Hawa Mabinti huwa wanachezea maisha katika age ambayo ndio msingi wake wa baadae
wanakuja 'kukumbuka kufunga banda wakati farasi kishatoka '
Ah ah Nina mrangi nimezaa nae watoto 2,aiseee nimeokota dodo, mdada full mapenzi, heshima, n.kSio mrangi faiza ni mnyaturu sjui. Halaf warang hatupo hivo
Mi watu miyeyusho ndo mambo yangu mkuu.Huuwezi huo mziki wa Sony Muteki
Hahahahah tafta demu wa uswahiliniMi watu miyeyusho ndo mambo yangu mkuu.
Ile kupelekana puta, maneno ya shombo mchana kweupe jua linawaka hayon ndiyo mambo yangu
Ndege wa rangi moja huruka pamoja!Umeona eehhh!
............. wanaomsapoti pia siwaelewi
Jitahidi kuangalia mikoba yake mara kwa mara kwa kushtukiza.Ah ah Nina mrangi nimezaa nae watoto 2,aiseee nimeokota dodo, mdada full mapenzi, heshima, n.k
Hizo tabia za Faiza mbona za kiswazi piaHahahahah tafta demu wa uswahilini
UmepatikanaMademu wa Kirangi wazuri, unaweza kusema nimepata mke kumbe.................
Ah ah ah ah nipo nae 9 years now, sijawahi wala kuhisi mambo ya ushirikina, kwanza nipo out of that fucking shit!Jitahidi kuangalia mikoba yake mara kwa mara kwa kushtukiza.
Kipindi cha coronaKampuni za usafirishaji zilimfelishaga Sana akajikuta anaingia loss kubwa mnoo,mpk akaunti yake ikafuta Ile ya followers 2m nadhani wananchi walimshupaliaga Sana!!wakamshtakia,ndo anainuka pole pole kipindi kile Yuko busy alipunguza hizi drama
Muelezeke bhna aisje akajiaminishaJitahidi kuangalia mikoba yake mara kwa mara kwa kushtukiza.
Balaah tupu tupu hawafai Ni Bora tu wazalishweMademu wa Kirangi wazuri, unaweza kusema nimepata mke kumbe.................
Angekataa tu bila kumkaririsha binti yake na kumrecord , bila kutukana mtoto wa mwaka mmoja (Freeman) angepungua nini?Ila on the other side hatak mwanae hapostiwe ..uyo dada happy angeachanaga nae tyuu mana Faiza ypo clear mbna hatak amposti mwanae
Hata asipompost, ataleta lingine tu.. Faiza is dramatic person by nature.. We kwa akili yako hiyo mke mwenzako akimpost mtoto wako yatakutoka hayo maneno?Ila on the other side hatak mwanae hapostiwe ..uyo dada happy angeachanaga nae tyuu mana Faiza ypo clear mbna hatak amposti mwanae
Wanyaturu hatuna watu wa akili ile 😀😀 msimkatae ndugu yenu bwana!Sio mrangi faiza ni mnyaturu sjui. Halaf warang hatupo hivo
Mwanamke lazima awe na wivu.. mwanae kaongea na Rais ulitegemea yule mwanamke akae kimya? Lazima akiwashe ili aonekana kuwa na yeye yupo na yeye ndio kamzaa sasha…Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake ( aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale, wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae?
Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto ( Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.....