Lazima ujiulize why akatae?Simtetei bali naona wote wanamtesa mtoto wao kwa hiyo Sugu kukataa kuzungumza na mtoto ni jambo jema
Huyo mwanamke ameshindwa ku move on.Happy Sugu sasa na yeye huko Insta anavyojishaua sasa...mara nipo hotel desderia mara nilikutana na Sugu wakati nafanya kazi Byuro de chenji mara alienda ulaya akaniletea pafyumu baaasi itakua inamvuruga sana Faiza.
Sumu tu zimewajaaSugu ana ubillionea gani we kiumbe au chawa wa Sugu,yaani mzazi anaye lipa kisasi kwa kumkomoa mtoto kwangu naona nati za kichwani hazijakaza vizuri
Hata ningekua mm ndio Happy ningejishaua mno, faiza alimtukana sana yule dada.Happy Sugu sasa na yeye huko Insta anavyojishaua sasa...mara nipo hotel desderia mara nilikutana na Sugu wakati nafanya kazi Byuro de chenji mara alienda ulaya akaniletea pafyumu baaasi itakua inamvuruga sana Faiza.
Huyo kile kichaa kimechachamaa tena anahitaji dawaNaona dish limehama tena...
HahahaahHata ningekua mm ndio Happy ningejishaua mno, faiza alimtukana sana yule dada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa tunatetea mtoto ambaye ndio anaumia nielewe kwanza kwa hili sio ubishani usiokuwa na faidaLazima ujiulize why akatae?
Ikiwa ali fight hadi mahakamani why leo agome?
Nani asiyejua maumivu ya kutukanwa anayopitia Sugu?
Sugu ametukanwa sana hadi bungeni na alilia machozi sana ana akaeleza masahahibu anayopitia kupitia huyo mtoto na dunia iliona.
Siungi mkono baba asiyetunza watoto lakini siungi mkono uonevu na manyanyqso anayopiria Sugu.
Yaani kama vile Sugu alizini na shetani kutwa kusimangwa na kutukanwa.
Ingekuwa mimi huyo mwanqmke angekua kilema muda mrefu sana
Sumu zipi eti we Happy😅😅Sumu tu zimewajaa
Mkuu kunguru naye ako na tako?Acha kumwita binadamu takataka, tako ka la kunguru[emoji57][emoji57][emoji57]
Lakini mkuu mateso yameanzia kwa wazazi hasa mama yakeMkuu hapa tunatetea mtoto ambaye ndio anaumia nielewe kwanza kwa hili sio ubishani usiokuwa na faida
Kwanza rudisha avatar ya taqo muungwana Wi🤣Acha kumwita binadamu takataka, tako ka la kunguru[emoji57][emoji57][emoji57]
Kuwapakazia wanaume hata kama wanatoa matumizi,kwani wakati mnakaa mguu pande siku za hatari mlitegemea niniSumu zipi eti we Happy😅😅