2 - 1
Leo mmekuwa wapooole. Duuh
Hahahaaa. Naona mnatafuta pa kujifichia. 🤣🤣🤣🤣.Tuliwekeza nguvu kwa Simba Queens 7 - 0 Yanga Princess, hapo tulikutana na ile kauli ya mshika mbili moja humponyoka.
Poleee kwenu nyinyi mliorudi patupu...kutoka kuwa timu ya mpira wa miguu mpaka kuwa timu ya washangiliaji😂😂😂😂🤣🤣🤣 Noma sana.
Pole eeee.
Poleni nyinyi ombaomba mliorudi mikono mitupu na kipigo cha mbwa koko😂😂😂😂Hahahaaa. Naona mnatafuta pa kujifichia. 🤣🤣🤣🤣.
Ila hamueleweki aiseeee. Poleni
Huo ndio umeshakuwa utetezi lol.Poleee kwenu nyinyi mliorudi patupu...kutoka kuwa timu ya mpira wa miguu mpaka kuwa timu ya washangiliaji😂😂😂😂
Kipigo ni kipigo tu Mkuu.Poleni nyinyi ombaomba mliorudi mikono mitupu na kipigo cha mbwa koko😂😂😂😂
7Leo hawaongei yaani. Comments zao fupi fupi tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawana cha kusema wamebakia kuleta Updates za soka la wanawake. [emoji2][emoji2][emoji2]
10 millions sio habaHahahaaa. Naona mnatafuta pa kujifichia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila hamueleweki aiseeee. Poleni
Hahahaaa. Naona mnatafuta pa kujifichia. 🤣🤣🤣🤣.
Ila hamueleweki aiseeee. Poleni
😃😃😃 Hatari sana
Leo hiii. 😳10 millions sio haba
Toka lini mkachambua hizo ligi za wanawake humu. Semeni Watani zangu mmekosa pa kushika. 🤣🤣🤣Asante kwa pole ya Azam.
Pole pia na wewe kwa Yanga Princess kufungwa na Simba Queens.
Toka lini mkachambua hizo ligi za wanawake humu. Semeni Watani zangu mmekosa pa kushika. 🤣🤣🤣
Hivyo Mtani unataka kusema sababu za nyie kufungwa ni zipi labda?Toka lini umewahi kuona timu inajigawa mara mbili?
Moja Zanzibar (Mapinduzi) na nyingine Klabu Bingwa Afrika? Kila kitu kina mwanzo.
[emoji4] za moto moto badoLeo hiii. [emoji15]
Hivyo Mtani unataka kusema sababu za nyie kufungwa ni zipi labda?
Kwani kikosi B chenu na chetu vinafanana? Sababu huwa nasikia tambo kuwa kikosi chenu kipana au Manara aliongopa?Kikosi b kama mlivyopigwa na malindi
Nyie utetezi wenu ni upi??au hamkushiriki haya mashindanoHuo ndio umeshakuwa utetezi lol.
Hivyo Mtani unataka kusema sababu za nyie kufungwa ni zipi labda?
Utetezi wetu unajulikana na mnaujua. Nyie semeni tu Azam ni ngoma nzito kwenu wacheni kuruka ruka.Nyie utetezi wenu ni upi??au hamkushiriki haya mashindano