Fainali Mapinduzi Cup 2019: Azam FC 2 - 1 Simba SC

Sawa sisi tumepewa kipigo tumerudi na milioni kumi...nyie mmepewa kipigo mmerudi na sh ngapi????
Naona unarudi pale paleee. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Pole kwa kipigo Mkuu.
 
Utetezi wetu unajulikana na mnaujua. Nyie semeni tu Azam ni ngoma nzito kwenu wacheni kuruka ruka.
Utetezi wenu upi..mbona unaogopa kuuandika hapa....Nyie kwenu azam ni ngoma nyepesi...nikumbushe mliwafunga ngapi Azam??๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...tabu ipo palepale
 
Hahaaah yanga kumbe ndo mmechukua mapinduzi cup๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Hatari sana hizi mambo.
 
Vipi sahivi mnaamia kushangilia alhaly tena...mana ckuhz Yanga si timu ya mpira wa miguu Yanga ni kikundi cha washangiliaji
Yaani huo ndio Ukweli na kama mimi sioni shida kabisaaa. Ntahama mpaka mwisho.

Mkicheza na Alliance tu nakuwa huko ije kuwa na Al Ahaly.
 
Yaani huo ndio Ukweli na kama mimi sioni shida kabisaaa. Ntahama mpaka mwisho.

Mkicheza na Alliance tu nakuwa huko ije kuwa na Al Ahaly.
Sawasawa kikundi cha ushangiliaji..mlianza na mbabane,mkaja nkana..juzi mmeamia kwa waarabu...tunatoa kipigo kwa hizo timu na kikundi chake cha washangiliaji๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...tabu nyingine mnajitakia tu
 
Sawasawa kikundi cha ushangiliaji..mlianza na mbabane,mkaja nkana..juzi mmeamia kwa waarabu...tunatoa kipigo kwa hizo timu na kikundi chake cha washangiliaji๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...tabu nyingine mnajitakia tu
Umeisahau Azam. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Umeisahau Azam. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kumbe walivyowafunga mlikuwa mnawashangilia...yani wanawapiga tatu huku mnawashangilia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..tabu ipo palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ