kwanini hujibu swali langu ?

Wewe si una sali ? Niambie sala yako unaisali vipi na kikao cha mwisho kabla ya kutoa salamu huwa kuna dua na ni wajibu,sasa tuambid huwa una sali vipi au huwa unasema nini ukifika kwenye hicho kikao ?

Pili, sijaongeza bali nimefafanua na ile ndio maana ya sawa maana ambazo zinatiwa nguvu na hadithi kibao za mtume.

Tatu, nilikuuliza unaziongeleaje hadithi za mtume ? Maana kila siku tuna sali ila hukuti katika Qur'aan kuanzia sura ya kwanza surat al Fat'ha mpaka sura ya mwisho surat an Nas aya inayo elekeza namna ya kusali. Sisi mafunzo ya sala tumeyapata toka kwenye Hadithi tukufu za mtume, wewe sala yako umejifunza wapi ?
 
Bi mkubwa acha utoto sasa na usikwepe swali na ujifunze kuweka aya mahala pake kwa kuchunga munasaba. Kwanini hujibu swali langu ?

Wewe si una sali ? Niambie sala yako unaisali vipi na kikao cha mwisho kabla ya kutoa salamu huwa kuna dua na ni wajibu,sasa tuambid huwa una sali vipi au huwa unasema nini ukifika kwenye hicho kikao ?

Matusi hayo kijana, chunga kauli zako, hizo zinakudhihirisha jinsi ulivyo finyu na zinadhihirisha wazi kuwa mjadala huu wewe bado sana.

Utoto naleta mimi? au wewe unaeongeza "maneno" yako kujidai kusherehesha Qur'an?

Nimekuwekea aya hapo, umeelewa au? Utaelewa tu, Qur'an imekamilika. Soma kijana, huwa sikisii...


Qur'an 6:
6_114.gif

114. Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka. 114

6_115.gif

115. Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua. 115

6_116.gif

116. Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu. 116

6_117.gif

117. Hakika Mola wako Mlezi ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio potea Njia yake, na ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio hidika.
117
 
FaizaFoxy,
Nasema tena hivi acha utoto, mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu ?

Nayaandika tena hapa mara ya mwasho, kama hutojibi usini quote.

1. Niambie maana ya "...adhabu mara mbili" ni ipi ? (Na nia aya nyingine zaidi ya tatu zinazo thibtisha uwepowa maisha ya kaburini na adhabu zake, achilia mbali hadithi lukuki za mtume wa Allah amani iwe juu yake)

2. Tashahudi (Kikao cha mwisho hasa kabla ya kutoa salamu katika sala, huwa unaisomaje ?

3. Sala yako umejifunza wapi ?

Nasema tena acha utoto, kama huwezi kujibu haya maswali, usini quote
 
Zurri,

Kwanza kiri na omba toba Kwa Allah Kwa kuwa umefanya kosa kubwa sana kujidai kutia maneno yako kusherehesha Qur'an wakati Allah anasema Qur'an imekamilika.

Halafu jifunze kufanya minakasha Kwa mada. Maliza mada moja uingie nyingine. Wewe mara, Tashahud, nimekupa jibu la aya ya Qur'an kuhusu hilo hujaridhika au hujaielewa aya?

Sala yenyewe wewe hujuwi maana yake Halafu unataka kuniuliza mimi kuhusu salat? Anza kupata darsa la salat...

Soma halafu sema umeelewa nini?...


Qur'an 6:
6_162.gif

162. Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote. 162

Qur'an 20:
20_14.gif

14. Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi. 14
 
Nasema tena hivi acha utoto, mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu ?

Nayaandika tena hapa mara ya mwasho, kama hutojibi usini quote.

1. Niambie maana ya "...adhabu mara mbili" ni ipi ? (Na nia aya nyingine zaidi ya tatu zinazo thibtisha uwepowa maisha ya kaburini na adhabu zake, achilia mbali hadithi lukuki za mtume wa Allah amani iwe juu yake)

2. Tashahudi (Kikao cha mwisho hasa kabla ya kutoa salamu katika sala, huwa unaisomaje ?

3. Sala yako umejifunza wapi ?

Nasema tena acha utoto, kama huwezi kujibu haya maswali, usini quote
Mkuu achana nae huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo kichwa maji achana nae mkuu.

Mimi hapa nimeemuambia anipe wazni wa neno "KUOWANA " kwa mizani ya kiswarfu hajanipa mpaka sasa hivi.

Huyu mama hana ajualo.

Ni jitu potevu linalojiona limeongoka.
Halafu unakuta bado anajiita muislamu, nimemuuliza "Tashahudi" yake akiwa ana sali anaisomaje ?

Nasubiri jibu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hapa huna jipya, unajitutumuwa na kujikaza kisabuni tu.

Anzia hapa...

"Kuowana" ni nini Kiarabu?
Sasa mimi nimekuuliza na wewe unaniuliza tena hivyo hvyo kwa kugeuza kidogo tu swali?

Nilipokuambia unipe mizani ya neno kuowana kwa kiarabu katika fani ya swarfu nakusudia unitajie neno kuowana kwa kiarabu likiwa na na mizani sahihi ya تفاعل.

Sasa kwa kutumia mzani wa تفاعل ambao una maana ya kutendana mfano ضرب ni kupiga ila ukisema تضارب kwa wazni wa تفاعل inakiwa ni kupigana kwa maana ya kutendana.

Wewe unaedai kuwa aya maana yake kuowana tayari hii kuowana kwa kiarabu inaoimwa kwa wazni tofauti na wala haoiwi تنكح kwa sababu neno tankihu limepimwa kwa wazni wa تفعل kwa maana ya kufanya na sio kufanyana.

Sasa ili iwe kuowana huwezi kutumia neno tunkahu iwe na maana ile ile ya kufanyana wakati kisheria kiswarfu inakataa kabisa na Qurani inatumia sheria za lugha fasaha kabisa.

Mfano aya inayosema "ikiwa makundi mawili ya waislamu yatapigana.." Ukiangalia neno kupigana limekuja kwa "iqtatataluuu" sio kwa "qataluu" kwa sababu kila neno lina wwzni wake.


Ndo mama nakuambia kuwa naomba uniambie wazni wa neno KUOWANA kwa kiarabu ni upi kwa mujibu wa swarfu..?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kiri na omba toba Kwa Allah Kwa kuwa umefanya kosa kubwa sana kujidai kutia maneno yako kusherehesha Qur'an wakati Allah anasema Qur'an imekamilika.

Halafu jifunze kufanya minakasha Kwa mada. Maliza mada moja uingie nyingine. Wewe mara, Tashahud, nimekupa jibu la aya ya Qur'an kuhusu hilo hujaridhika au hujaielewa aya?

Sala yenyewe wewe hujuwi maana yake Halafu unataka kuniuliza mimi kuhusu salat? Anza kupata darsa la salat...

Soma halafu sema umeelewa nini?...


Qur'an 6:
6_162.gif

162. Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote. 162

Qur'an 20:
20_14.gif

14. Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi. 14
Hata makafiri wanakopi aya kama unavyokopi wewe,sasa kukopi aya sio kwamba ndo uislamu.

Hakuna sehemu kwenye Qurani imeandikwa kuwa "ukikaa tashahudi soma kitu fulani na fulani"

Hakuna muislamu snaekataa hadithi za mtume.

Wewe unafuata matamanio ya nafsi yako vile inaona na hyo ni kutokana na secular imekuharibu kwa sababu dini hujui.

Na kama utaendelea hivyo utajiona muislamu kumbe huna fungu.

Bora john anaamini maneno ya mtume na kusema mtume wenu amesema hivi na hivi.bora john anaamini kuwa mtume wetu kasema.

Ila wewe unaejiita muislamu hutaki hayo maneno ya mtume,muislamu gani weye kazi kuoigiana zogo na watu humu.

Nyie ndo wale Allah kasema

أرأيت من اتخذ إلهه هواه أفأنت تكون عليه وكيلا

[ AL - FURQAN - 43 ]
Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni wakili wake?


Yaani wewe matamanio yako ndio Mungu wako.akili yako ndio Mungu wako.

Uislamu hautaki ujanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo kichwa maji achana nae mkuu.

Mimi hapa nimeemuambia anipe wazni wa neno "KUOWANA " kwa mizani ya kiswarfu hajanipa mpaka sasa hivi.

Huyu mama hana ajualo.

Ni jitu potevu linalojiona limeongoka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu achana nae huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima uingie "mitini" kwa sababu bado u finyu sana na mwenzako yu finyu sana ndiyo maana nikawaita mshirikiane, mfanye shirk, na bado shirk yenu haikufua dafu.

Hivi mlidhani mnaweza kushindana na aya za Quran kwa viji hadith vyenu ambavyo hamna ujuzi navyo?

Umeshindwa kujibu swali jepesi kabisa "kuowana" ndiyo nini Kiarabu?

Nasubiri bado aya zako kuhusu adhabu ya kaburi, mwambie na huyo kijana anaejiita Zurri akusaidie. Hahaha kaja na aya akaitia maneno yake, nikampa za USO, Hana nyingine.

Kumbukeni, huwa sikisii.
 
Sasa mimi nimekuuliza na wewe unaniuliza tena hivyo hvyo kwa kugeuza kidogo tu swali?

Nilipokuambia unipe mizani ya neno kuowana kwa kiarabu katika fani ya swarfu nakusudia unitajie neno kuowana kwa kiarabu likiwa na na mizani sahihi ya تفاعل.

Sasa kwa kutumia mzani wa تفاعل ambao una maana ya kutendana mfano ضرب ni kupiga ila ukisema تضارب kwa wazni wa تفاعل inakiwa ni kupigana kwa maana ya kutendana.

Wewe unaedai kuwa aya maana yake kuowana tayari hii kuowana kwa kiarabu inaoimwa kwa wazni tofauti na wala haoiwi تنكح kwa sababu neno tankihu limepimwa kwa wazni wa تفعل kwa maana ya kufanya na sio kufanyana.

Sasa ili iwe kuowana huwezi kutumia neno tunkahu iwe na maana ile ile ya kufanyana wakati kisheria kiswarfu inakataa kabisa na Qurani inatumia sheria za lugha fasaha kabisa.

Mfano aya inayosema "ikiwa makundi mawili ya waislamu yatapigana.." Ukiangalia neno kupigana limekuja kwa "iqtatataluuu" sio kwa "qataluu" kwa sababu kila neno lina wwzni wake.


Ndo mama nakuambia kuwa naomba uniambie wazni wa neno KUOWANA kwa kiarabu ni upi kwa mujibu wa swarfu..?



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu zamaaani rudia hapa, bofya hayo maandishi ya blue hapo chini ukajisomee tena kama utaelewa:

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
 
Hata makafiri wanakopi aya kama unavyokopi wewe,sasa kukopi aya sio kwamba ndo uislamu.

Hakuna sehemu kwenye Qurani imeandikwa kuwa "ukikaa tashahudi soma kitu fulani na fulani"

Hakuna muislamu snaekataa hadithi za mtume.

Wewe unafuata matamanio ya nafsi yako vile inaona na hyo ni kutokana na secular imekuharibu kwa sababu dini hujui.

Na kama utaendelea hivyo utajiona muislamu kumbe huna fungu.

Bora john anaamini maneno ya mtume na kusema mtume wenu amesema hivi na hivi.bora john anaamini kuwa mtume wetu kasema.

Ila wewe unaejiita muislamu hutaki hayo maneno ya mtume,muislamu gani weye kazi kuoigiana zogo na watu humu.

Nyie ndo wale Allah kasema

أرأيت من اتخذ إلهه هواه أفأنت تكون عليه وكيلا

[ AL - FURQAN - 43 ]
Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni wakili wake?


Yaani wewe matamanio yako ndio Mungu wako.akili yako ndio Mungu wako.

Uislamu hautaki ujanja

Sent using Jamii Forums mobile app
Qur'an 6:


6_114.gif


114. Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka. 114


6_115.gif

115. Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua. 115


6_116.gif

116. Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu. 116


6_117.gif

117. Hakika Mola wako Mlezi ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio potea Njia yake, na ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio hidika.
117
 
Back
Top Bottom