Ni vyema umeelewa sasa hivi kuwa zinaongelewa adhabu tatu. Maana ukikazana mbili, mbili. At least umebadili chorus.
Hili nalijua ndio maana nikawa kwenye adhabu mara mbili, hiyo adhabu kubwa inajulikana.
Nimekuwekea Tafsir ya Shaikh Barwani ya aya hiyo umeisoma? Au hujaipenda?
Kwanza nakuweka sawa, Sheikh Ali Muhsin al Barwan hana Tafsiri, amefanya tarjama ya neno kwa neno toja katika "al Muntakhab".
Nakukumbusha tu hayo maneno ya al Bar'wan ni sehemu ya aya au ni maneno ya ziada ? Sasa inakuwaje kunya anye kuku akinya bata amehara ?
Naona una kula matapishi yako sio. Hiki kina kirefu bi mkubwa.
Elewa kuwa hizo adhabu mbili ni za duniani kwa mujibu wa tafsir ya Barwani.
Bar'wan amesema wapi hizo adhabu mara mbili ni za hapa duniani ? Na marejeo yake ni wapi ?
Na hayo maneno ya Aya ni ya Allah na yeye mwenyewe ndiye ajuae alitowa / atatowa adhabu zipi duniani. Sisi tumeamini na si wa kumpachikia maneno kuwa atatowa adhabu hii au ile.
Nacheka sana, naona unakaa sawa sasa. Hili limeshabainishwa kitambo sana.
Nakukumbusha tu, mtume aliishi na maswahaba, na maswahaba walipo kuwa hawaelewi jambo katila aya walimuuliza mtume amani ya Allah iwe juu yake, sasa yale majibu ya mtume tuna yapata katika zake zenye sharafu. Hili hujui wewe na wajinga wenzako, ila sisi Allah aliye juu ametupa majibu.
Sasa nakupa angalizo, huu ujinga wa kukimbia maswali uuache.
Usilazimishe visivyokuwepo kijana.
Hili swali jepesi sana, ila kwa ujinga wako limekushinda.
Wewe uliyemsoma kakupachikia kuwa hiyo ni adhabu ya kaburi ujuwe kapachika tu, kwenye hivyo vihadithi vyenu vinavyokwenda kinyume na Qur'an.
Nachekq sana,hii kazi nimeimaliza bibie.
Sasa nalurudisha huki, mpaka ulae sawa. Ibada zako huwa unazifanyaje ? Maana ibada zote zimeelezewa katika Hadithi. Unasal vipi bi mkubwa ? Unaoshaje maiti unazikaje una kulaje una lalaje una fungaje una hijo vipi ?
Qur'an isiongelee adhabu ya kaburi wewe useme ipo!
Vipi Qur'aan imeelezea idadi ya rakaa za sala tano tunazo sali. ? Vipi mbona tuna sali ? Usiwe mjinga kuuzidi ujinga wenyewe.
Unasikitisha sana kijana.
Namalizia kwa kushindilia msumari, kikao chalo kabla ya kutoa salamu, huwa unakisomaje ?
Hivi kwama huwa una sali ?