Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Simtetei bali naona wote wanamtesa mtoto wao kwa hiyo Sugu kukataa kuzungumza na mtoto ni jambo jema
Lazima ujiulize why akatae?
Ikiwa ali fight hadi mahakamani why leo agome?
Nani asiyejua maumivu ya kutukanwa anayopitia Sugu?

Sugu ametukanwa sana hadi bungeni na alilia machozi sana ana akaeleza masahahibu anayopitia kupitia huyo mtoto na dunia iliona.

Siungi mkono baba asiyetunza watoto lakini siungi mkono uonevu na manyanyqso anayopiria Sugu.

Yaani kama vile Sugu alizini na shetani kutwa kusimangwa na kutukanwa.
Ingekuwa mimi huyo mwanqmke angekua kilema muda mrefu sana
 
Happy Sugu sasa na yeye huko Insta anavyojishaua sasa...mara nipo hotel desderia mara nilikutana na Sugu wakati nafanya kazi Byuro de chenji mara alienda ulaya akaniletea pafyumu baaasi itakua inamvuruga sana Faiza.
Huyo mwanamke ameshindwa ku move on.
Anataabika sana kuona mke wa Sugu anafaidi libiringanya lake
 
Faiza alimponda sana Happy kwamba mbayaa mara ana watoto wana sura mbaya...ila naona mdada kaamua badala ya kujibishana na Faiza akaamua huo muda ampagawishe Sugu kwa mapenzi na kufatilia biashara zao...so Sugu anavimba tuu kwa sasa
 
Happy Sugu sasa na yeye huko Insta anavyojishaua sasa...mara nipo hotel desderia mara nilikutana na Sugu wakati nafanya kazi Byuro de chenji mara alienda ulaya akaniletea pafyumu baaasi itakua inamvuruga sana Faiza.
Hata ningekua mm ndio Happy ningejishaua mno, faiza alimtukana sana yule dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila maisha magumu nyieee
Mtu umeolewa lets say una kazi yako au biashara yako still maisha magumu,,sembuse mama anaefight kutunza familia na kusomesha watt 2 peke yake??
 
Lazima ujiulize why akatae?
Ikiwa ali fight hadi mahakamani why leo agome?
Nani asiyejua maumivu ya kutukanwa anayopitia Sugu?

Sugu ametukanwa sana hadi bungeni na alilia machozi sana ana akaeleza masahahibu anayopitia kupitia huyo mtoto na dunia iliona.

Siungi mkono baba asiyetunza watoto lakini siungi mkono uonevu na manyanyqso anayopiria Sugu.

Yaani kama vile Sugu alizini na shetani kutwa kusimangwa na kutukanwa.
Ingekuwa mimi huyo mwanqmke angekua kilema muda mrefu sana
Mkuu hapa tunatetea mtoto ambaye ndio anaumia nielewe kwanza kwa hili sio ubishani usiokuwa na faida
 
Back
Top Bottom