Faiza Ally: Sugu Mzuri, nipo tayari kumpa tena

huyu dada ashavuka stage ya kutumika sasa anatumia, yaani anataka kumtumia sugu na umaarufu wake ili aendelee kubaki mjini, ni kama ali kiba kwa diamond. kikubwa sugu asimjibu kitu.
 
Huyu ni wa uswahilini, ukichanganya na kwamba akili zake hazina akili, Sugu anajuta kumfahamu.
 


Nishawahi kudate demu kichaa kama huyo, mara nyingi sana wanakuwa na matatizo zaidi ya wanayoyaonyesha, huyo matatizo yake yanaanzia utotoni na hakuna kitu utafanya keshadata, ni shida, ila kwa sex ni wazuri usipime, sasa hapo unachanganyikiwa demu anakupa sex ya ukweli dadadeki lkn kila kitu kinaishia hapo mdomo mchafu kama choo, anaweza kukutukana mbele ya washikaji au watu unaowaeshimu, lkn ukikumbuka sex zao unadata, hapo sasa, uchague kipi? Sex nzuri au heshima?
 
Faiza acha wenge Sugu ana mke,tulia na mtu wako huyo uliyezaa nae,wewe unadhani huyo mpenzi wako anafeel_aje kwa hiyo kauli yako ya "KUMPA TENA SUGU"?
 
hiyo habari ya kuzaa nae tena si ya leo ni ya miaka mitatu iliyopita,aliyeileta ndio kaiona leo...
 
Faiza acha wenge Sugu ana mke,tulia na mtu wako huyo uliyezaa nae,wewe unadhani huyo mpenzi wako anafeel_aje kwa hiyo kauli yako ya "KUMPA TENA SUGU"?
BTW ni nani aliyezaa na Faiza huyu mtoto wa sasa? Kwa kutumia hisia zangu nadhani ni mtu mwenye mke na watoto, fedha na heshima kubwa kwenye jamii. Labda nitakuwa nimekosea.
 
huyu dada ashavuka stage ya kutumika sasa anatumia, yaani anataka kumtumia sugu na umaarufu wake ili aendelee kubaki mjini, ni kama ali kiba kwa diamond. kikubwa sugu asimjibu kitu.
Kama Joyce Kiria kwa Kamanda Kileo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…