Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Faiza ananikumbusha demu moja kichaa wana walikua wanamuogopa..ila manzi ni mkisu.
Kumbe manzi anapenda kutongozwa kibabe. Nilimtongoza kiganziganzi nikawa napita naye.
Watu wanashangaa nimemuimbisha vipi.
Na ni watamu sana hawa wanaojizima data.

Demu akikuletea za kuleta haina kumsusia, mnagombana ila vidude haina kususa mnakamatiana kama kawaida kibububu. We hukumu yako kitandani; ni moto tu.
 
Hivi Faiza kama sio takataka ni kitu gani.

Yule Dem ni takataka za chini zilizooza. Yule hata uchi wake unakoma. Ni katili anamuathiri mtoto. Anamdhalilisha mtoto. Sugu ni sugu miaka na miaka.

Yaani hata nyimbo, hotuba zake ni sugu utamsikiliza na ninyi mnamsikiliza na Faiza anamsikiliza. Faiza ana genye.
Mkuu lakini huwezi kumwita binadamu takataka bado...hapa ndo hoja yangu inapolalia
 
Hapo suluhisho ni Baba wa mtoto kwenda mahakamani kuomba apewe mtoto wake amlee mwenyewe.

Huyo dada ana matatizo ya akili, kuna wanawake wengi sana Tanzania wametelekezewa watoto na wanalea bila kelele na mtu hata kama ni kwa shida. Hizi kelele za kutafuta kila njia ili amtukane mzazi mwenzie zina madhara kwa mtoto hapo baadae.

Pia huyo binti atafute mwanaume ampende, itamsaidia sana kuacha kutafuta sababu za kumtukana mzazi mwenzie.
 
Pole zake Sugu, ila si muda mwingi mtoto atafika 18, atajua nani ako na shida kati ya baba na mama muda ni jibu sahihi kama mtoto anasifiwa yuko smart.
 
Kim Jong Jr eeh ww nae ulidandia treni kwa nyuma kwamba malayer alokosa Kazi sijui bla bla bla bla.

Yani mim ni malayer haswa kama unataka kuthibitisha nipe namba za baba ako, na wajomba zako wote mashoga uone kama siwatafutii mabwana.

Siku nyingine usikurupukie vitu visivyokuhusu utakuja upakwe mayai karanga mbichi ww.😊
 
Anapoharibu ni kuweka haya mambo kwny mitandao nadhani baadae Sasha akikua yatamuathiri kisaikolojia...maybe ni kweli anapitia kipindi kigumu ila nadhani angeyatatua privately
Angalie usije kuwa kama faiza ni mpumbavu mno
 
Kila siku ninawaambiaga kaeni mbali na wanawake wajinga oooh mtapiga na kukimbia...utakimbia lkn mbegu ulizoziacha kwake zitakuadhiri...ona sasa
Mkuu uneongeaa kweli tu tuakae mbali na wanawake wapumbavu ,namm nimefanya kosa kama la sugu nimezaa na mwanmke kimeo hataru
 
Mkuu uneongeaa kweli tu tuakae mbali na wanawake wapumbavu ,namm nimefanya kosa kama la sugu nimezaa na mwanmke kimeo hataru
Pole sana mkuu.
Ukikosea pa kuchomeka na kuhifadhi mbegu zako inaumiza sana.

Ingefaa kufuta mtu unafuta na kuchoma moto hiyo rekodi
 
Back
Top Bottom