Fainali Mapinduzi Cup 2019: Azam FC 2 - 1 Simba SC

Hahahaaa. Naona mnatafuta pa kujifichia. 🤣🤣🤣🤣.

Ila hamueleweki aiseeee. Poleni
Poleni nyinyi ombaomba mliorudi mikono mitupu na kipigo cha mbwa koko😂😂😂😂
 
Asante kwa pole ya Azam.

Pole pia na wewe kwa Yanga Princess kufungwa na Simba Queens.
Toka lini mkachambua hizo ligi za wanawake humu. Semeni Watani zangu mmekosa pa kushika. 🤣🤣🤣
 
Toka lini mkachambua hizo ligi za wanawake humu. Semeni Watani zangu mmekosa pa kushika. 🤣🤣🤣

Toka lini umewahi kuona timu inajigawa mara mbili?

Moja Zanzibar (Mapinduzi) na nyingine Klabu Bingwa Afrika. Kila kitu kina mwanzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…