Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Nimefutilia Uzi huu tangu mwanzo.Nilichokigundua ni wivu uliopitiliza kwa baadhi ya wachangiaji.Kuna vijana wameanza kumchukia kwa kasi Muosha rungu.Wanaona pengine interview anazoziandaa zinazidi kumletea umaarufu.Ndio maana wanajitahidi kuleta mizaha kwenye interview ili zionekane hazina maana!!!Nakuomba uwapuuze mkuu wengi ni utoto tu unawasumbua wakikuwa wataacha.
 
Chakuongezea hapo pia apange muda wa yeye kuuliza maswali yake kadhaa kisha awape nafasi wengine.

Jamaa anauliza maswali kwa masaa matatu watu siwatakuwa washauchoka uzi?

Maswali yenyewe haulizi ya msingi.

Kinachowafanya watu walete fujo ni yeye mwenyewe kukosa busara.

ilipaswa awe na kikomo cha maswali yake na muda.
 
FaizaFoxy, hebu angalau kwa ufupi, uhuru wa kuabudu dini ya Uislam katika nchi za magharibi ukoje ukilinganisha na Afrika hasa Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…