Faiza Ally aweka wazi mahusiano yake na Gabo Zigamba

ObieTrice

Senior Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
159
Reaction score
154
FAIZA ALLY mke wa sugu wa Zamani a.k.a mama Sasha ambaye ni mjamzito anakaribia kujifungua hivi karibuni kapost post ya utata instagram ambayo ikimonyesha akipokea bonge la busu kutoka kwa muigizaji wa kiume wa bongo movie gabo zigambo na kuandika maneno haya "Baba kijacho wangu ❤️ love you "​

 
Mkuu, ni suala la kisaikolojia zaid. Kuna wanaume wanapenda sana 'damsel in distress'. Yaan jamaa anapenda madem wenye matatizo. Mara nyingi huwatokea wanaume ambao hawana mahusiano mazuri na mama zao.
Ushaanza kujifanya mwalimu wa saikolojia. Haya, sawa lakini.
 
Ingekuwa hawa wasanii sijui wanani wa nchi hii wanaonyesheana jinsi wanabyochuma pesa hata kwa biashara zao binafsi wangekuwa mbali kwa kweli...

Ila akili zao wengi ni za kuonyeshana nani anajua kulwalwa na upupwu mtupu. Hata watoto hawafai kuwajua kabisa
 
Mkuu, ni suala la kisaikolojia zaid. Kuna wanaume wanapenda sana 'damsel in distress'. Yaan jamaa anapenda madem wenye matatizo. Mara nyingi huwatokea wanaume ambao hawana mahusiano mazuri na mama zao.
Kama unalijua hilo mbona unashangaa sasa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…