Watoto wa kike wakipigana sababu huwa za kitoto kama hizi[emoji23] [emoji23]Unauliza kwa sifa mno namna hyo inatakiwa auloze DJ ww ambaye ni host wa show.
Sasa wewe Audience unapokonya MIC kwa host na kujipa wasifu kivuli hizo ndyo fujo zenyewe.
Hehe .......stahamili [emoji735]
Stahimili[emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
Asituharibie lugha yetu tafadhari!Kijizuwia[emoji735]
Kujizuia [emoji736]
Aniongeezee[emoji735]
Aniongezee [emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
Nimefika best japo kwa kuchelewaemmyta Sakayo
Shunie joanah
Linamo ukhuty
Gentries
carbamazepine Kichwa Kichafu
geniveros Neybright stable woman
Na wengineo kujeeeeeniii ila msichapie tu hapa tupo na mwalimu wa waalimu
Check hii demu ilivo na wivu na ujuha!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Mama nilikuuliza mwanzo umeolewa? Na kama umeolewa una watoto wangapi?
Nijuze Mimi inshaallahNipo kawaida tu.
Isipokuwa nawaasa vijana wasome. Kila kinachosomeka wakisome. Kuna njia rahisi sana ya kujielimisha mwenyewe. Ataependa nitamjuza.
ShoooTeam ubuyu mkuje huku
Inabidi afuate taratibu za uandishi kama yeye anavyowafanyia na kuwasisitiza members wengine.Hance hebu kausha basi kaka,muache bi mkubwa ajibu maswali ya watu kwanza,wengine tunajifunza vitu vingi kupitia yeye
Kama ni yeye atakuwa amelogwa!!.....ila nahisi ni avatar yake imeibiwa na inatumiwa na mtu mwingine!!Kabadilika sana
Bibi alipotelea kwenye kutafuta miwani yake ya kusomea threads za JF!Nime quote kila swali yapo hapo angalia
Ndo ulikuwa unapika chapati[emoji23][emoji23][emoji23]Nimefika best japo kwa kuchelewa
Huwezi kufananisha bibi na mdada kama Miss Natafuta.Hii interview naona hainogi kama iliyopita. Tofauti na matarajio.
Hivi ww ni KE??Inabidi afuate taratibu za uandishi kama yeye anavyowafanyia na kuwasisitiza members wengine.
Fresh nyokaaPoa poa dogo langu
So fresh kabisa kutuambia baadaye ni ubaguzi huo, angejibu tu maswali ya kila mtu hapa.Una hoja ya msingi sana Comrade ila mimi nikimquote na kumuuliza maswali wadau wananipinga wanasema nafanya fujo hapa kwenye interview yake...
CuzooNimefika best japo kwa kuchelewa