Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Ni uongo. Unaamini maneno ya huyu kahaba?Faiza hataki pesa za Sugu kwa maelezo yake bali mtoto wake Sacha anamsumbua kutaka kuzungumza na baba yake na kilio juu Sugu kagoma kuzungumza na mtoto.
Mkuu kubishana si sehemu ya Maisha yanguNi uongo. Unaamini maneno ya huyu kahaba?
Mama anatakiwa atulie akubali matokeo, mambo ya matunzo yatajileta tu yenyeweNadhani tuanze kupitia sheria na taratibu zetu ili watoto wakue katika mazingira wanayostahili. Haya mambo ya wazazi kumuona mtoto kama kitu flani anachoweza kukifanya atakavyo si sawa. Huyo sasha anaweza kuwa anasoma good school na anakaa fresh ila hizi tabia zitakuja kutoa majibu baadae
Inshort mtoto hayupo salama kihisia na kiakili sababu ya drama zisizomuhusu
Anataka kunichoshaπ€ͺπ π π π
Bila shaka kukosea siyo kujifunza ila tunatakiwa tujifunze kupitia maisha ya wenginePamoja mkuu...hawa ni macelebritiii kuna la kujifunza humu
Ndoa ina utamu wake piaFaiza anataka Sugu awe anakumbushia enzi japo kwa siri huku akitoa matunzo ndo maana anasema ana roho mbaya hahhaah π sugu kakomaa anaheshimu ndoa