Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uislam ulianzishwa na mtume Muhamdi na yeye ndo muislam wa kwanza na kisha akasilimisha watu wa nyumbani mwake akiwapo dogo mmoja alikuwa akiishi kwake alikuwa akiitwa Ally na mkewe mtume KhadijaGeneral Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Update 1:
Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.
Update 2:
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.
Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.
Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.
Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja aliyeuliza swali lolote kuhusu hilo.
Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.
Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.
Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.
Karibuni.
Weka ushahidi.uislam ulianzishwa na mtume Muhamdi na yeye ndo muislam wa kwanza na kisha akasilimisha watu wa nyumbani mwake akiwapo dogo mmoja alikuwa akiishi kwake alikuwa akiitwa Ally na mkewe mtume Khadija
kweli si kweli?
WAISLAMU / WAUMINI WA MWANZOWeka ushahidi.
Kwanza kabisa source yako ni story tu za ya watu kujitungia tungia Kwa hiyo yako siyo ushahidi wa msingi (primary) wa mafundiaho Uislam.WAISLAMU / WAUMINI WA MWANZO
WAISLAMU / WAUMINI WA MWANZO
Natija ya ulinganiaji wa siri wa Bwana Mtume –Rehema na Amani zimshukie – ilikuwa ni kuingia katika uislamu baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zake na kuwafanya ndio waumini wa mwanzo.
Miongoni mwa mazao ya ulinganiaji huu ni mkewe Bi Khadija, huyu alimuamini Bwana Mtume na akausadiki ujumbe aliokuja nao kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Bi Khadijah alimuunga mkono Nabii Muhammad kwa hali na mali akimpunguzia kero na maudhi aliyokuwa akiyapata kutoka kwa watu wake.
Ally bin Abi Talib, mtoto wa ammi yake Mtume alikuwa ni mwingine aliyemuamini na kumkubali.
Huyu alikuwa ni kijana mwenye umri usiopindukia miaka kumi na alikuwa akilelewa na Mtume, ikiwa ni kumpunguzia ammi yake mzigo mkubwa wa familia uliomlemea.
Mtume alipopewa utume rasmi, Ally aliingia chumbani na kumkuta akisali na mkewe Bi Khadijah. Ally akasimama akiwaangalia mpaka wakamaliza kuswali, ndipo akamuuliza Mtume juu ya kitu kipya hiki alichokiona.
Mtume akamwambia :
“Hii ndio dini ya Mwenyezi Mungu aliyoichagua yeye mwenyewe na akawatumilia kwa dini hii mitume wake. Basi ninakulingania umuabudu Allah pekee asiye na mshirika na uwakufuru (uwakane miungu sanamu) Lata na Uzzah”.
Ally akasema :
sijapata kulisikia jambo hili kabla ya leo, basi sitakata shauri mpaka nimwambie Abuu Twalib (baba). Mtume akachelea asije akaifichua siri yake kabla yeye mwenyewe hajaitangaza, akamwambia :
“Ewe Ally ikiwa husilimu basi nifichie siri hii na usimwambie mtu yeyote”.
Usiku ule, Ally akakesha akifikiria kile alichokiona na kukisikia mchana wake kutoka Nabii Muhammad.
Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa hekima azijuazo mwenyewe akautia na kuujaza Uislamu ndani ya moyo wa Sayyidna Ally.
Kulipopambazuka, akadamkia kwa Mtume na kumuuliza : ulinitangazia/ulinieleza nini vile, jana ? Mtume akamjibu :
“Ushuhudie kwamba hapana Mola afaaye kuabudiwa kwa haki ila ALLAH pekee asiye na mshirika na uwakane Lata na Uzzah na ujiepushe na miungu washirika”. Sayyidna Ally akasilimu na kuuficha uislamu wake kwa kumchelea baba yake.
Ulipofika wakati wa swala Bwana Mtume – Rehema na Amani zimshukie – alikuwa akitoka kwa uficho pamoja na Sayyidna Ally, wakienda kuswali kwenye viunga/maboma ya mji wa Makkah.
Walikuwa wakikaa huko mpaka jioni na waliendelea na zoezi hili kwa muda mrefu. Siku moja Ammi yake Mzee Abu Twalib akawafuma wakiswali.
Akamuuliza : ewe mwana wa ndugu yangu, ni dini gani hii unayoifuata ? Mtume akamjibu :
“Ewe Ammi yangu, hii ndio dini ya ALLAH, dini ya malaika wake, dini ya mitume wake na dini ya baba yetu Ibrahim, ALLAH amenitumiliza kwa waja na dini hii. Nawe ammi yangu, ndiye una haki zaidi kwangu kuliko mtu yeyote nikupe nasaha na kukulingania kwenye uongofu na ndiwe una haki zaidi ya kuniitikia na kuniunga mkono !”. Abuu Twalib akamjibu Mtume :
Ewe mwana wa ndugu yangu wee, mimi siwezi kuiacha dini ya baba zangu na itikadi yao, lakini ninakuahidi hutodhurika na chochote maadam ni hai. Kisha akamwambia Ally : Ewe mwanangu, nduguyo hakukulingania ila ni kwenye kheri, basi ninakuusia umlazimu.
Kama walivyosilimu Bi Khadijah na Sayyidna Ally katika nyumba ya Mtume, pia alisilimu kijana na mtumishi wake Zayd bin Harithah.
Unaanza kunitusiNyie siku hizi kazi yenu kutingisha makalio, mwanamme hajulikani, mwanamke hajulikani.
tuwekee hapa korani inasemaje madamKwanza kabisa source yako ni story tu za ya watu kujitungia tungia Kwa hiyo yako siyo ushahidi wa msingi (primary) wa mafundiaho Uislam.
Primary source ya Uislam ni Qur'an. Natumai umenielewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mabango, kweli waislamu waliamuaaSina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
![]()
Ni uzushi. Kuzusha ambacho hakipo kwenye Qur'an na mafunzo au mambo ya UWaislam wa wakati wa Mtume Muhammad salla Sllahu alayhi wasalaam.Anaonekana zimo zimo kidogo.
Shida ni kwaba amegizwa kingi.
DINI Yao imechanganyikana na Mafundisho ya KISHETANI
Na mchanganyiko wa KIPAGANI.
MBINGU ataisikia tu.
Ila Ataenda kwa Alla wake.
Shahada mwaka 1982, NAKUBALINna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in (Tele)communications (Canada, 1982).
Dini yenye mafundisho ya Kishetani itamlaani shetani kila wakati?Anaonekana zimo zimo kidogo.
Shida ni kwaba amegizwa kingi.
DINI Yao imechanganyikana na Mafundisho ya KISHETANI
Na mchanganyiko wa KIPAGANI.
MBINGU ataisikia tu.
Ila Ataenda kwa Alla wake.