Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Mkuu naona kama anaanza kuyajibu vileJoseverest usije maswali hayajibiwi
Kwenye uislam hakuna kitu kinaitwa albadir full stop.Nikuulize wewe unayesema eti albadri ni ushirikina.
Usipotoshe uma hasa kwa wasio jua na pia usiuchafue uislamu kwa kiasi hicho aisee.
FaizaFoxy mimi nauliza maswali kadhaa tu ya mwisho kwa kuwa yale mengine umenijibu vyema..Nimevuta subra kama ulivyosema..
Sasa maswali yangu ni haya..
1: Unachukuliaje suala la Malezi ya watoto hasa katika kipindi hiki cha Utandawazi? Uonavyo wazazi wanatimiza wajibu wao ipasavyo??
2: Kuna dhana imejengeka kwenye jamii yetu kuwa Mwanamke akipata elimu anakuwa na kiburi/majivuno na kumuona mumewe hafai, wewe unaonaje hili suala ni sawa au sawa? Je wewe limeshakukuta??
3: Ni kweli kuwa baadhi yenu nyie wanawake hampendani ninyi kwa ninyi?? Nini huchangia hili??
4: Ukipewa nafasi ya kuongeza/kupunguza kitu hapa JF ungeongeza nini au kupunguza nini...je unawashauri nini wamiliki wa mtandao huu pendwa??
5: Unawashauri nini vijana wanaotafuta mafanikio kwa njia za mikato (shortcut)??
Na mwisho kabisa unapendelea kufanya nini upatapo muda wa ziada..
(Mimi maswali yangu ni hayo tu, ukinijibu nitashukuru sana, asante)
Nikuulize wewe unayesema eti albadri ni ushirikina.
Usipotoshe uma hasa kwa wasio jua na pia usiuchafue uislamu kwa kiasi hicho aisee.
Umekielewa ulicho kikwoti?Unaelewa unachoandika, au umeamua kupinga kila kinachokujia mbele yako?
Leo umekosa wa kutenganisha marinda yako dogo sio?Kauli yako hii ni wazi ww ni KE!!
Swali linalofuata umeolewa??
Maswali yangu yote ameshindwa kuyajibu.Bibi acha kubagua jibu maswali yote
Hunter nipo nasubiria majibu kwa maana nimefanya uungwana wa kuvuta subra kama alivyosema na ninategemea majibu mujarabu kabisa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu binti huwa anajikuta mjuaji sana kumbe bichwa maji tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji120]emmyta Sakayo
Shunie joanah
Linamo ukhuty
Gentries
carbamazepine Kichwa Kichafu
geniveros Neybright stable woman
Na wengineo kujeeeeeniii ila msichapie tu hapa tupo na mwalimu wa waalimu
[emoji3][emoji3][emoji3]Abee
Nimepita japo sikuimaliza mpenzPole aiseeh,umepitia kule kwenye interview ya miss?
Bibi ameanza.Jamani naomba tuwe na busara kwa kutumia lugha nzuri katika interview hii yenye afyaUnajuwa maana ya "Ahl L'badr"? Au unakurupuka tu?
Punguani Wahed.
Kwa vile tuuu Lissu anaumwa[emoji17] [emoji17] [emoji17]Unadhani tunaendesha interview kiholera?
Lazima kuwa Na host Na hosted!
Kila mtu akiuliza swali unafikiri hosted atakuwa Na hali gani?
Utaratibu ni kuwa maswali ya audience yanajibiwa baadae!
Kama Faiza haonekani labda kapata dharura kwa sasa.
Nipo...kama kawaida yangu kimya kimyaBaby upo